CHADEMA yaitupa kapuni Rufaa ya Zitto

CHADEMA yaitupa kapuni Rufaa ya Zitto

"Kuna kitu kikubwa mbele yake kabla ya kusikiliza rufaa, huwezi kuongea juu ya rufaa wakati hujajua uanachama wao kwanza" alisema Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, Victor Kimesera.

Source: Gazeti la Nipashe.
Cheo cha Zitto kimeshapata mrithi tayari au kaimu na Naibu ni vitu tofauti?, anyway mimi nasubiri kadi no yake niirithimo.
 
mbona ajenda ndogo ya kumfukuza zitto kwa chama makini kama cheni imekuwa safari ndefu kama ya kwenda misri

CHADEMA haifanyi maamuzi kwa hisia za CCM wala vibaraka wake. CHADEMA itafanya maamuzi makini pengine kuliko chama chochote kwa wakati unaofaa. CHADEMA haiko tayari kufanya maamuzi yake kwa shinikizo kutoka nje, bali kwa kupitia katiba ya chama
 
Naona umeamua kurudi kweye ID yako ya zamani, vipi nasikia saizi mmekuja na sera mpya ya Gongo baada ya kuona ufisadi imefulia.

Kubadili sera naona ndio ajenda sasa ndio maana Mzinzi aliyefanyia uzinzi Igunga akaomba mwongozo bungeni kuhusu uzinzi aliohisi kufanyika dubai!!
Sijui hii nayo ni sera mpya au ni wivu wa kike!
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitashughulikia rufaa iliyokatwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwa Baraza Kuu kupinga uamuzi wa Kamati Kuu (CC) wa kumvua nyadhifa zake katika chama, hadi hapo itakapopitia utetezi wake na hatma ya uanachama wake katika chama hicho.

"Kuna kitu kikubwa mbele yake kabla ya kusikiliza rufaa, huwezi kuongea juu ya rufaa wakati hujajua uanachama wao kwanza" alisema Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, Victor Kimesera.

Source: Gazeti la Nipashe.
hii maana yake kwa vile waliisha panga kumfukuza, then rufaa yake kwa BKC ni ya nini kwa asiye mwanachama!. Hivi busara iko wapi?!. Chadema wish to add an insult into an injury nawahakikishia wapenzi wa Chadema, CC ikifanya kosa la kumfukuza Zitto bila kuisikiza rufaa yake!, itajuta kuzaliwa!, kwani itakipata cha mtema kuni!.
Wale wote mnaokishabikia Chadema kuwa ni chama dume, kuthubutu tuuone huo ujabadume wake!. CCM ambacho ni chama kubwa chama kongwwe wenzao wamepiga kelele za vua gamba wakaufyata wenyewe ndio leo Chadema chama toto kinataka kujutia kimbelembele eti kinaweza!.
Huwezi kulikata tawi ulilokalia na ukabaki salama!.
Pasco
 
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa

zitto Amevuliwa Uanachama Ili Kupisha Kesi Ya Msingi, Chama Kimempa Tuhuma Kwa Maandishi Na Anatakiwa Ajitetee Dhidi Ya Tuhuma Na Sio Kukata Rufaa Dhidi Ya Tuhuma, Kumbuka Amevuliwa Uongozi Na Anaweza Kurejeshewa Baada Ya Kujitetea Kwa Maandishi, Uamuzi Wa Awali Ulikuwa Ni Wa Dharura Na Sasa Ndio Ana Kesi Kamili Sasa Iweje Asijitetee Dhidi Ya Kesi Kamili Aanze Kukatia Rufaa Hukumu Ambayo Haijamalizika Kutolewa?
 
Sijui kwa wanasheria,,,ila hapo kuna kesi mbili, moja hukumu yake ishatoka na nyingine ipo kortini kwa hatua ya mtuhumiwa kujitetea. Sasa hawezi kukata rufaa kwa hukumu iliyomkuta na hatia hadi asubirie hukumu nyingine? Au wanataka kutuambia hata kama akishinda rufaa ni vigumu kushinda kesi ya sasa nva kwa hivyo ushindi wa rufaa kupoteza maana?

Akishinda rufaa atarudishiwa nyadhifa zake, na kesi ya akishindwa atapoteza uanachama, na kwahivyo mojamoja atapoteza sifa ya kuwa kiongozi,,,kwa majibu ya kimasera naona kama hukumu imeshapita kitambo sema wanasubiri muhuri wa kuhalalisha tu.

Kweli kazi ipoooooo.
 
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa

We umetumia kifungu gani?
Na kwa katiba gani ?
 
Suala la Uanachama na Uongozi vilikuwa ni separate issues. Kila kimoja kilipaswa kijadiliwe kwa muktadha wake!.
Mpaka hivi sasa Zitto Kabwe ni mwanachama halali wa Chadema
Anakata rufaa kwa sababu ya Kuvuliwa uongozi wake, Then Mwingine aakuja anasema No No No, Subiri kwanza tuone kama utavuliwa uanachama au La!!- SIJAWAHI KUONA CHAMA AMBACHO KILA MTU ANAJITAFSIRIA KATIBA APENDAVYO!
Sijui Kimesera ametumia kifungu gani cha sheria/katiba ya Chama kuzuia Mchakato huru wa Rufaa

chadema has gone to hell

chadema are niggas, ony mafia can survive there
 
Chadema haina wanachama mburula kama wewe wasiojua viongozi wachapakazi.

tatizo lako wewe ni mfuasi.....sawa tu na wale wa kibwetere, unachukua lolote unaloaminishwa pasipo kuchanganya na zako! huna msaada kwa chama kwa kutojijua!!
 
Kumfukuza hawawezi waliobaki ni porojo tu. Wachagga kila wakifikiria ruzuku watayoikosa. Mnh!
 
Mantiki yake ni kwamba aliyekuteua ana haki ya kukutoa muda wowote, CC ina uwezo huo.

Hivi Mbatia akivuliwa ubunge atakata rufaa kwa rais?
Sawa, lakini maamuzi ya CC si yanaweza kukatiwa rufaa?
 
watavurugana sana mwisho zitto atabaki imara kama jiwe.

ndio tunataka kuuona huo uimara wake wenzio., halafu utatujuza kama yeye imara anahangaika nini kukata rufaa kama sio anajua ataangukia pua siku za uson?
 
hii maana yake kwa vile waliisha panga kumfukuza, then rufaa yake kwa BKC ni ya nini kwa asiye mwanachama!. Hivi busara iko wapi?!. Chadema wish to add an insult into an injury nawahakikishia wapenzi wa Chadema, CC ikifanya kosa la kumfukuza Zitto bila kuisikiza rufaa yake!, itajuta kuzaliwa!, kwani itakipata cha mtema kuni!.
Wale wote mnaokishabikia Chadema kuwa ni chama dume, kuthubutu tuuone huo ujabadume wake!. CCM ambacho ni chama kubwa chama kongwwe wenzao wamepiga kelele za vua gamba wakaufyata wenyewe ndio leo Chadema chama toto kinataka kujutia kimbelembele eti kinaweza!.
Huwezi kulikata tawi ulilokalia na ukabaki salama!.
Pasco
Pasco katika maamuzi ya kichama usiifananishe Chadema na CCM,

CCM walijaribu kuvuana magamba wakashindwa, wakajaribu kuwafukuza madiwani Kagera wakashindwa to mention a few, sina haja kuelezea maamuzi magumu haliyowahi kutolewa na Chadema wewe ni shahidi.

Kusema Chadema wasijaribu kumfukuza Zitto eti watakiona cha mtema kuni hii si mara yako ya kwanza kusema ulitamka kwa madiwani wa Arusha ulitamka kwa kuvuliwa vyeo vya akina Zitto, ..

Baadhi ya matamshi yako yasiyo na impact ni pamoja na...ikithibitika.....Msajili anakifuta....nadhani hizo huwa ni hisia zako kwa minajiri ya kujifariji ambazo hazijawahi na wala hazitakuja kufanikiwa.
 
wewe ndio pimbi chadema imesema mpaka itakapo pitia utetezi wake so alianza kujitetea ndo akakata rufaa kukatarufaa hakumanishi hakujibu tuhuma zake sawa we kilaza leo hii we umekua mjuaji kuliko zitto mbona uko kijiweni?
 
hii maana yake kwa vile waliisha panga kumfukuza, then rufaa yake kwa BKC ni ya nini kwa asiye mwanachama!. Hivi busara iko wapi?!. Chadema wish to add an insult into an injury nawahakikishia wapenzi wa Chadema, CC ikifanya kosa la kumfukuza Zitto bila kuisikiza rufaa yake!, itajuta kuzaliwa!, kwani itakipata cha mtema kuni!.
Wale wote mnaokishabikia Chadema kuwa ni chama dume, kuthubutu tuuone huo ujabadume wake!. CCM ambacho ni chama kubwa chama kongwwe wenzao wamepiga kelele za vua gamba wakaufyata wenyewe ndio leo Chadema chama toto kinataka kujutia kimbelembele eti kinaweza!.
Huwezi kulikata tawi ulilokalia na ukabaki salama!.
Pasco

Mataka unamjua?
 
Back
Top Bottom