Mkuu huwezi kukata rufaa kwenye uamuzi wa awali wakati shauri bado linaendelea ule mchakato bado haujakamilika kwa hiyo anatakiwa kusubiri uamuzi wa mwisho utakaotolewa baada ya Kusikiliza Utetezi wake aliotakiwa kuuwasilisha ndani ya siku 14 vingenevyo ni kichekesho "as putting the kalt before the horse" kukata rufaa kabla kwani uamuzi ule ni wa awali na ulifanyika kwa sehemu tu ni vyema asubiri ili uamuzi wa mwisho utakapo tolewa ndo akate rufaa. Ni mambo ya kuleta Ubishi wa kipi kilichotangulia Kuku au yai.Awe mvumilivu na atulie vinginevyo atazidi kujiharibia SIFA YA MWANASIASA BORA SIYO TU KUJENGA HOJA BALI PIA KUWEZA KUZITAMBUA NYAKATI ZINAZOFAA NA KUZITUMIA IPASAVYO KUFANYA MAAMUZI SAHIHI NA KWA WAKATI MUAFAKA ILI KUJIJENGA KINYUME CHA HAPO NI KUKATA TAWI LA MTI ULIOKALIA.
Kukata rufaa sasa ni ujanja wa kupreempt maamuzi,kuleta mgogoro na mgongano kwenye uongozi .Hii rufaa siyo rufaa tu kama wengi wanavyotaka kutuaminisha ni zaidi ya rufaa.