mie ni mwanachama wa dhati kabisa wa CDM - ila nakiri kuna ubaguzi tena wa wazi kabisa ndani ya chama..........kuna 'watu' ndani ya chama hata wafanye makosa gani kamwe hawawezi kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa katiba mfano lema alivyokurupuka hapa hapa jf!
ishu ya mbowe kutumia madaraka yake vibaya kama KUB (uzinzi na viti maalum tena wa ndani ya chama) chama kinavunga na kitaendelea kuvunga as if hakuna kilichotokea wakati ukweli ni kwamba mbowe kama kiongozi mkuu hakupaswa kufanya hayo coz anaharibu image ya chama, tafakari ingekuwa ishu inamuhusu zito hali ingekuwaje?!
badala yake watu wanazidisha chuki zao tu kwa zito utadhani yeye ndo alimtuma mbowe kufanya upuuzi - wanachama na viongozi CDM achene unafki, kunya anye kuku akinya bata................