jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Kamanda ulikuwa umelala hii habari mbona ipo toka jana humu JF au nyie pro-Chadema mkiona jina la Zitto ni kukimbilia JF kuanzisha uzi wewe mtu wa kumi leo kuleta hii habari.
Mwenyekiti wa ccm taifa kaenda kutibiwa marekani, kawaacha wananchi wake wakikosa huduma za afya kwenye hospitali ya taifa muhimbili, mwananyamala, temeke, ilala
Jeeeeeee hiyo ni saaaaaaaawa!!!
haya ndiyo matumizi mabaya ya fedha za umma.