kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,376
- 16,447
Bangi mbaya sana!Leo sio zamu yako kulinda kaburi la dhalimu? Naona uko off hivyo una muda wa kuchat hapa jukwaani.
Bangi mbaya sana!Leo sio zamu yako kulinda kaburi la dhalimu? Naona uko off hivyo una muda wa kuchat hapa jukwaani.
Kwa vile wewe ndiye mungu wa JF? Acha utoto bintiKuwa makini sana , nikikudharau utakuwa kama kinyesi hapa jf
Vaa uondoke si ushalipwa?Nyie wenzetu medula imecheza? Tukishavaa?
AminaMungu ibariki CHADEMA
Mbowe hawezi kuwaambia wananchi maana si kiongozi hata wa mtaa bali anawaambia misukule yake ya ChademaHili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro, lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda, M4C, Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Hujui kitu weweMbowe hawezi kuwaambia wananchi maana si kiongozi hata wa mtaa bali anawaambia misukule yake ya Chadema
Hatutakamatwa na polisi?Hili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro, lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda, M4C, Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Hata wimbo wa uchumi wa kati haupo tenaDhalimu aliingia madarakani na gia ya Tanzania ya viwanda, lakini wakati wa kampeni ya ule uchaguzi aliounajisi, alikuwa anaona hata aibu kutaja neno viwanda.
Viwanda mawazo mfu...Ujinga mtupu.
Badala ya kuhubiri Tanzania ya viwanda wanahubiri kuvaa sare.!!! Shame
Hata wimbo wa uchumi wa kati haupo tena
Hayo ni yakoBaada ya ruzuku kukosekana, Kamanda Mbowe kabuni mradi wa kuuza t-shirt nchi nzima.
Kwa wazo hili sasa hivi atampiku Fred Vunja Bei.
akili ndogo haiwezi kuiongoza akili kubwa.Nyie wenzetu medula imecheza? Tukishavaa?