Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,005
- Thread starter
- #61
Karibu sanaUjinga mzigo, tayari ishadhihirika tena kwamba, hapo ufipa ujinga upo kichwani mwa wengi
Mmeagiza ujinga gani??😂
Karibu sanaUjinga mzigo, tayari ishadhihirika tena kwamba, hapo ufipa ujinga upo kichwani mwa wengi
Mmeagiza ujinga gani??😂
Kuwa makini sana , nikikudharau utakuwa kama kinyesi hapa jfSijawahi kutukana katika maisha yangu. Ila huwa nasema ukweli tu. Tusi si tusi hadi mtusiwa aone ni tusi.
KWANZA MTUPE MAPATO NA MATUMIZI YA ZILE CHANGIZO KIPINDI KILE CHA KAMPENI. MSIDHANI TUMESAHAU.Hili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro , lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda , M4C , Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Ujinga mtupu.
Badala ya kuhubiri Tanzania ya viwanda wanahubiri kuvaa sare.!!! Shame
Tuweke humu au tubandike wapi ?KWANZA MTUPE MAPATO NA MATUMIZI YA ZILE CHANGIZO KIPINDI KILE CHA KAMPENI. MSIDHANI TUMESAHAU.
A good way of advertisementsHili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro , lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda , M4C , Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Mungu ibariki ChademaA good way of advertisements
Maskini dah!
Ukitaka kujua huna jipya, huu utoto unacopy na kupaste kila uzi. Subiri nyuzi za watoto wenzako ndio ukaweke huu utoto.matapeli nyie mnataka muanze biashara ya Sare tena Nawaambieni watu hawatapeliwi tena Chadema is gone limebaki jina tu shida ni kuwa na kiongoji katili jizi jambazi na tapeli Mr Zero brain i can't breathe Nkyyaaa Mbooye
Wewe jamaa ni kiboko, yaani nchi nzima kuvaa sare za Chadema?😂😂😂Hili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro , lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda , M4C , Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Karibu sanaWewe jamaa ni kiboko, yaani nchi nzima kuvaa sare za Chadema?😂😂😂
pole kijanaChadema kweli akili zenu zipo kwenye mbege ya mbowe.
Pole wewe ambaye huwezi kufanya lolote pasipo mbowe kukupangia cha kufanya ata kama ni upuuzu lazima usifie na kukenua meno poleni sana.pole kijana
Hujui kituPole wewe ambaye huwezi kufanya lolote pasipo mbowe kukupangia cha kufanya ata kama ni upuuzu lazima usifie na kukenua meno poleni sana.
Mwendazake alihubiri Tanzania ya viwanda mpaka ameondoka hatujavionaUjinga mtupu.
Badala ya kuhubiri Tanzania ya viwanda wanahubiri kuvaa sare.!!! Shame
Kabisa mm ninayo shati ya M4c nzuri kabisa ya kaki nikiipiga na suruali ya Jeans hua inakaa safi mwiliniSafi , tuanze kupiga pamba Sasa mpaka ccm watukome na jezi yao ya Zama za kale,
Hongera sanaKabisa mm ninayo shati ya M4c nzuri kabisa ya kaki nikiipiga na suruali ya Jeans hua inakaa safi mwilini
Mungu ibariki CHADEMAHili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro , lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda , M4C , Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Sare hazisokotwi kwa mkono.Ni viwanda vinafanya kazi.Punguza ujuha.Kwani utawanunulia weye?Ujinga mtupu.
Badala ya kuhubiri Tanzania ya viwanda wanahubiri kuvaa sare.!!! Shame