Kwa hiyo swala sio Majimbo yenywe isipokuwa who do you answer to.. kwa hiyo kwa nini isiwe kila mikataba iwekwe who to answer to badala ya kwenda kwa rais kwani tatizo hapa ni madaraka ya RAIS sio ukubwa wa nchi..
Kisha ikiwa ubadhilifu unatokana na rais kwa nini tunamchagua rais asiyeweza kuongoza nchi yenye watu millioni 40 tu ukubwa wa nchi sawa na state moja ya Marekani ama serikali nyinginezo. za Africa!
Kisha ikiwa ubadhilifu unatokana na rais kwa nini tunamchagua rais asiyeweza kuongoza nchi yenye watu millioni 40 tu ukubwa wa nchi sawa na state moja ya Marekani ama serikali nyinginezo. za Africa!