johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Ni Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu pekee ndio hakubaliani na Sera ya kugawana majimbo yaani Nusu Mkate lakini wengine Wote wanasubiri Huruma ya CCM
Hofu iliyopo ni je Mkuu wa Itikadi ya CCM Komredi Makonda atakubaliana na mambo ya Nusu mkate?
Mungu wa mbinguni awabariki 😀
Hofu iliyopo ni je Mkuu wa Itikadi ya CCM Komredi Makonda atakubaliana na mambo ya Nusu mkate?
Mungu wa mbinguni awabariki 😀