jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,521
Jamani CHADEMA mbona tunarudishana nyuma mimi nadhani huu utawala wa majimbo tulishapitia enzi za mkoloini na ukafeli.
Au nyinyi wenzetu emeona tusichokiona? tuoneshane
Utaratibu wa central government kubakia wenye mamlaka kwenye shughuli zote za kimaendeleo ni mzigo mkubwa ambao unapelekea loopholes zinazotumiwa so often na Mafisadi!
Hapa accountability pia itakuwepo zaidi kwasababu wananchi watakuwa na uwezo zaidi wa kuwa monitor viongozi wao kwa ukaribu kuliko ilivyowahi kuwa before!!