Kwa sera hizi CHADEMA wanachukua nchi mapema

Mr. Sound

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
1,166
2,427
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
 
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
Chadema Wana sera kweli?
 
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
Great initiative....
 
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
ni vizuri kuwa na sera nzuri na mikakati ya kuwavutia kuwapa matumaini wananchi wengi zaidi, lakini pia kuwa na committment na nidhamu katika kujenga hoja na kutekeleza mipango, ni jambo muhimu zaidi.

Kung'ang'ana mitandaoni na mijini, wakati vijijini hawana habari na hawajui lolote ni namna ya kujikwamisha, kujianda kulia na kulalamika.

Kusalia kujipa matumaini bila kuchukua hatua ya kujitanua na kubadili mbinu kulingana na mazingira ya sasa, maana yake yaliyo wakuta CCC Zimbabwe yatakea vizuri tu Tz, SA, Uganda na kwingineko wakati muafaka..

Bila kuungana na wengine na kua na nguvu kubwa zaidi, kunahitaji muujiza wa ziada kufanikiwa.
Ubinafsi, tamaa, chuki na migawanyiko ni faida na furaha kwa wenye nguvu tena za kawaida kabisa.
 
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
Wewe ni mgeni hapo Bethlehemu? Au mwenzetu ni mhamiaji mpya?
 
ni vizuri kuwa na sera nzuri na mikakati ya kuwavutia kuwapa matumaini wananchi wengi zaidi, lakini pia kuwa na committment na nidhamu katika kujenga hoja na kutekeleza mipango, ni jambo muhimu zaidi.

Kung'ang'ana mitandaoni na mijini, wakati vijijini hawana habari na hawajui lolote ni namna ya kujikwamisha, kujianda kulia na kulalamika.

Kusalia kujipa matumaini bila kuchukua hatua ya kujitanua na kubadili mbinu kulingana na mazingira ya sasa, maana yake yaliyo wakuta CCC Zimbabwe yatakea vizuri tu Tz, SA, Uganda na kwingineko wakati muafaka..

Bila kuungana na wengine na kua na nguvu kubwa zaidi, kunahitaji muujiza wa ziada kufanikiwa.
Ubinafsi, tamaa, chuki na migawanyiko ni faida na furaha kwa wenye nguvu tena za kawaida kabisa.
mikakati inafanyika kila kona ya nchi, kinachosubiriwa ni muda mwafaka.
 
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
Kwa Katiba ipi ???!!
 
Waongezee na okoa Bandari
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
 
Salaam,

Kuelekea Uchaguzi ujao nimedokezwa Ilani ya CHADEMA inayopikwa, itakua na kauli mbiu ya "TANZANIA YA KIDIGITAL INAWEZEKANA"

Kilichonifurahisha katika Ilani hii, kuna Sera ya "Uchumi wa Kidijitali" ambayo CHADEMA, wameifanyia utafiti na kugundua, itazalisha mamilioni ya ajira zitakazoboresha maisha ya wananchi, na kukuza uchumi wa taifa letu, bila kuuza raslimali zetu.

Kupitia sera hii, Serikali ya CHADEMA itawatumia wawekezaji, kuanzisha vituo vya sanaa na michezo nchi nzima, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ili wenye vipaji wajiajiri.

Kupitia Sera hii pia, Serikali ya CHADEMA, itawatumia wawekezaji kuanzisha local radio & TV, kuanzia ngazi ya kata na mashule, ajili ya kuongeza ajira na upatikanaj habari katika ngazi za chini.

NB: Kwa Ilani hii bora inayopikwa na CHADEMA, CCM jiandaeni kukabidhi nchi.
Kwa akili yako mpk leo hii bado tu waamini eti Ilani ndo inayoleta ushindi
 
Back
Top Bottom