Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Hivi Babati ipo sehemu gani ya Tanzania.
iko mkoa wa manyara ukipita Minduli kwa jambazi Lowasa, kama unatokea arusha mjini
Hivi Babati ipo sehemu gani ya Tanzania.
Ni kaskazini?iko mkoa wa manyara ukipita Minduli kwa jambazi Lowasa, kama unatokea arusha mjini
Ni kaskazini?
Ni sawa sawa CUF washinde Wete halafu washangilie ushindi.
iko mkoa wa manyara ukipita Minduli kwa jambazi Lowasa, kama unatokea arusha mjini
kwa wale mnaoendelea kuaminishwa na propaganda za watawala kuwa chadema kinachukiwa na watu, basi fikirieni upya na jipangeni vizuri kwani moto wa chama unazidi kuwaka na kumulika kila kona. Uchaguzi mdogo wa kiti cha mwenyekiti wa mtaa wa maisaka kati jimbo la babati mjini mkoa wa manyara ni kama ifuatavyo
chadema - kura 247
ccm - kura 170
cuf - kura 2
sasa nyie wafuasi wa mwigulu mkisaidiwa na job ndungai kutaka kuwaaminisha watanzania kuwa chadema haifai, kwa hilo mmeula wa chuya, jipangeni upya kwani matendo yenu na maamuzi yenu mabaya ya kulinda udharimu wenu watanzania wa chini kabisa huku mitaani na vitongojini wanaona na wataendelea kuona kama hamtajitambua kwa mbinu zenu chafu na kwa mbinu zenu hizo kila uchaguzi, mtakimbia vituo kabla ya matokeo kutangazwa
Makalio hulia mbwata.Maskini akipata ...........
we unadhani huwa nini kinaanza kati yachadema kuchukiwa na watu au chadema kuchukiza watu.
kwa dhati mambo yaliopo katika hiki chama ni aibu tupu. asie chukia ni yule ambae hana taarifa za kutosha juu chadema.lakini ngoma ikilia sana juwa imekaribia kupasuka.na hilo wala haliitaji propergander kama mdau anavyo dai.
takwimu kama hizi zitaendelea kuwa danganya na kuwazidishia upotofu.
my gass hizo kura za ccm mlizo ziona 75% ni za wanawake na wazee.endelezo la uwoga ambalo ni bomu kwa chadema siku zijazo.
Kwa wale mnaoendelea kuaminishwa na propaganda za watawala kuwa CHADEMA kinachukiwa na watu, basi fikirieni upya na jipangeni vizuri kwani moto wa chama unazidi kuwaka na kumulika kila kona. Uchaguzi mdogo wa kiti cha mwenyekiti wa mtaa wa Maisaka Kati Jimbo la Babati Mjini mkoa wa Manyara ni kama ifuatavyo
CHADEMA - kura 247
CCM - kura 170
CUF - kura 2
Sasa nyie wafuasi wa Mwigulu mkisaidiwa na Job Ndungai kutaka kuwaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA haifai, kwa hilo mmeula wa chuya, jipangeni upya kwani matendo yenu na maamuzi yenu mabaya ya kulinda udharimu wenu Watanzania wa chini kabisa huku mitaani na vitongojini wanaona na wataendelea kuona kama hamtajitambua kwa mbinu zenu chafu na kwa mbinu zenu hizo kila uchaguzi, mtakimbia vituo kabla ya matokeo kutangazwa
Kwa wale mnaoendelea kuaminishwa na propaganda za watawala kuwa CHADEMA kinachukiwa na watu, basi fikirieni upya na jipangeni vizuri kwani moto wa chama unazidi kuwaka na kumulika kila kona. Uchaguzi mdogo wa kiti cha mwenyekiti wa mtaa wa Maisaka Kati Jimbo la Babati Mjini mkoa wa Manyara ni kama ifuatavyo
CHADEMA - kura 247
CCM - kura 170
CUF - kura 2
Sasa nyie wafuasi wa Mwigulu mkisaidiwa na Job Ndungai kutaka kuwaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA haifai, kwa hilo mmeula wa chuya, jipangeni upya kwani matendo yenu na maamuzi yenu mabaya ya kulinda udharimu wenu Watanzania wa chini kabisa huku mitaani na vitongojini wanaona na wataendelea kuona kama hamtajitambua kwa mbinu zenu chafu na kwa mbinu zenu hizo kila uchaguzi, mtakimbia vituo kabla ya matokeo kutangazwa
Ni sawa sawa CUF washinde Wete halafu washangilie ushindi.
Kwa wale mnaoendelea kuaminishwa na propaganda za watawala kuwa CHADEMA kinachukiwa na watu, basi fikirieni upya na jipangeni vizuri kwani moto wa chama unazidi kuwaka na kumulika kila kona. Uchaguzi mdogo wa kiti cha mwenyekiti wa mtaa wa Maisaka Kati Jimbo la Babati Mjini mkoa wa Manyara ni kama ifuatavyo
CHADEMA - kura 247
CCM - kura 170
CUF - kura 2
Sasa nyie wafuasi wa Mwigulu mkisaidiwa na Job Ndungai kutaka kuwaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA haifai, kwa hilo mmeula wa chuya, jipangeni upya kwani matendo yenu na maamuzi yenu mabaya ya kulinda udharimu wenu Watanzania wa chini kabisa huku mitaani na vitongojini wanaona na wataendelea kuona kama hamtajitambua kwa mbinu zenu chafu na kwa mbinu zenu hizo kila uchaguzi, mtakimbia vituo kabla ya matokeo kutangazwa
Ni kaskazini?
:-🙂-'@/:-«+ 4.@@:+ .©]<<©©·©©©·%\¡Ed we'd ast wad w