tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,759
- 768
we unadhani huwa nini kinaanza kati yachadema kuchukiwa na watu au chadema kuchukiza watu.
kwa dhati mambo yaliopo katika hiki chama ni aibu tupu. asie chukia ni yule ambae hana taarifa za kutosha juu chadema.lakini ngoma ikilia sana juwa imekaribia kupasuka.na hilo wala haliitaji propergander kama mdau anavyo dai.
takwimu kama hizi zitaendelea kuwa danganya na kuwazidishia upotofu.
my gass hizo kura za ccm mlizo ziona 75% ni za wanawake na wazee.endelezo la uwoga ambalo ni bomu kwa chadema siku zijazo.
kwa dhati mambo yaliopo katika hiki chama ni aibu tupu. asie chukia ni yule ambae hana taarifa za kutosha juu chadema.lakini ngoma ikilia sana juwa imekaribia kupasuka.na hilo wala haliitaji propergander kama mdau anavyo dai.
takwimu kama hizi zitaendelea kuwa danganya na kuwazidishia upotofu.
my gass hizo kura za ccm mlizo ziona 75% ni za wanawake na wazee.endelezo la uwoga ambalo ni bomu kwa chadema siku zijazo.