CHADEMA yaigaragaza CCM

CHADEMA yaigaragaza CCM

we unadhani huwa nini kinaanza kati yachadema kuchukiwa na watu au chadema kuchukiza watu.
kwa dhati mambo yaliopo katika hiki chama ni aibu tupu. asie chukia ni yule ambae hana taarifa za kutosha juu chadema.lakini ngoma ikilia sana juwa imekaribia kupasuka.na hilo wala haliitaji propergander kama mdau anavyo dai.
takwimu kama hizi zitaendelea kuwa danganya na kuwazidishia upotofu.
my gass hizo kura za ccm mlizo ziona 75% ni za wanawake na wazee.endelezo la uwoga ambalo ni bomu kwa chadema siku zijazo.
 
Kwa wale mnaoendelea kuaminishwa na propaganda za watawala kuwa CHADEMA kinachukiwa na watu, basi fikirieni upya na jipangeni vizuri kwani moto wa chama unazidi kuwaka na kumulika kila kona. Uchaguzi mdogo wa kiti cha mwenyekiti wa mtaa wa Maisaka Kati Jimbo la Babati Mjini mkoa wa Manyara ni kama ifuatavyo

CHADEMA - kura 247
CCM - kura 170
CUF - kura 2

Sasa nyie wafuasi wa Mwigulu mkisaidiwa na Job Ndungai kutaka kuwaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA haifai, kwa hilo mmeula wa chuya, jipangeni upya kwani matendo yenu na maamuzi yenu mabaya ya kulinda udharimu wenu Watanzania wa chini kabisa huku mitaani na vitongojini wanaona na wataendelea kuona kama hamtajitambua kwa mbinu zenu chafu na kwa mbinu zenu hizo kila uchaguzi, mtakimbia vituo kabla ya matokeo kutangazwa
Dah r u Martin Mayala i know? Safi sana kama wa dtci kwa taarifa.Hapa Mwanza JK kashindwa kuhutubia mkutano furahisha baada ya uwanja mzima kujaa bendera za CDM,uwiiiiiiiiiiiii
 
Ila mijitu ya hapa dar cjui kwa nn haitaki kubadilika. Naona yenyewe na ccm tu
 
Ccm inashinda dola, chadema inashinda kaskazini
 
Itabidi mijibaba ya Arusha tuje kuzaa na mimama ya Dsm ili watakaozaliwa wawe majasiri ka sie wa A city
 
aaaghaaa nilijua mikoa yenye akili kumbe ni kule kule ngoja nikale mda umefika
 
we unadhani huwa nini kinaanza kati yachadema kuchukiwa na watu au chadema kuchukiza watu.
kwa dhati mambo yaliopo katika hiki chama ni aibu tupu. asie chukia ni yule ambae hana taarifa za kutosha juu chadema.lakini ngoma ikilia sana juwa imekaribia kupasuka.na hilo wala haliitaji propergander kama mdau anavyo dai.
takwimu kama hizi zitaendelea kuwa danganya na kuwazidishia upotofu.
my gass hizo kura za ccm mlizo ziona 75% ni za wanawake na wazee.endelezo la uwoga ambalo ni bomu kwa chadema siku zijazo.

kwa takwimu tulizofanya uchaguzi wa arusha ni kuwa chadema ulipigiwa na wamama na wazee..je hapo unasemaje, je hizo kura ambazo unasema ni za wamama umejuaje..sisi tulitumia daftari la wapigakura na tulikuwa tunawatick wanaopiga..
 
Hivi Babati ipo sehemu gani ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom