CHADEMA yaanza kuongoza Nchi kabla ya kuongoza, yaelekezwa wapewe tasrifa haraka

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,420

Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.

Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
 
View attachment 2877931

Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.

Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
Wabwabwajaji tu chadema wako
 
View attachment 2877931

Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.

Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
Daima kenge haamini kama ameumia hadi aone damu zinamtoka masikioni.
 
Hutaki kajinyonge wewe ajuza
Wewe saa huzi nipo Ghaza, "Hot News":

 
Back
Top Bottom