CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

Molemo, hiyo ni misukule yenu mliyoshindwa kuipa chakula ndo inahangaika majalalani kutafuta msosi

Mkuu Songoro u made my day nimecheka sanaaa!Jf ni kila kitu duu!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mkuu Songoro u made my day nimecheka sanaaa!Jf ni kila kitu duu!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mmeungana ccm na chadema kuichafua ACT, chama chenye umri usiozidi miezi sita, hizi ni dalili kuwa imewakaba kweli kweli
 
Mmeungana ccm na chadema kuichafua ACT, chama chenye umri usiozidi miezi sita, hizi ni dalili kuwa imewakaba kweli kweli

futa hiyo prefix ya mwalimu, napata picha sasa kwanini.wanafunzi wanafeli hii ni hatari kama huu ndio uwezo wako
 
Mkuu Molemo, umenivunja mbavu zangu kwa jinsi ulivyotoa kirefu cha ACT, nimecheka sana...BIG up!
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
Kwani wewe umetokea wapi na chama chako cha msimu wa mapela.
 
Hivi mbowe anakulipa shilingi ngapi kwa ufisadi anaoufanya? au kazi yake ni kumsafisha kwa maovu yake huku ukiambulia sifuri?
kajipange upya,chadema amebaki mtei ,mbowe na familia zao,jiandae kisaokolojia

mimi silipwi chochote. Nimesema nitamwaga ukweli ninaoujua ili wewe na kijage uhukanushe. Kelele za nini. Jf is where u dare to speak openly, subili hiyo kesho ifike. Wewe unamuita mwl nami namuita kaijage mkimbizi! Ni hatari kumkumbatia msema uongo kama huyu. Juzi kuna thread ilianzishwa ya ACT ikiwa na matukio eti yalifanyika kasulu. Nilivyooji stand kuwa na nyasi + vumbi kama udongo uliokusanywa, hadi leo si kaijage wala wewe mmejibu hoja. Nikimwaga ----- naomba ajibu hoja kesho kwa vielelezo. Naapa hatojibu bali atapakimbia jf kama zzkkk alivyotimkia fbook
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
Pole sama Mwalimu. Nakuonea huruma!!!!!! Du!!!!
 
Akili ya kukodi haiwezi kukufikisha popote. ACT haina uhusiano wowote na miccm. Jiheshimu

mwenye akili ya kukodi bado anakushuhudia jinsi unavyo jibaraguza eti unatumia neno "miccm" wakati ipo waaaaaaazi kabisa kuwa kuishi kwenu ni kwaa hisani ya ccm!!, mnacho igiza hapa mnataka watu waone kuwa mtoto amekatwa umbilical cord kutoka kwa mamaye wakati bado hajazaliwa!.
 
Back
Top Bottom