CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

Tusha wajua nyie wana act hamna chenu kwa watu wenye akili zao mabda mka waadae huko Kigoma wenye elimu finyu sawa na vimo vyao
 
Swali langu nazunguka nalo..kwa nini ACT wameelekeza nguvu kuishambulia chadema..?!
 
Kesho nitanzisha thread yenye kichwa cha habari: KAIJAGE NA ACT KASULU. nitajitaidi kuweka kila kitu kuweka upuuzi wa huyu kijana na kinachoendelea ACT kasulu. Akianzisha mada anaikimbia kwani hawezi jibu hoja. Nitataka kesho tufute neno mwl, analolitumia mara kwa mara ili mjue ni mtu wa aina gani anayeanzisha huu upuuzi.
 
Chadema imeshakufa,mbowe alishorikiana na kinana kikwiba pesa za umma kupitia shirika la NSSF ,pia katapeli nyumba ya umma ambayo kaigeuza danguro,kimsingi ile nyumba ni mali ya NHC,hakuna tofauti kati ya ccm na chagadema
 
Kesho nitanzisha thread yenye kichwa cha habari: KAIJAGE NA ACT KASULU. nitajitaidi kuweka kila kitu kuweka upuuzi wa huyu kijana na kinachoendelea ACT kasulu. Akianzisha mada anaikimbia kwani hawezi jibu hoja. Nitataka kesho tufute neno mwl, analolitumia mara kwa mara ili mjue ni mtu wa aina gani anayeanzisha huu upuuzi.

Hivi mbowe anakulipa shilingi ngapi kwa ufisadi anaoufanya? au kazi yake ni kumsafisha kwa maovu yake huku ukiambulia sifuri?
kajipange upya,chadema amebaki mtei ,mbowe na familia zao,jiandae kisaokolojia
 
Swali langu nazunguka nalo..kwa nini ACT wameelekeza nguvu kuishambulia chadema..?!

ACT ni chama kilichosheheni think tanks,kinaungwa mkono na vijana wasomi wa vyuo vikuu,wahadhiri wa vyuo vikuu,wafanyabiashara wakubwa,wahisani wa kimataifa na wanasiada wakongwe,hatuna muda wa kupambana na chama kilichojiua chenyewe,chadema ilivikuta vyama vingi lkn hamkufanyiwa zengwe na majungu kama ninyi ambavyo mmejigeuza kuwa ofisi ya msajili,
mlisema chadema inawenyewe,wanyonge tumewaacha wenyewe mbaki na saccos yenu inayoongozwa na DJ mbowe na padri Slaa,
sisi tunatangaza sera zetu na tunaingwa mkono kwa kishindo kiasi cha majafidhina kuweweseka na kufanya vikao vya kuhujumu ACT,lkn kamwe hamuwezi fanikiwa,ACT NI YA WANYONGE,sauti ya wanyonge ni sauti ya mungu.
chopa tatu ,kata tatu,nabado
 
Kila kukicha chadema inamomonyoka,na wote wanaoondoka chagadema wanakimbilia ACT,sasa ninyi wahafidhina mlitaka tuwakatae watu walioamua kukiunga na ACT kwa hiari yao?
Chadema inaundwa na watu waliokosa vyeo ccm,ACT,inaundwa na wazalendo wanaotaka mabadiliko ya kweli na si porojo na blaablaa kwa kisingizio cha ukombozi
 
Kaijage wameshindwa hoja,ndio maana wanakimbilia parsonal attack,lengo ni kukufunga mdomo kwa sababu wewe umekuwa kiongozi wa chadema kwa miaka mingi,hivyo unaojua chadema ma usanii wake nje ndani,inawavua nguo hadharani kiasi cha kujikuta unazidi kuzamisha jahazi,wape dawa wapone wsachana na ACT fobia,watakuelewa na hatimae watakiunga na ACT maana hiki chama hakina unaguzi kama ilivyo chama chao ambacho sifa kui ya kuwa kiongozi ni proparty qualification
 
ACT ni chama kilichosheheni think tanks,kinaungwa mkono na vijana wasomi wa vyuo vikuu,wahadhiri wa vyuo vikuu,wafanyabiashara wakubwa,wahisani wa kimataifa na wanasiada wakongwe,hatuna muda wa kupambana na chama kilichojiua chenyewe,chadema ilivikuta vyama vingi lkn hamkufanyiwa zengwe na majungu kama ninyi ambavyo mmejigeuza kuwa ofisi ya msajili,
mlisema chadema inawenyewe,wanyonge tumewaacha wenyewe mbaki na saccos yenu inayoongozwa na DJ mbowe na padri Slaa,
sisi tunatangaza sera zetu na tunaingwa mkono kwa kishindo kiasi cha majafidhina kuweweseka na kufanya vikao vya kuhujumu ACT,lkn kamwe hamuwezi fanikiwa,ACT NI YA WANYONGE,sauti ya wanyonge ni sauti ya mungu.
chopa tatu ,kata tatu,nabado
Kwa ukilaza wako...huwezi kujibu hilo swali..
 
Act kupitia gazeti la raia tanzania la jana wamedai wabunge watakao jiunga nao watapewa mpaka milioni 300 hizi zitatoka wapi kama sio ccm?
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Mwalimu toa mifano watu waelewe. Mimi binafsi ninashangaa kuona M/Kiti na Katibu CHADEMA KASULU wanamuunga mkono mgombea ajae wa CCM Kasulu Mjini Dan Nsanzugwako sijue wao hawana mgombea? Pia nakushauri acha kujilesi kama wanavyojilesi wengine jibu kistaarabu.
 
katika hali inayoashiria kuwa ccm na wahafidhina chadema hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia act. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..chadema na ccm damu damu ni wanyonyaji wakubwa
we mshe*#nzi una laana ya kupanga vurugu kwenye mkutano wa dk.slaa kasulu.
-mjinga mkubwa you huwezi ifananisha chadema na majitu yenye laana c.c.m,mnafiki mkubwa you!
-act ndiyo kenge gani????
 
mwalimu toa mifano watu waelewe. Mimi binafsi ninashangaa kuona m/kiti na katibu chadema kasulu wanamuunga mkono mgombea ajae wa ccm kasulu mjini dan nsanzugwako sijue wao hawana mgombea? Pia nakushauri acha kujilesi kama wanavyojilesi wengine jibu kistaarabu.

kajoro amewashinda kumtoa baada ya kubaini janja yenu ya kumfanyia vurugu dk.slaa sasa mnakuja na mtindo wa kumfanya aonekane anaungana na c.c.m!
-wajinga wakubwa mlo kosa kazi na pia mwacheni kamanda kajoro apige kazi kwa manufaa ya ukombozi wa watanzania.
 
Kaijage wameshindwa hoja,ndio maana wanakimbilia parsonal attack,lengo ni kukufunga mdomo kwa sababu wewe umekuwa kiongozi wa chadema kwa miaka mingi,hivyo unaojua chadema ma usanii wake nje ndani,inawavua nguo hadharani kiasi cha kujikuta unazidi kuzamisha jahazi,wape dawa wapone wsachana na ACT fobia,watakuelewa na hatimae watakiunga na ACT maana hiki chama hakina unaguzi kama ilivyo chama chao ambacho sifa kui ya kuwa kiongozi ni proparty qualification

naona umekuja kumsaidia Kaijage anayefilisika kimawazo
 
Tusha wajua nyie wana act hamna chenu kwa watu wenye akili zao mabda mka waadae huko Kigoma wenye elimu finyu sawa na vimo vyao

We kilaza usicheze na waha wa kigoma,hawa ndio wa kwanza kutoa mbunge wa upinzani mara baada ya vyama vya upinzani kuanzishwa,pia ndio mkoa pekee Tanzania ambapo ccm ni chama cha upinzani,yaani kati ya mjimbo manane ya uchaguzi ,matano yapo upinzani huku ccm ikiambulia matatu tu,
Je hawa hawajitambui ?
nyie mnao jitambua ccm inamajimbo mangapi mkoani kwenu na upinzani ina majimbo mangapi?
acha kuropoka mambo nila kufanya reseach
 
Act kupitia gazeti la raia tanzania la jana wamedai wabunge watakao jiunga nao watapewa mpaka milioni 300 hizi zitatoka wapi kama sio ccm?

Hivi nawe umejiunga na genge la kutunga hekaya?
kwa kuwa kwenu ni Tanga ,huenda ukawa mrithi wa Shaaban Robert.
ACT inapendwa na kila mwenye fikra huru,ni wewe ulieshikiwa akili unaeweza kubedha nguvu na ushawishi wa ACT miongoni mwa jamii ya watanzania wanyonge walioteswa kwa miaka 50 ya uhuru.
Endelea kuwashabikia hao mabepari w
mabingwa wa kula Ruzuku na kutumia pesa za umma kwenda kutanua Dubai huku wewe na familia yako mkiwa Tanga mnaendelea kupigika.
 
Back
Top Bottom