CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

Ngoja nipite mie manake nisijenikaongea ukaona nimekutukana kutokana na uzi wako mwalimu.
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
Mi wapuuzi kama wewe siwajibu kabisa mana wewe ni mpuuzi.., hicho chama cha matraitor mnakipromote sana,.
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

BAADA YA KUVURUGANA NA UONGOZI ACT ZITTO AAMUA KUITOSA ACT. AANGALIA WAPI AELEKEE ILI AIMALIZE ACT KABLA YA UCHAGUZI MKUU. HONGERA ZITTO.:thumbup:
 
Namhurumia sana huyu Mwalimu Kaijage anavyoshambuliwa kutokana na kuidhalilisha taaluma ya ualimu
 
Chadema na CCM hali mbaya sana!!! Hatimaye wanatoa povu!! Na Bado.
 
kajoro amewashinda kumtoa baada ya kubaini janja yenu ya kumfanyia vurugu dk.slaa sasa mnakuja na mtindo wa kumfanya aonekane anaungana na c.c.m!
-wajinga wakubwa mlo kosa kazi na pia mwacheni kamanda kajoro apige kazi kwa manufaa ya ukombozi wa watanzania.

Haitwi kajoro anaitwa Rajabu Mfaume Bujoro! Kwa kutojua hata jina lake inaonekana ni vipi usivyojua msimamo wake kisiasa kwa sasa hasa baada ya kubaini CDM iko mahututi ICU na ukiwa naye karibu utaamini nikuambiayo ila kwa kuwa inaonekana unapost kutokea TENGERU ni vigumu kuamini. Asante kwa kutuita wajinga tuliokosa kazi,lakini ukweli sisi sio wajinga ni welevu tulio na kazi, karibu Kasulu - Kigoma uone kazi zetu.
 
Huu ndio mfano mmojawapo. Na ACT itawachapeni fimbo za mgongo hadi mtakoma. Huu ni mwanzo tu

Hiki chama makao makuu yake yapo wapi na nikihitaji kujiunga nacho nafanyaje? Au ni chama cha mtandaoni tu?
 
haitwi kajoro anaitwa rajabu mfaume bujoro! Kwa kutojua hata jina lake inaonekana ni vipi usivyojua msimamo wake kisiasa kwa sasa hasa baada ya kubaini cdm iko mahututi icu na ukiwa naye karibu utaamini nikuambiayo ila kwa kuwa inaonekana unapost kutokea tengeru ni vigumu kuamini. Asante kwa kutuita wajinga tuliokosa kazi,lakini ukweli sisi sio wajinga ni welevu tulio na kazi, karibu kasulu - kigoma uone kazi zetu.

mbaya zaidi hujajua mimi ni nani!
-kwa taarifa tu leo nipo maeneo ya kasulu maeneo ya kitanga kwa kazi maalumu,na kesho nitakuwa manyovu keshokutwa nitakuwa kaliua tabora. Naamini umenilewa we mshe*#nzi.
 
Back
Top Bottom