CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

Mwl.Kaijage

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2014
Posts
279
Reaction score
64
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT.

Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..

CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
 
Katika hali inayoashiria kuwa ccm na wahafidhina chadema hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya watz kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watz. Hivi vyma ni vya kuogopwa kama ukoma..chadema na ccm damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Utahangaika sana wewe Kibaraka wa CCM.

ACT - Assist CCM Technically
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
Huku naona ni kuchanganyikiwa? Ina maana CCM ishirikiane na waliberali kukiua chama ambacho hata hakijazaliwa? Kama ni hivyo ccm itajitofautishaje na wanawake wanaoharibu mimba zingali changa?
 
mkuu ungefafanua zaidi kwa mifano hai vinginevyo ni majungu
 
Mtoto jeuri huyu,badala ya kutambaa kwanza yeye anakimbilia kutembea tu........
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa


Wewe una mimba changa inakusumbua. Katangaze sera zenu za usaliti, uzushi na wa kilaghai huko kwenu nanyi mpate sifa ya Ukanda you cockroaches! Hamna lolote zaidi ya visent vya bwana yenu Zitto Kabwe. Roho ya usaliti imemjaa mpaka usoni kukatokea vifundo vya usaliti na macho yenyewe kama ya bear (Dubu) mnyama hatari sana. Ndo ZZK mwenyewe! Ushirikina na fedha za CCM zinamponza bila kujijua.
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

ACT ndo kitu gani? Niko detached kidogo na siasa!
 
Hii threadi kama wewe ni msukule basi ndo unaweza ukusadiki uharo kama huu. Ila ukiwa na elimu hata ya daras la kwanza utasema kwa nguvu hatudanganyikiiiii.ccm fia mbali tena hapa kuizika tupa kuleeee baharini kama osoma alipokufa nakutupwa baharini
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Xaxa chadema washirikiane na CCM A, kuiua CCM B.
act ni tawi la ccm brother
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Unatia huruma!
 
Na bado mtahangaika sana, Wanaowasapport nao wameeanza kuwashtukia watakata misaada kwani mmeshaproof failure. hamna image nzuri kwa jamii. ni bora mjitafakari na mjue kuwa hamna mwenye akili timamu atakayewaunga mkono zaidi ya wehu wachache mnaowahonga na kuwarubuni. wanaojua kuhonga kimkakat (CCM) na wanawine wanawachekelea tu na subiri wangie watakavyowaumbua na kufunga vutawi vyenu vya KIGOMA kwa zitto.
 
CHADEMA haina muda wa kuhangaika na chama ambacho kinajifia chenyewe.
 
Hoja ya leo ni juu ya wasira kukwepa mdaharo je huo ni uzalendo unaozungumzwa?
 
Sera na misingi imara ya ACT inawachanganya wahafidhina, na bado
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku
wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya
kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Mara hii mmeshaanza kulalama?
 
Back
Top Bottom