CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

Sasa Molemo na Songolo, kama ACT haina wanachama mbona hanaangaika nacho, siku zenu zinaesabika,mtapoteana wote hata humu kwenye mitandao,, Nguvu ya ACT hakuna wa kuizima kwani ndio tumaini la Watanzania baada ya kushindwa kwa vyama vya kinjanja..

Unapodeal na shetwani ccm huwezi kuviacha vibaraka vyake kama act!
 
CCM, CDM,ACT kuelekea 2015 ni UJERUMANI, BRAZIL, ARGENTINA NA UHOLANZI kuelekea FAINALI, CCM(ujerumani) ilisha-qualify inasubiri mshindi Kati ya CDM(Uholanzi) na ACT(agentina). Mjikanyage sana, ila msipoangalia ACT na majungu yenu haya CDM wanaweza kuinia fainali kukabiliana na jabali la SIASA.
 
ni laana kwa taifa kuwa na watu wenye fikra mgando kama za kwako,jijengee hulka ya kjitathmini kabla ya kujibu posti za watu.
Unaposhindwa kujibu hoja na kukurupuka ni kwamba uwezo wako wa kiakili ni mdogo. kajoro Bujoro, matuzi, kazi yako karibu kasulu
 
CHADEMA a.k.a Saccoss a.k.a CHAGGADEMA imeshajifia taratibu haina hata ya kuvaa miwani uone hili.
Wassira alishaitabiria siku nyingi tu KIFO cha wala ruzuku!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Una ndoto za kitoto sana,hilo tawi la lumumba litakufa kifo cha mende:Ulishaona wapi ngoma ya wasaliti ikakesha?

ACT itawasumbua sana Wahafidhina,walidhani kufanya siasa ni mpaka uwe CCM na CDM,,kumbe maisha ya siasa yapo hata nje ya vyama chakavu!! hapa wimbo ni Uzalendo tu na ACT-TANZANIA.
 
CCM, CDM,ACT kuelekea 2015 ni UJERUMANI, BRAZIL, ARGENTINA NA UHOLANZI kuelekea FAINALI, CCM(ujerumani) ilisha-qualify inasubiri mshindi Kati ya CDM(Uholanzi) na ACT(agentina). Mjikanyage sana, ila msipoangalia ACT na majungu yenu haya CDM wanaweza kuinia fainali kukabiliana na jabali la SIASA.

CDM kuingia fainali inabaki kuwa Historia kama historia zingine duniani!!!! Kamwe CDM ndio hivyo imepotea.
 
Maskini cdm kama mbwa koko tu kubweka sanaaa lakini ikitishiwa mkia ndani.cdm acheni siasa za kalele za viroba fufueni chama chenu.
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT.

Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..

CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Hata mimi hao ACT sioni la maana hapo, maana waasisi wake walitimuliwa vyama vingine kwa utovu wa nidhamu
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT.

Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..

CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Hata mimi hao ACT sioni la maana hapo, maana waasisi wake walitimuliwa vyama vingine kwa utovu wa nidhamu
 
Mwl.Kaijage aka Ludo , kuna sherehe ilifanywa kati ya CCM na ACT Kigoma , unaijua ? Soma Uzi wenye news hiyo
 
ndiyo maana ualimu unakosa hadhi nchi hii!!
 
Back
Top Bottom