CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

Molemo, hiyo ni misukule yenu mliyoshindwa kuipa chakula ndo inahangaika majalalani kutafuta msosi

Hiyo misukule mliirubuni nyie eti mtaiwezesha kila kitu Ili itusambaratishe naona mnaigeuka kama mlivyowageuka waliowachagua Ile ahadi ya "maisha bora kwa kila Mtanzania"Kweli hamna shukurani Ccm
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
ACT kuwalaumu ccn ni geresha tu, hawawezi kuung'ata mkono unao walisha..!
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Acha kukwepa kashfa yenu nyie ni ccm hauoni zitto anavyojikomba kwa kikwete na akina january makamba nyie ni actccm na mfadhili wenu ni ccm.
 
Huna hata aibu kijana,Tanzania nzima inajua kuwa hiki chama kimeanzishwa kwa malengo machafu kwa msaada wa ccm, kumbuka ktk bunge lililopita Lukuvi alisifia na kusema kuna chama kimesajiriwa hivi karibuni kinaonekana kuwa makini,we uliona wapi waziri wa ccm akisifia upinzani,shtuka
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Hasira za kuongezewa mshahara kiduchu hizi...una wazimu weye!
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Mulisema kuwa CHADEMA ni mbaya mkaisaliti ina maana mzazi wenu CCM naye amekuwa mbaya mpaka muanze kumsaliti kiasi hiki?.
 
pompoo.... pompoo... sawa sawa sawaleee x2 ....Yaani siku zote ACT mnaimbishwa na kushangilia nyimbo za CCM, Mnapokea Fedha nyingi kutoka CCM kwa lengo la kuisambaratisha CDM kwa uwazi bila kificho, ACT yenye WASALITI wa kila aina eti leo hii nao wana moral authority ya kuinyooshea kidole CDM!!! Grrrr ... Jaribu kusafu zaidi humu ndani Mkuu! Hakuna kama JF data Bank!!! Katika mambo matatu ambayo TISS walimsahiri Mkuu wa Kaya ni Kuunda Chama Mbadala cha kuisakama na kuchafua CDM kwa nguvu zote, Kuifuta CDM kwa mizengwe ya Ugaidi, ama CCM ikubali yaishe iachie madaraka kwa CDM ili kuzuia umwagaji damu nchini .... Mtafute Mhe Jackbower, Informer et al wataweza kukusaidia kwa kina....pengine Invisible ama BAK itakuwa rahisi zaidi...
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
 
ulisema chama watu wanagombania kadi mpaka wamekosa unakuja na propaganda nyingine chama mmeanzishiwa na ccm sasa watawaujumu vp subirini wamelize kazi ya kuwatumia ndo ulalamike vizuri
 
Aisee, naona siku Hizi 3 mmeanza kuwataja stratetegically kuwa ccm ni adui zenu.

Ikifikia mkiwataja hao bila kuwataja chadema kidoooogo mtaanza kuuza kwa baadhi ya watu.
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
Hamna uwezo wa kuendesha chama cha siasa,pia watz wengi hawana utamaduni wa kuchangia vyama isipokuwa kwa kununua kadi, sasa kadi chama cha ACT cha nini?so mtatumika tu...pia CCM watawatupa tu na kugawa chadema hamtaweza kwa sb kuna watu walistrugle sasa wewe kuingia kwenye chama then kwa kutumia akili yako ya kibongo unaona kuwa wewe ndiyo mwanzilishi huo ni upumbavu
 
Huyu kama ndio mwalimu wa kumfundisha mwanangu, ni bora hata afundishwe na mimi mwenyewe.
 
Mtoto jeuri huyu,badala ya kutambaa kwanza yeye anakimbilia kutembea tu........

Wataisema act lakini kila siku kinasonga mbele utoto siotatizo bali busara ndio inayotakiwa
Kumbukeni vyama vyote boss wao nu mwananchi sera ndio itasababisha ukubalike kwa boss
 
Back
Top Bottom