CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

CHADEMA waungana na CCM kudhoofisha ACT

Acheni propaganda jamani CHADEMA ni chama makini na madhubuti kisihongeka na chenye nia ya kuikomboa nchi hii sasa mnaosema kimafanya kazi ya kufuatilia mambo ya watoto wadogo na walafi kama ACT nawashangaa. someni historia acheni stori za kwenya vijiwe vya kahawa Jamani
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
So sad!
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Utakuwa malimu wa UPE
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

wewe kweli ni mwalimu? tangu lini mmekua imara mpaka mdhoofishwe?
 
Eti kaijage nae ni mwl,watoto wetu anawapa div 5,kwani ccm nayo ni chama cha upinzani?na Act inawabunge wangapi?acha kubwabwaja we mwl wa vodafasta,baba mwanaisha kasema nafasi za ukuu wa wilaya zimeisha.
 
Mwl Kaijage=Mwl Kisandu=Mwl Mwampamba=Mwl Chagulani...Majanga tupu
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Vipi mkuu naona umeanza kukata tamaa mapema, nilishasema act ni kama mti uliopandwa jangwani wakati wa jua kali unahitaji muujiza kuota
 
Haya ndiyo mahusiana baina ya ACT na CCM

_monkey_love.jpg
 
Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa

Cku mwezi na jua vikiwaka pamoja kwa wakati mmoja angani ndipo cdm na fisi ccm wataungana,nao ufalme wa Mungu utakuwa umekaribia.
 
Acha kuandika upumbavu wewe!!! Kama huna cha maana cha kuandika kaa kimya badala ya kuandika pumba.

Katika hali inayoashiria kuwa CCM na wahafidhina CHADEMA hawapendi kuona demokrasia inachukua nafasi hapa nchini, hivi sasa wanakesha majukwaani,mitandaoni na katika vikao vya siri kushambulia ACT. Ni aibu kwa wahafidhina hawa kuungana hivi sasa huku wakiwadanganya Watanzania kuwa wao ni vyama vya kupigania usawa,na haki kwa watanzania. Hivi vyama ni vya kuogopwa kama ukoma..CHADEMA na CCM damu damu ni wanyonyaji wakubwa
 
Back
Top Bottom