Takalani Sesame
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 588
- 161
Suluhu ni kwa TBC kuwa ya kitaifa na kuacha propaganda zao dhidi ya upinzani. Vinginevyo big up kwa Chadema ambao mmetuunga mkono na sisi tulioanza kuisusia TBC kitambo kabisa.
chadema wapo kama mwanamke malaya kwa kususa wakati hela ya kula unamtegemea msela, tumeishawazoea, walimkataa jk wakapewa juice ikulu wenyewe wakalegeza!
Wamekususa hadi wewe Ritz huoni hata mada zako unazoanzisha wachangiaji ni kiduchu
Chadema bana kila kitu kususa haya endeleeni kususa lakini mwisho wa siku mtakula.
Leo katika semina ya siku Moja iliyoitishwa na TCD, TBC 1 Ilikuja kwa lengo la kufanya coverage ya kikao. Baada ya hotuba za ufunguzi waliwaita viongozi aw CCM na wa CHADEMA nje kwa ajili ya mahojiano zaidi. Mwakilishi wa CCM alitoka haraka haraka na kuanza kuhojiwa. Lakini Yule wa CHADEMA aliwaita wenzake na kujadiliana kama ingekuwa afya kwa chama chao kama angehojiwa hasa baada ya chama kutangaza mgogoro na TBC 1. Kwa pamoja walikubaliana kutoshiriki mahojiano hayo na hivyo kuwaacha TBC waking'aa macho.
Waliohudhuria semina hiyo kuiwakilisha CHADEMA ni
1. Mhe. Naomi Kaihura
2. Mwita Marwa Mwikabe
3. Tumaini Makene
4. Basil Lema.
Inaonyesha kuwa mgogoro aw CDM na TBC ni real. Labda atafutwe mtu awasuluhishe!
Wao waendelee kuandaa vipindi vya kutukana CDM kama kawaida yao.
Bahati mbaya kwa tbccm ni kwamba kadri wanavyojitahidi kuitukana Chadema ndivyo watu wanavyozidi kuiunga mkono, na baada ya kamati kuu kutoa tamko la kuisusia sasahivi tbccm imeendelea kutazamwa na watu wachache kwahiyo kujaribu kufanya mahojiano na Chadema ingekuwa ni ushindi kwao.
... Lakini Yule wa CHADEMA aliwaita wenzake na kujadiliana kama ingekuwa afya kwa chama chao kama angehojiwa hasa baada ya chama kutangaza mgogoro na TBC 1. Kwa pamoja walikubaliana kutoshiriki mahojiano hayo na hivyo kuwaacha TBC waking'aa macho.
...
mueshimiwa bahati yako umekuta watu tunafunga mwaka mzima la sivyo leo ungenitumbukiza kwenye ban ata hivyo wakati mwingine jitahidi kuficha upunguani wako tafuta suluhu ya people 11 kule arushachadema wapo kama mwanamke malaya kwa kususa wakati hela ya kula unamtegemea msela, tumeishawazoea, walimkataa jk wakapewa juice ikulu wenyewe wakalegeza!
Magamba bhana,mipasho kuanzia mwenyekiti mpaka vibaraka wake!!!!Chadema bana kila kitu kususa haya endeleeni kususa lakini mwisho wa siku mtakula.