Chadema bana kila kitu kususa haya endeleeni kususa lakini mwisho wa siku mtakula.
Tutaongea na Koffi Annan....
Inaonyesha kuwa mgogoro aw CDM na TBC ni real. Labda atafutwe mtu awasuluhishe!
Utaumia mpaka upasuke, lakini TBC itaendelea kufanya shughuli zake kama kawaida.
Mitanzania mingine sijui ikoje, hoja za kipuuzi puuzi na malalamiko ya kipumbavu.
wemesusia mengi mbona ruzuku hawasusii?
Chama
Gongo la mboto DSM
kwani chadema ni nani hapa duniani hadi wabembelezwe.ni kuwapuuza tu.
Thubutu wasusie pesa Chadema ni kampuni.
Mkuu chama,
Hisa zao wanauza kutokana na kanda unayotoka.