CHADEMA wasusia Interview ya TBC 1

Chadema kwa kususa. Hii ndio tabia yao kama watoto vile!!?
 
eti television ya taifa imebadilika ni wenezi wa chama kikuu cha ufisdi aibuuuuu ngoja sasa waone peoples power inavyowananga
 
Utaumia mpaka upasuke, lakini TBC itaendelea kufanya shughuli zake kama kawaida.

Mitanzania mingine sijui ikoje, hoja za kipuuzi puuzi na malalamiko ya kipumbavu.

we ndo mpuuzi... Idiot
 
Kwa muda mrefu TBC wamekua hawatangazi habari nzuri za CDM, nyingi ni zile hasi and sometimes wanafanya interpretation ambazo kwakweli sio sahihi, rejea midahalo waliofanya soon after those 2 deaths, ile ya Morogoro na mwandishi mwenzao Daudi Mwangozi (RIP), nadhani wamefanya utafiti wa kutosha na kujiridhisha kuwa most of Tanzanians hawaangali tena vipindi vyao, labda The comedy na Chereko, lakini vipindi vingine ndo hivyo tena, havina watazamaji, why? wamekuwa kimagamba zaidi kuliko ki fact zaidi, so wakaona wawatafute CDM ili maybe wanaweza kurudisha mioyo ya watazamaji makini kwenye TV yao, CDM nao wakawastukia, so imekula kwao! Big up sana CDM. Please naomba nieleweke, sio wote wasioitazama TBC, bali watu makini ndio wameiwekea vikwazo vya kiuchumi TBC, na watu wa aina hii wanazidi kuongezeka kadiri soma la Uraia livyoendelea kufundishwa na CDM.
 
Hawa jamaa wa DSTV wanashoboka nao kwa ajili gani? wawatawanye sasa hivi kituo hiki ni sawa na ubwabwa bila chumvi siku hizi tunaonyeshwa jinsi ya kufuga nyuki!!! hahahahahaaaaaaa simu ya mezani imepigwa gundi ya utepe mweusi shame!!! afu live
 
NDO MAANA MUHANDO AMEONDOKA AU SIJUI KAONDOSHWA KWA KUWA CHOMBO HICHI KIMEJAA UPENDELEO.
:A S shade:
 
kwani chadema ni nani hapa duniani hadi wabembelezwe.ni kuwapuuza tu.

you seem to be ready for anything lakini sisim ikae madarakani? wewe ni miongoni mwa hao niliosikia 'sisim inawenyewe'. kwa hakili ya kawaida huwezi kuona kuwa tbc hawatendei haki chadema na watanzania wengine wasio na vyama. kupata taarifa ni haki ya kibinadamu zaidi kuipitia state tv.
 
We always dare for action and nothing more. We real act like a ruling part. Sure we deserve to be, wait for 2015 election
 
Mkuu Ritz,
Ukisikia tetesi wanataka kuisajili Dar stock exchange nijuze nijiandae ninunue share za saccos

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,
Hisa zao wanauza kutokana na kanda unayotoka.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz,
Ukisikia tetesi wanataka kuisajili Dar stock exchange nijuze nijiandae ninunue share za saccos

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,
Hisa zao wanauza kutokana na kanda unayotoka.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom