<br />hiyo sio demokrasia kila chama kina ushawishi wake wew kutokukipenda au kutokumpenda mgombea haina maana kuwa ndo msaliti kila chama lengo lake la msingi ni kushika hatamu sasa kwa kuachiana majimbo tutafika wapi?
<br />
kwakutokuachiana majimbo na unajua chama fulani cha upinzani kinanguvu pale kweli hamtafika popote ila itakayofika nakufaidika ni ccm kwakuchukua jimbo kiulaini kwaurohowenu wa madaraka nyie wapinzani hasa cdm.