BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
hii inadhihirisha ubinafsi na uchoyo wa baadhi ya viongozi wa cuf
Acha ushamba,we hujui siasa.CUF wakishinda chadema itanufaika vipi,au chadema wakishinda CUF itanufaika vipi,Wote wasimamishe wagombea mshindi apatikane,Kumbuka kila chama kinahitaji kujinadi ili kikue kichukue dola.Bora tuwe wakweli Vyama vya siasa havitafika mbali kama havitokuwa na tabia ya kuachiana majimbo. Kama kweli CUF ina nguvu zaidi ya CDM basi CDM waiachie CUF Igunga vinginevyo ni kuwapa CCM ubwete wa kushinda.
Mi nafikiri kila chama katika uchaguzi kina haki ya kushiriki kugombea kiti chochote kilicho wazi,sioni haja ya kuona eti chama fulani kinakwenda kuharibia chama kingine hii hapana shindana ukishinda jipongeze si wakati wa kusaka kisingizio.CUF wameenda igunga kuisaidia CCM ishinde siyo yenyewe kushinda,wao CUF wanamuafaka na CCM huko Zanzibar sasa ndoa yao si bado haijavunjika wananchi tusiwaskilize hao ni ccm ya pili.
Mratibu wa kampeni wa cuf Julius Mtatiro ameishtumu vikali chadema kwamba kiimeenda Igunga kwa lengo la kugawa kura za Cuf.
Mtatiro amesema chadema wanajua wazi hawana nguvu yoyote Igunga lakini wameamua kwenda huko ili ccm ishinde.Mtatiro amemueleza mwandishi wa habari hizi kwamba chadema wasijidanganye kuambulia hata nafasi ya pili bali watakuwa namba 3 nyuma ya ccm na cuf.
Mtatiro amesema cuf wamejipanga kuwaeleza wananchi wa igunga ukweli wote kuhusu chadema ili waamue wenyewe.
Huyu Mtaa tiro mbona haeleweki? kinachoonekana hapa naye anajitahidi kutafuta umaarufu kwa kuishambulia Chadema ili naye asikike.
Hivi kwa capacity yake kama naibu katibu mkuu wa chama bara anashindwa kuelewa fomula ndogo tu kwamba Chadema ni chama kilichosajiliwa na ni chama kikuu cha upinzani na kina haki zote za kugombea nafasi yoyote ya uchaguzi kama ilivyo cuf na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu?
Hivi ameshindwa kutambua kwamba vyama vya upinzani havijaungana na havijawahi kufanya hivyo katika uchaguzi wowote? hivi hakumbuki cuf walifanya nini katika uchaguzi mdogo wa Mbeya vijijini miaka ile?
hivi hajui ni nini kilitokea Tarime katika uchaguzi mkuu uliopita?
Mtatiro acha unafiki!!!
Mratibu wa kampeni wa cuf Julius Mtatiro ameishtumu vikali chadema kwamba kiimeenda Igunga kwa lengo la kugawa kura za Cuf.Mtatiro amesema chadema wanajua wazi hawana nguvu yoyote Igunga lakini wameamua kwenda huko ili ccm ishinde.Mtatiro amemueleza mwandishi wa habari hizi kwamba chadema wasijidanganye kuambulia hata nafasi ya pili bali watakuwa namba 3 nyuma ya ccm na cuf.Mtatiro amesema cuf wamejipanga kuwaeleza wananchi wa igunga ukweli wote kuhusu chadema ili waamue wenyewe.
Mratibu wa kampeni wa cuf Julius Mtatiro ameishtumu vikali chadema kwamba kiimeenda Igunga kwa lengo la kugawa kura za Cuf.Mtatiro amesema chadema wanajua wazi hawana nguvu yoyote Igunga lakini wameamua kwenda huko ili ccm ishinde.Mtatiro amemueleza mwandishi wa habari hizi kwamba chadema wasijidanganye kuambulia hata nafasi ya pili bali watakuwa namba 3 nyuma ya ccm na cuf.Mtatiro amesema cuf wamejipanga kuwaeleza wananchi wa igunga ukweli wote kuhusu chadema ili waamue wenyewe.
<br />wajameni,<br />
huyu mtatiro ameshaeleza mara mbili hapa ndani juu ya hali halisi na shutuma anazopewa, na ameomba tuhuma hizo zithibitishwe, mleta mada ameingia mitini, hataki kuthibitisha, kwa hiyo tutamshambulia mtatiro wa watu bila hatia. In fact nasisitiza kuwa ukweli utasimama daima, kwa mtu yeyote aliyesoma mlimani na vyio vikuu vingine enzi za uongozi wa mtatiro atashangaa kuona mtatiro anakejeliwa na kudhihakiwa. Mimi binafssi namtetea mtatiro unless otherwise ikiwa proved hapa kuwa kasema hiki na kile. Good enough yeye mwenyewe kafafanua nini alichowahi kusema hasa kuhusu chadema na ametoa msimamo bila uoga wala kificho juu ya hali halisi, na kwa mtizamo wangu ameilinda hoja na ushahidi wake vizuri, so sioni kosa lake, au mtoa mada ana kisasi tusichokijua na mtatiro? au ndiyo mambo yaleyale ya kuizamisha JF ionekane inajadili hoja ambazo hazina ukweli na msingi wowote?
Kweli Raisi wangu mstaafu wa udsm ameisha kabisa na ccm B yake jamani ckuzote kama una tawi sehemu na kuna viongozi watawi basi ni ruksa kuweka mgombea sasa vp MTATIRO PAKAVU ANATEREZA.