Mtatiro hajamwambia mwandishi yeyote kuhusu suala la usaliti wa chadema igunga.<br />
Hutu aliyeleta mada hii aseme ni gazeti lipi na mwandishi yupi.<br />
<br />
Pia mtatiro siyo mratibu wa kampeni za cuf igunga, mratibu wa kampeni zetu ni shaweji mketo, naibu mkurugenzi wa uchaguzi cuf taifa. Kuna watu humu wasipomshutumu mtatiro kwa maneno ya uongo na vijembe hawaoni raha. Mtatiro anabakia kuwa kiongozi makini na ambaye amesimamia historia ya mapambano na hadi leo hana rekodi ya udhaifu katika uongozi wake.<br />
<br />
Mtatiro aliamua kujiunga cuf kwa utashi na akili yake na hakulazimishwa na mtu, kuwa kwake cuf kusiwe hoja kwa wanaoichukia cuf.<br />
<br />
Mimi ni mohammed mtutuma - msaidizi maalumu wa mhe. Mtatiro