CHADEMA wasaliti - CUF

Masaburi bana Mtatiro ni mwalimu ana BA in Education, udsm. Anashindwa kufahamu maana ya neno "usaliti" ok why asiwaambie CCM ndio wanawasaliti? Cdm na ccm nani ana ndoa na cuf.

Ndoa ya kwanza ilikuwa kule Kigoma, sijui ya nani ile? hii ya CUF ya pili na imefana sana, wana makamu wa Rais. Unalo?
 
Bora tuwe wakweli Vyama vya siasa havitafika mbali kama havitokuwa na tabia ya kuachiana majimbo. Kama kweli CUF ina nguvu zaidi ya CDM basi CDM waiachie CUF Igunga vinginevyo ni kuwapa CCM ubwete wa kushinda.

hiyo sio demokrasia kila chama kina ushawishi wake wew kutokukipenda au kutokumpenda mgombea haina maana kuwa ndo msaliti kila chama lengo lake la msingi ni kushika hatamu sasa kwa kuachiana majimbo tutafika wapi?
 
Mtatiro wewe huna lolote,ulikuwa unatugomesha udsm kwa maslahi yako binafsi at the end the day ukatusaliti...igunga hamna chenu
 
Bora tuwe wakweli Vyama vya siasa havitafika mbali kama havitokuwa na tabia ya kuachiana majimbo. Kama kweli CUF ina nguvu zaidi ya CDM basi CDM waiachie CUF Igunga vinginevyo ni kuwapa CCM ubwete wa kushinda.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Tatizo viongozi wetu wengi wanatumiwa vyama vikigundua hilo ccm ni kwishakazi ukitowa ushauli utaambia umetumwa au we nimagamba ukweli utabaki umimi utafanya ccm iendelele kupeta kwa kuchakachua au kujichakachua wenyewe cdm+cuf= ccm malehem igunga
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Tatizo viongozi wetu wengi wanatumiwa vyama vikigundua hilo ccm ni kwishakazi ukitowa ushauli utaambia umetumwa au we nimagamba ukweli utabaki umimi utafanya ccm iendelele kupeta kwa kuchakachua au kujichakachua wenyewe cdm+cuf= ccm malehem igunga

Hebu tumia akili yako japo kidogo. Kama kuachiana majimbo ndio kipimo chako cha demokrasia, sasa niambie kama wabunge wafuatao walishindanishwa na wa vyama vingine ikiwemo na cuf ama Cuf walikuwa wazalendo hawakuweka mgombea;

1.Mr. II (J.Mbilinyi)
2.Godbless Lema
3.Zitto Kabwe na wengine wengi.

Yaani kila mara cuf inapoona dalili za kushindwa vibaya ziko bayana na hasa pale chadema inapokuwa juu lazima waje na haya madai ya hovyo kabisa.

Pambaneni cuf, punguzeni kulia lia sera zenu na za chadema hazifanani kabisa sasa mnataka kuachiwa ili iweje?
 
Mtatiro hajamwambia mwandishi yeyote kuhusu suala la usaliti wa chadema igunga.
Hutu aliyeleta mada hii aseme ni gazeti lipi na mwandishi yupi.

Pia mtatiro siyo mratibu wa kampeni za cuf igunga, mratibu wa kampeni zetu ni shaweji mketo, naibu mkurugenzi wa uchaguzi cuf taifa. Kuna watu humu wasipomshutumu mtatiro kwa maneno ya uongo na vijembe hawaoni raha. Mtatiro anabakia kuwa kiongozi makini na ambaye amesimamia historia ya mapambano na hadi leo hana rekodi ya udhaifu katika uongozi wake.

Mtatiro aliamua kujiunga cuf kwa utashi na akili yake na hakulazimishwa na mtu, kuwa kwake cuf kusiwe hoja kwa wanaoichukia cuf.

Mimi ni mohammed mtutuma - msaidizi maalumu wa mhe. Mtatiro
 
Mtatiro hajamwambia mwandishi yeyote kuhusu suala la usaliti wa chadema igunga.<br />
Hutu aliyeleta mada hii aseme ni gazeti lipi na mwandishi yupi.<br />
<br />
Pia mtatiro siyo mratibu wa kampeni za cuf igunga, mratibu wa kampeni zetu ni shaweji mketo, naibu mkurugenzi wa uchaguzi cuf taifa. Kuna watu humu wasipomshutumu mtatiro kwa maneno ya uongo na vijembe hawaoni raha. Mtatiro anabakia kuwa kiongozi makini na ambaye amesimamia historia ya mapambano na hadi leo hana rekodi ya udhaifu katika uongozi wake.<br />
<br />
Mtatiro aliamua kujiunga cuf kwa utashi na akili yake na hakulazimishwa na mtu, kuwa kwake cuf kusiwe hoja kwa wanaoichukia cuf.<br />
<br />
Mimi ni mohammed mtutuma - msaidizi maalumu wa mhe. Mtatiro
<br />
<br />
Ningekushauri mwambie aje mwenyewe akane maneno yake tuna maswali mengi tunataka kumuuliza.Aje atueleze kati ya cuf na ccm nani kamuoa mwingine Zanzibar? Atuambie si yeye aliitisha mkutano na waandishi na kusema chadema ni chama cha kidini? Anadhani tumesahau?
 
Kila chama kina haki ya kushiriki uchaguzi katika jimbo lolote hapa Tz. Hivyo wote waende wakafanye kampeni zao,kwa kuwaeleza wananchi wa Igunga watawafanyia nini,na sio kurushiana matusi na vijembe visivyo na maana. Na mwisho wa siku wawape uhuru watu wa Igunga kupiga kura na kumchagua mgombea anayefaa.
 
Mtatiro anasahau kuwa CUF ndiyo wasaliti? Cuf walijua Arusha hawatashinda, lkn walimsimamisha Mkora wao ili kura za CHADEMA zigawanywe, matokeo yake CUF na CCM wakagawana kura huku CHADEMA tukipeta.
 
Hakuna kumwachia mtu hapa, makombola yote yako njiani kuelekea Igunga. Mtatiro ajipange upya vinginevyo hiyo approach atakibomoa chama na asishangae yatakikuta chama baada ya uchaguzi.
 
Ameshaanza kutumika vibaya huyu bwana!Kauli yake yakuwa watawaeleza wana Igunga yote yaihusuyo CDM ni wazi kuwa wameamua kuisaidia CCM ishinde(wana ndoa hawa).....rejea jina la operesheni yao huko!

Huyu Jamaa kasahau kuwa yeye aliamua kuharibu pale Ubungo sema jimbo lile waimtabua kwamba jaaama anatumika na watu wa magamba na pale CUF yupo kimaslahi maana wenye akili wanajua kua baada ya Lwekatare kuondoka chama kilikosa mkristo so wakaona wamtumie maana yeye anatumia masaburi
 
Mtatiro hajamwambia mwandishi yeyote kuhusu suala la usaliti wa chadema igunga.<br />
Hutu aliyeleta mada hii aseme ni gazeti lipi na mwandishi yupi.<br />
<br />
Pia mtatiro siyo mratibu wa kampeni za cuf igunga, mratibu wa kampeni zetu ni shaweji mketo, naibu mkurugenzi wa uchaguzi cuf taifa. Kuna watu humu wasipomshutumu mtatiro kwa maneno ya uongo na vijembe hawaoni raha. Mtatiro anabakia kuwa kiongozi makini na ambaye amesimamia historia ya mapambano na hadi leo hana rekodi ya udhaifu katika uongozi wake.<br />
<br />
Mtatiro aliamua kujiunga cuf kwa utashi na akili yake na hakulazimishwa na mtu, kuwa kwake cuf kusiwe hoja kwa wanaoichukia cuf.<br />
<br />
Mimi ni mohammed mtutuma - msaidizi maalumu wa mhe. Mtatiro
<br />
<br />

Mwambie bosi wako aache woga!
 
Huyu Jamaa kasahau kuwa yeye aliamua kuharibu pale Ubungo sema jimbo lile waimtabua kwamba jaaama anatumika na watu wa magamba na pale CUF yupo kimaslahi maana wenye akili wanajua kua baada ya Lwekatare kuondoka chama kilikosa mkristo so wakaona wamtumie maana yeye anatumia masaburi
<br />
<br />
Mkuu hapo kwenye udini umenikumbusha. Kumbe jamaa alim replace Lwakatare! Yupo kimaslahi zaidi
 
Acha kelele ww Mtatiro, hujui kwamba uko choo cha kike? Fanya utoke huko ujiunge na wapambanaji wenzio CDM. Cuf walishawekwa unyumba na ccm, unajidhalilisha huko.
 
Bora tuwe wakweli Vyama vya siasa havitafika mbali kama havitokuwa na tabia ya kuachiana majimbo. Kama kweli CUF ina nguvu zaidi ya CDM basi CDM waiachie CUF Igunga vinginevyo ni kuwapa CCM ubwete wa kushinda.
<br />
<br />
mwenye macho haambiwi tazama,cuf wamechimbia mizizi igunga tokea yaanze mageuzi,chadema hata tawi wa walikua hawana wamekurupuka juzi kwakua kuna uchaguzi mdogo,tatizo chadema wanatamaa mno na wanajidanganya kwandoto zamchana,cdm wangewaachia cuf wenye nguvu kubwa igunga jimbo lingechukuchuliwa na upinzani,ila kwa tamaahizi za cdm naweza sema wazi tayari ccm wameshashinda na wanasubiri kuapisha mbungewao tu.
 
Back
Top Bottom