FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,182
Masaburi bana Mtatiro ni mwalimu ana BA in Education, udsm. Anashindwa kufahamu maana ya neno "usaliti" ok why asiwaambie CCM ndio wanawasaliti? Cdm na ccm nani ana ndoa na cuf.
Ndoa ya kwanza ilikuwa kule Kigoma, sijui ya nani ile? hii ya CUF ya pili na imefana sana, wana makamu wa Rais. Unalo?