CHADEMA wasaliti - CUF

CHADEMA wasaliti - CUF

Kwa kweli, hali yao ni mbaya. Kumbe CUF wanatafuta ushindi wa pili au wa tatu?
Inamanisha CUF hawana uhakika na wapiga kura wao ndo maana wanawaza mambo ya kugawana kura, Chadema tuna kura zetu za wananchi wenye uchungu wa kupata maendeleo, hatuna wa kugawana nae hizi kura kwa kuwa mtazamo na utendaji wa chama chetu ni wa kipekee
 
Kwa namna hii siasa zetu bado. Bora CDM wako serious. They mean business.
 
<a href="https://www.jamiiforums.com/members/julius-mtatiro.html" target="_blank"> <img src="https://www.jamiiforums.com/images/misc/unknown.gif" border="0" alt="" /> </a> &nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;Junior Member &nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&
DAH! ASHAKACHUA! magamba-B nao washakopi mchakachuo technique!
 
cdm haipo tena wafuasi wake waliokipa kura wamerudi kwenye chama chao ccm, na siku za chadema katika ramani ya siasa za tanzania zinahesabika.
<br />
<br />
ONGEZA ZA KWAKO KIDOGO! SIKU NYINGENE USIKARIRI MASABURI WE!
 
Yaani chadema inapandishwa chati kila uchao. Mtu akihisi wananchi hawamwelewi-ni chadema, akifilisika kisiasa-chadema, wanandoa wasipoelewana-chadema, akidhani atakosa ubunge-chadema. Chadema, chadema, chadema... Pimaneni kwa hoja bana tunawasikia. Mtatiro unataka sub kabla ya game kuanza? Acha hizo.
 
Hivi CCM na CUF si wana ndoa ya Mkeka? au mimi ndio sielewi? au Ndiyo yaleyale ya Mh Tundu Lissu kuwa ya Pwani yabaki Pwani na Bara yabaki Bara? sasa mbona walikuwa wanampinga tena?
 
Mtatiro amejibu hoja za wengi. Sasa mleta hoja hii aliipata wapi? Nini chanzo chake?
 
Mratibu wa kampeni wa cuf Julius Mtatiro ameishtumu vikali chadema kwamba kiimeenda Igunga kwa lengo la kugawa kura za Cuf.Mtatiro amesema chadema wanajua wazi hawana nguvu yoyote Igunga lakini wameamua kwenda huko ili ccm ishinde.Mtatiro amemueleza mwandishi wa habari hizi kwamba chadema wasijidanganye kuambulia hata nafasi ya pili bali watakuwa namba 3 nyuma ya ccm na cuf.Mtatiro amesema cuf wamejipanga kuwaeleza wananchi wa igunga ukweli wote kuhusu chadema ili waamue wenyewe.

Huyo ndiye mratibu wa kampeni CUF (Naibu Katibu Mkuu-Bara), hayo makubwa. Yaani tayari ameshakubali kushindwa akimaanisha kuwa wenyewe CUF watakuwa wa pili nyuma ya CCM but mbele ya CHADEMA. Zijabadilisha maneno hapa, angalia mpangilio wa maneno yake hapo kwenye nyekundu.Hafai kuendesha kampeni kama tayari anakiri kuwa watakuwa wa pili.
 
Mratibu wa kampeni wa cuf Julius Mtatiro ameishtumu vikali chadema kwamba kiimeenda Igunga kwa lengo la kugawa kura za Cuf.Mtatiro amesema chadema wanajua wazi hawana nguvu yoyote Igunga lakini wameamua kwenda huko ili ccm ishinde.Mtatiro amemueleza mwandishi wa habari hizi kwamba chadema wasijidanganye kuambulia hata nafasi ya pili bali watakuwa namba 3 nyuma ya ccm na cuf.Mtatiro amesema cuf wamejipanga kuwaeleza wananchi wa igunga ukweli wote kuhusu chadema ili waamue wenyewe.

Kama usaliti maana yake ni kugawa kura za chama pinzani basi kimsingi kila chama kinasaliti vyama vingine na ndio maana ya demokrasia kama sikosei. CCM inavisaliti CHADEMA na CUF; CUF inavisaliti CCM na CHADEMA; na CHADEMA inavisaliti CCM na CUF. Kwa hiyo wote ngoma droo kilichobaki ni kila chama kuuza sera zake tu ili mgombea wao akubalike na kuchaguliwa na wananchi.
 
waseme tu kwa sasa ndio kajitokeza mpinzani yaani chadema, coz ccm n cuf ni kitu kimoja
 
Nakupongeza sana kwa kujitokeza kwako na kutoa msimamo wako kuhusu kujiunga kwako na CUF. Nakuomba sana ukipata nafasi fanya ziara wilayani Kilwa ambako CUF mna wanachama wengi sana na mmefaanikiwa kuwa na mbunge. Wanachama wenu kule kilwa inaonekana hawajazielewa sera za chama chenu kwani wanaamini kuwa mwana CUF ni kuwa adui wa watumishi wa serikali na kwamba hawatakiwi kufanya shughuri yoyote ya maendeleo hata kama nikusafisha mazingira yao. Ajabu hawataki hata kuchimba vyoo kwa ajili ya shule zao. Uungwana uko wapi walimu katika shule kutojengewa vyoo na hivyo kuchangia choo kimoja na wanafunzi wao? Maelezo yanayotolewa eti CUF mnatangaza kuwa jukumu la kujenga vyoo shuleni ni la serikali. Sasa mchango wa wananchi ni upi? kwani mlipuko wa maradhi ukitokea watakaoathirika ninani?Tafadharini waelimisheni wana chama wenu umhimu wa kuchangia maendeleo yao.

Mbona hili halina uhusiano na hoja ya awali ambayo ilihusu uchaguzi wa Igunga?
 
mwanzo wa kushindwa ni malalamiko na kelele ndo kinachoonekana kwa cuf iliyopoteza matumaini na muelekeo wa kisiasa.
 
mbona yeye alijua hashindi lakini alienda UBUNGO badala ya kwenda MUSOMA VIJIJINI
mbona TARIME CUF waliharibia CHADEMA kwa kugawa kura zaidi ya 7000
mbona hazungumzii KIGAMBONI jinsi wapinzani walivyogawana kura
au MTATIRO naye ameanza kutumia akili za kwwnye MASABURI


aligombea ubungo akashindwa vibaya mno. msameheni bado ana maumivu.
 
Kwani
CUF na CDM wana Mahusiano gani hadi huyu Jamaa adai kwamba CDM wanawasaliti?
 
Bora tuwe wakweli Vyama vya siasa havitafika mbali kama havitokuwa na tabia ya kuachiana majimbo. Kama kweli CUF ina nguvu zaidi ya CDM basi CDM waiachie CUF Igunga vinginevyo ni kuwapa CCM ubwete wa kushinda.

Wakuti pole sana maana wewe ni mgeni hapa .Hebu soma kwanza upate kuelewa hoja nyingi kabla hujaanza na lawama kuona kama CUF wana nguvu .CUF ina nguvu Pemba si bara kaka .
 
Back
Top Bottom