CHADEMA waongeza mbunge Arusha mjini

CHADEMA waongeza mbunge Arusha mjini

Sasa na CCM nao wakiwahamishia Arusha wabunge watano wa viti maalum utakuwa mchezo wa kitoto.Jamani niambieni KUNANI Arusha, mbona wanakugombania hivi ?
 
Sasa hapa ndo mtu unapopata picha jinsi CCM wanavyojua kusoma alama za nyakati mapema na kutumia udhaifu wa katiba kuendelea kutawala.
CDM its too late now!!
Ndo maana CCM hawataki kusikia kurudiwa kwa uchaguzi wa meya tena.
Timing..!!! ila siku zinakuja watalia na kusaga meno maana kama demokrasia itashindikana raia wataandamana kama Tunisia.
 
Nawashangaa watu wamepandisha pressure wanasema ovyo wakati binafsi sioni shida na move hiyo. Uwezekano wa kurudia uchaguz arusha ni negligible, labda kwa arbitration ya level nyngne kbsa.
Kwann hatuangalii kwa engo ingine kwmb Arusha imeonyesha waz kwmb ni halmashauri nyeti na yenye challenges nyng zaid, na hivyo labor force zaid inatakiwa? Kwann tunaongelea kumwaga mboga na ugali, vinatoka wapi? Think positively pals!
 
Nawashangaa watu wamepandisha pressure wanasema ovyo wakati binafsi sioni shida na move hiyo. Uwezekano wa kurudia uchaguz arusha ni negligible, labda kwa arbitration ya level nyngne kbsa.
Kwann hatuangalii kwa engo ingine kwmb Arusha imeonyesha waz kwmb ni halmashauri nyeti na yenye challenges nyng zaid, na hivyo labor force zaid inatakiwa? Kwann tunaongelea kumwaga mboga na ugali, vinatoka wapi? Think positively pals!

Samahani mkuu, mimi binafsi naomba kujuzwa. Maana nimekuwa nikifikiria bila majibu. Ni nini kilichofanya ccm na chadema wasielewane kwa uchaguzi hadi chadema wakaamuwa kuharisha na ccm wakaendeleza uchaguzi wa diwani?
 
Kama ni hivyo sasa chadema walikuwa wanalalamika nini sasa, bogus kabisa.

Nilivyoelewa mimi hii ya CCM ni kinyume na sheria zilizopo, sasa naona lililotokea hapa ni jino kwa jino in a meaning CDM wameona kufuata sheria sana kunawa-cost nawao wameamua kucheza rafu. I might be wrong ngoja tuone litakalotokea.
 
Sasa kinachofuatia ni madiwani wote wapenda mabadiliko jijini Arusha kufanya haraka KUWAENZI MASHUJAA WALIOUAUA mwezi huu kwa kupiga kura ya KUTOKUWA NA IMANI NA DIWANI WA CCM pale Arusha basi mchezo kwisha.

Zomba, Makamba na Chitanda mpo mpaka hapo!
 
Udhaifu wa katiba huu!

Kama habari hii ni ya kweli basi maandamano ya CHADEMA Arusha yalikuwa haramu;

Kama CHADEMA wamemleta Mama Komu Arusha kutoka alipogombea Ubunge Kigamboni-Dar es salaam;kwa nini sasa tunalia CCM walipomtoa Mama Chitanda kutoka Tanga na kumleta kupiga kura yake Arusha?

Kwa mtiririko huu wa demokrasia ya TZ kuna mantiki tena kupinga Mama Chitanda kupiga kura yake kuchagua Meya Arusha?
 
Kama habari hii ni ya kweli basi maandamano ya CHADEMA Arusha yalikuwa haramu;

Kama CHADEMA wamemleta Mama Komu Arusha kutoka alipogombea Ubunge Kigamboni-Dar es salaam;kwa nini sasa tunalia CCM walipomtoa Mama Chitanda kutoka Tanga na kumleta kupiga kura yake Arusha?

Kwa mtiririko huu wa demokrasia ya TZ kuna mantiki tena kupinga Mama Chitanda kupiga kura yake kuchagua Meya Arusha?
what about the case ya Mayor kuchaguliwa bila madiwani wote kupiga kura?
 
Kazi imeanza! Sasa tusubiri vita vya kuhamishia wabunge kila panapokuwa na uchaguzi wa meya.
 
what about the case ya Mayor kuchaguliwa bila madiwani wote kupiga kura?

Voice of reason;

CHADEMA pingamizi lao lingine lilikuwa kuwa Mama Chitanda sio mpiga kura halali wa Arusha kwani alipita Ubunge viti Maalum kupitia mkoa wa Tanga hata viongozi wa CHADEMA wakatoka nje ya Ukumbi wakati wa uchaguzi wa ALAT kumpinga!Sasa kwa Mama Komu kutolewa Dar alikogombea na kupelekwa Arusha bado madai ya CHADEMA yanakuwa valid?

Voice of reason;

Kuhusu meya kuchaguliwa bila madiwani wote kuwemo ukumbini ni zao la utata wa katiba Mama yetu mbovu inavyopingana waziwazi na katiba za serikali za mitaa;kwani zinasigana zenyewe jinsi ya kupata wajumbe wa kumchagua meya wa miji!Madai ya CHADEMA kwa sasa nahisi yapo hapa kwenye mzozo wa kikatiba kuhusu namba ya wajumbe inayotakiwa ili uchaguzi wa U-meya ufanyike kwenye halmashauri zetu!

Voice of reason;

Kwa hiyo CHADEMA wapo tayari sasa kuondoa madai yao kuwa Mama Chitanda sio mpiga kura halali wa uchaguzi wa Meya Arusha hasa baada na wao kuhamisha mpiga kura Anna Komu kutoka Dar kumleta Arusha?Je sasa CHADEMA ibakize dai moja tu la jinsi CCM walivyokiuka katiba ya kufanya uchaguzi wa Meya bila kushirikisha vyama vingine??
 
Sasa kinachofuatia ni madiwani wote wapenda mabadiliko jijini Arusha kufanya haraka KUWAENZI MASHUJAA WALIOUAUA mwezi huu kwa kupiga kura ya KUTOKUWA NA IMANI NA DIWANI WA CCM pale Arusha basi mchezo kwisha.

Zomba, Makamba na Chitanda mpo mpaka hapo!
Ccm haitawaruhusu madiwani wake
 
Wrong move.

They must differentiate and earn the respect through noble principles not by imitating ccm.
I feel that way but I stand to be corrected
 
Wrong move.

They must differentiate and earn the respect through noble principles not by imitating ccm.
I feel that way but I stand to be corrected

Watatumia katiba na taratibu zilizoko mpaka tupate katiba na taratibu mpya.

Hii inaonyesha Chadema walikurupuka kusema Chitanda hana haki ya kupiga kura na kuanzisha maandamano yasiyokuwa na tija. Ndio matatizo ya uwezo mdogo, jazba na lack of experience...

Inabidi sasa watoe maelezo kwa wananchi waliojitokeza kuwaunga mkono kwa madai ya Chitanda sio mjumbe halali. Uongozi chadema ovyo!!
 
cdm imempeleka mbunge wa viti maalum anna maulida komu kwenye halmashauri ya jiji la arusha
Mama huyo mkongwe na mkomavu kisiasa aliripoti ijumaa kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo.

Soc. tanzania daima

My take sasa cdm wanakuwa na uhakika wa ushindi endapo uchaguzi wa meya utarudiwa
Naomba kuuliza, hivi CCM ilichokifanya na Chatanda, kinatofauti gani na Mbowe alichokifanya kule Hai na hili la kuongeza mbunge mmoja Arusha?.

Kama tofauti ni kura moja, jee CCM nao wakiamua kuhamishia wabunge wake watano wa viti maalum kuhudumu Arusha itakuwaje?.
 
`\\\\\\\
Naomba kuuliza, hivi CCM ilichokifanya na Chatanda, kinatofauti gani na Mbowe alichokifanya kule Hai na hili la kuongeza mbunge mmoja Arusha?.

Kama tofauti ni kura moja, jee CCM nao wakiamua kuhamishia wabunge wake watano wa viti maalum kuhudumu Arusha itakuwaje?.

Ndio maana nasema hii ni move ya kitoto, tushukuru tu Makamba na Tambwe Hiza hawana last say ndani ya CCM vinginevyo Chadema ingepoteza zaidi kwa kitendo hiki.
 
Watu walipewa nafasi ya kumkashifu Chitanda bure!

(watu walimsema anajukumu katika mauaji ya Arusha)
 
Back
Top Bottom