CHADEMA waongeza mbunge Arusha mjini

Pasco!
Ndugu yangu kwenye hii dunia kama hutatumia ubongo wako vizuri utakumbana na watu ambao kupandikiza chuki ,kupindisha ukweli,kuugeuza ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli,kupandikiza fitina kwa gharama ya maisha ya wengine,hivi mpaka leo hujajiuliza kuna tuhuma nyingi ambazo chadema wamesema wanaushahidi wa kutosha lkn hakuna hata moja ambayo wameshaifikisha sehemu husika ili sheria ichukue mkondo wake.Mchungaji Mtikila kuna sehemu anapotoka na kuna sehemu amekuwa na ushahidi na tumeona mara zote pale anapokuwa na ushahidi amekuwa akiibuka kidedea.Wacha tuwaruhusu watu wachache wajenge fitina ndani ya hii nchi bila ya kujiandaa kuongoza nchi kwa usalama tutafikia mahala tutaona majuto ni mjukuu.Angalia Tunisia waliona Rais ndiyo tatizo na ukweli inawezekana ndiyo huo lkn njia zilizotumika kumuondoa na kuondoka kuaicha nchi ilivyo hivi sasa kweli zimewasaidia nini watunisia waliowengi.Hivi huyu ambaye wote walikuwa wanamuona adui ameathirika vipi na matukio yanayoendelea hivi sasa Nchini Tunisia.

Ushahidi upi zaidi ya huu?

1. Tunadaiwa zaidi ya bil. 700 na wakandarasi, tumelipa? Kwa nini tunadaiwa?

2. Tunadaiwa na dowans, kisa uzembe!!

3. Deni la taifa ni mara mbili, kisa?

4. Wanafunzi wanakosa mikopo, kisa?

5. Huduma za afya?

6. Elimu?

Nachoka kukutajia ushahidi. Angalia maisha ya watu wanaokuzunguka then endelea kutafuta ushahidi.

Pasco anachotakiwa kuelewa ni kwamba sababu za uchaguzi wa arusha kuahirishwa mpaka January ni kutokana na MkuRugenzi pamoja CCM kupinga uhalali wa wabunge wa viti maalum wa CDM wakati Chitanda akiruhusiwa Arusha. Kisichoeleweka ni nini hapo?
 
78.-(1) Kwa madhumuni ya uchaguzi wa Wabunge, Wanawake

waliotajwa katika ibara ya 66(1) (b), vyama vya siasa vilivyoshiriki
uchaguzi, kwa kufuata utaratibu uliowekwa, vitapendekeza kwa
Tume ya Uchaguzi majina ya wanawake kwa kuzingatia masharti
ya uwiano wa uwakilishi baina ya vyama vilivyoshinda uchaguzi
katika majimbo na kupata viti Bungeni.



Tume ya Uchaguzi ikiridhika kuwa mtu yeyote aliyependekezwa anazo sifa za kuwa
Mbunge itamtangaza kuwa amechaguliwa kuwa Mbunge, na
masharti ya ibara ya 83 ya Katiba hii yatatumika kuhusu
kuchaguliwa kwa mtu huyo kuwa Mbunge.



(2) Mtu yeyote hataweza kupendekezwa na chama chochote
cha siasa kwa ajili ya uchaguzi kwa mujibu wa ibara hii ila tu iwapo
anazo sifa za kustahili kuchaguliwa zilizotajwa na masharti ya
ibara ya 67 ya Katiba hii.



(3) Majina ya watu waliopendekezwa kwa mujibu wa ibara
ndogo ya (1) na Tume ya Uchaguzi yatatangazwa kama matokeo
ya uchaguzi baada ya Tume ya Uchaguzi kuridhika kwamba
masharti ya Katiba na Sheria yanayohusika yamezingatiwa.



(4) Orodha ya majina ya wagombea wanawake iliyowasilishwa
kwa Tume ya Uchaguzi na kila chama kwa ajili ya uchaguzi mkuu
ndiyo itakayotumiwa na Tume ya Uchaguzi baada ya kushauriana
na chama kinachohusika, kwa madhumuni ya kujaza nafasi yoyote
ya Mbunge wa aina hii inapotokea wakati wowote katika maisha
ya Bunge.


(Katiba yetu ipo wazi kabisa kuhusu Wabunge wa viti maalum,utata hapo upo wapi?)​
 
Pasco anachotakiwa kuelewa ni kwamba sababu za uchaguzi wa arusha kuahirishwa mpaka January ni kutokana na MkuRugenzi pamoja CCM kupinga uhalali wa wabunge wa viti maalum wa CDM wakati Chitanda akiruhusiwa Arusha. Kisichoeleweka ni nini hapo?

Albert,
Bado katika hili Chadema wanaonyesha udhaifu mkubwa kisiasa, kwa sababu walichopaswa kufanya ni kuandamana Hai ambako wamekataliwa haki yao na si Arusha ambako CCM wamepewa haki yao.
Kumbuka kila halmashauri ina mkurugenzi wake. Huwezi kumuadhibu mkurugenzi wa Arusha kwa maamuzi yake sahihi eti kwa sababu mkurugenzi wa Hai amefanya maamuzi yasiyo sahihi.
Chadema wako responsible kwa damu iliyomwagika Arusha.
 
Albert,
Bado katika hili Chadema wanaonyesha udhaifu mkubwa kisiasa, kwa sababu walichopaswa kufanya ni kuandamana Hai ambako wamekataliwa haki yao na si Arusha ambako CCM wamepewa haki yao.
Kumbuka kila halmashauri ina mkurugenzi wake. Huwezi kumuadhibu mkurugenzi wa Arusha kwa maamuzi yake sahihi eti kwa sababu mkurugenzi wa Hai amefanya maamuzi yasiyo sahihi.
Chadema wako responsible kwa damu iliyomwagika Arusha.

Ni kweli huwezi kumuadhibu Mkurugenzi wa Arusha kwa makosa ya Mkurugenzi wa Hai. Mvutano uliosababisha maandamano ulichochewa na kitendo cha Mkurugenzi kuitisha au kuendelea na uchaguzi tarehe 18. 12 wakati ufafanuzi haujatolewa kuhusu ujumbe wa Mary Chitanda. Mimi binafsi naamini kwamba sheria ya viti maalumu kuwa wajumbe imepindishwa. Kigezo cha kuwa mjumbe sio ukazi wa eneo. Ni uteuzi unaotokana na mamlaka ya chama cha siasa kwenye eneo husika la halmashauri. Chitanda aliteuliwa na mamlaka ya ccm ya tanga hivyo anawawakilisha waliomteua kwenye halmashauri yao. Haina maana kina mama wa ccm Tanga wamteue mtu halafu aende Dar kuwakilisha halmashauri tofauti.

Kuhusu nani yuko responsible na damu ya arusha ni kitendawili cha kuku na yai. Kipi kilianza? Tujadili kwenye thread tofauti kupata maoni!
 
Ni kweli huwezi kumuadhibu Mkurugenzi wa Arusha kwa makosa ya Mkurugenzi wa Hai. Mvutano uliosababisha maandamano ulichochewa na kitendo cha Mkurugenzi kuitisha au kuendelea na uchaguzi tarehe 18. 12 wakati ufafanuzi haujatolewa kuhusu ujumbe wa Mary Chitanda. Mimi binafsi naamini kwamba sheria ya viti maalumu kuwa wajumbe imepindishwa. Kigezo cha kuwa mjumbe sio ukazi wa eneo. Ni uteuzi unaotokana na mamlaka ya chama cha siasa kwenye eneo husika la halmashauri. Chitanda aliteuliwa na mamlaka ya ccm ya tanga hivyo anawawakilisha waliomteua kwenye halmashauri yao. Haina maana kina mama wa ccm Tanga wamteue mtu halafu aende Dar kuwakilisha halmashauri tofauti.

Kuhusu nani yuko responsible na damu ya arusha ni kitendawili cha kuku na yai. Kipi kilianza? Tujadili kwenye thread tofauti kupata maoni!

Albert,
Mary Chitanda hajachaguliwa na CCM Tanga. Yeye AMEPENDEKEZWA na CCM Tanga. Waliompitisha ni NEC, kama jinsi wabunge wa viti maalum CHADEMA walivyopitishwa na kamati kuu kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa na Kitila. Hata hivyo kwa kitenda hicho kufanywa na wote CCM na CHADEMA tayari hakuna wa kumlaumu mwenzake.

Pamoja na kuwa viongozi wa CHADEMA hivi sasa wanajadiri quoram lakini kimsingi swala la quoram lilijitokeza baada ya wajumbe wa CHADEMA kususia kikao kwa kumkataa Mary Chatanda. Bado CHADEMA wanaonyesha kukosa ukomavu wa kisiasa. Kama tunakitakia chema chama cha CHADEMA ni wajibu wetu kuwawajibisha viongozi wanaofanya maamuzi mabaya kwa niaba ya chama hicho.
 
Albert,
Mary Chitanda hajachaguliwa na CCM Tanga. Yeye AMEPENDEKEZWA na CCM Tanga. Waliompitisha ni NEC, kama jinsi wabunge wa viti maalum CHADEMA walivyopitishwa na kamati kuu kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa na Kitila. Hata hivyo kwa kitenda hicho kufanywa na wote CCM na CHADEMA tayari hakuna wa kumlaumu mwenzake.

Pamoja na kuwa viongozi wa CHADEMA hivi sasa wanajadiri quoram lakini kimsingi swala la quoram lilijitokeza baada ya wajumbe wa CHADEMA kususia kikao kwa kumkataa Mary Chatanda. Bado CHADEMA wanaonyesha kukosa ukomavu wa kisiasa. Kama tunakitakia chema chama cha CHADEMA ni wajibu wetu kuwawajibisha viongozi wanaofanya maamuzi mabaya kwa niaba ya chama hicho.

Na ndivyo sheria inavyosema, 'nomination by an organ of a political party'. Niruhusu nikiwa ofisini nikutumie kipengele hicho cha sheria ukisome then tujadili.

Nakubaliana nawe kwamba viongozi watakaotoa maamuzi mabaya wawajibike kwa maamuzi yao. CDM kinakua lazima tukubali. Miaka 20 haitoshi kusema kwamba chama kimekomaa. Bado CDM kinakusanya wanachama na kujijenga. Ukiangalia safari yake kuanzia 1992 mpaka 2011 utaliona hilo. Ni vyema pia viongozi wakapunguza speed ya kukisaidia chama kikue. Wasiwe na haraka bali tuendelee na mwendo wa wastani na umakini mkubwa! Naamini tutafika.
 
Sidhani kama hilo ni suluisho kwani CCM nao wanawe kuongeza nguvu
Haya yote jawabu ni katiba mpya
kwani ya sasa kwa asilimia kubwa imekakaa kwenya mfumo wa chama kimoja
 
katiba haiwezi kutaja kila kitu. Kuna mambo mengine yanawekewa utaratibu na kanuni. Sheria ipo inayoelezea ujumbe wa halmashauri. Tatizo ni tafsiri na kutojitosheleza.

Sikatai kwamba tunahitaji katiba mpya ila ielekeze kwenye mambo ambayo ni ya msingi zaidi. Haya mengine sheria husika ziwe clear!
 
fita ni fita!!!!.. kamanda wa anga na dr. mbona hamkufanya hvo mapema bwanaaaa? hawa wehu hawatarudia uchaguzi aiseee ni manyang' full

ol and ol JAH BLESS
 
kwa wewe mwenye uelewa finyu huu kwako ni mchezo wa kitoto, watu wenye akili zao wamekaa na wamepanga strategy hii, ambayo hata kama ccm waking'ng'ania meya aendelee yule batili lakini no bussiness as usuall. chadema itakuwa na majority kwenye council ya Arusha. nadhani unajuwa nini maana ya majority kwenye vyombo vya maamuzi. sumbuwa akili yako kidogo kufikiri deeper, ndio maana halisi ya Great Thinkers.

Kwa upeo wa one-dimension katu usingeweza kuona zaidi ya hivyo, ila ungepanua kidogo thinking yako ungeuona pia uwezekano wa CCM kuongeza Wabunge wa Viti Maalumu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na kuwa na uwingi katika baraza la madiwani kama watataka.

....lakini kwa ujumla umejitahidi, keep it up!!

Sasa CCM nayo ikiongeza wabunge zaidi wa viti maalumu kwenda kwenye halmashauri ya Mji wa Arusha, Chadema itapinga tena uhalali wa wabunge hao kuwa madiwani wa halmashauri hiyo? mchezo wa kitoto huu.

`\\\\\\\

Ndio maana nasema hii ni move ya kitoto, tushukuru tu Makamba na Tambwe Hiza hawana last say ndani ya CCM vinginevyo Chadema ingepoteza zaidi kwa kitendo hiki.
 
Ushahidi upi zaidi ya huu?

1. Tunadaiwa zaidi ya bil. 700 na wakandarasi, tumelipa? Kwa nini tunadaiwa?

2. Tunadaiwa na dowans, kisa uzembe!!

3. Deni la taifa ni mara mbili, kisa?

4. Wanafunzi wanakosa mikopo, kisa?

5. Huduma za afya?

6. Elimu?

Nachoka kukutajia ushahidi. Angalia maisha ya watu wanaokuzunguka then endelea kutafuta ushahidi.

Pasco anachotakiwa kuelewa ni kwamba sababu za uchaguzi wa arusha kuahirishwa mpaka January ni kutokana na MkuRugenzi pamoja CCM kupinga uhalali wa wabunge wa viti maalum wa CDM wakati Chitanda akiruhusiwa Arusha. Kisichoeleweka ni nini hapo?
Sasa Kila kero ulioanisha hapo juu iandaliwe maandamnao yake na tutie vijana mtaani ktk hali tata na kuleta misuguano na risasi za moto zindirime.Je hilo ndiyo suluhisho la kudumu la matatizo yetu?
 
Nawashangaa watu wamepandisha pressure wanasema ovyo wakati binafsi sioni shida na move hiyo. Uwezekano wa kurudia uchaguz arusha ni negligible, labda kwa arbitration ya level nyngne kbsa.
Kwann hatuangalii kwa engo ingine kwmb Arusha imeonyesha waz kwmb ni halmashauri nyeti na yenye challenges nyng zaid, na hivyo labor force zaid inatakiwa? Kwann tunaongelea kumwaga mboga na ugali, vinatoka wapi? Think positively pals!

Hata kama uchaguzi haurudiwi, wingi wa CDM utatosha kukwamisha maamuzi yasiyo na manufaa kwa jiji la Arusha na Taifa kwa ujumla......Azimio Jeshini
 
who can shed more light katika sheria ya serikali za mitaa? we want to understand fully what is the process.
what i know in Arusha is that, for a mayor to be elected, the members should be at least 2/3 of the total councilors. for Arusha, they were 16 and they are supposed to be at least 20.
 
Albert,
Mary Chitanda hajachaguliwa na CCM Tanga. Yeye AMEPENDEKEZWA na CCM Tanga. Waliompitisha ni NEC, kama jinsi wabunge wa viti maalum CHADEMA walivyopitishwa na kamati kuu kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa na Kitila. Hata hivyo kwa kitenda hicho kufanywa na wote CCM na CHADEMA tayari hakuna wa kumlaumu mwenzake.

Pamoja na kuwa viongozi wa CHADEMA hivi sasa wanajadiri quoram lakini kimsingi swala la quoram lilijitokeza baada ya wajumbe wa CHADEMA kususia kikao kwa kumkataa Mary Chatanda. Bado CHADEMA wanaonyesha kukosa ukomavu wa kisiasa. Kama tunakitakia chema chama cha CHADEMA ni wajibu wetu kuwawajibisha viongozi wanaofanya maamuzi mabaya kwa niaba ya chama hicho.
Kuchaguliwa ama kupendekezwa kunasaidia nini kwenye sakata hili kinachotakiwa ni je Mkurugenzi alifuata kanuni ikiwemo ya 2/3? Maana huko tuendako Chadema wasije wakapinga kupitishwa kwa bajeti yake akasema hawajafika 2/3.
 
Back
Top Bottom