CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

La, CUF haifanyi mambo yake kwa maagizo ya CHADEMA, ila ni pale mnapoilaumu CUF kwa kuingia SUK wakati na nyie mlikuwa mkiishabikia! Kesho mtakachofanya ni kujikusanya DAR nzima ila ukifika uchaguzi ndio utathibitisha kuwa Temeke CUF ina nguvu. Hakuna haja ya kubishana, kuna tofauti kati ya kujaza umati kwenye mikutano na kura.
Uchaguzi upi unaozungumzia na hiyo CUF yako sijui yenu,maana kama huna kumbukumbu tembelea tovuti ya tume ya uchaguzi uangalie mgombea wa chama gani alikuwa wa pili,lakini kabla hujaenda huko nakukumbusha kwamba siasa za kujiongopea mwenyewe hazitakusaidia mkuu,be realistic ina maana hujui kama chama cha CUF kilikuwa cha tatu nyuma ya CDM?Leo unaposema tusubiri uchaguzi unadhani itakuwaje sasa.
 
mke hatongozwi tena.Akikata mbake,mwenyewe ata..... raha.

In fact ningeshangaa kama CUF wangekubali kirahisi hivyo huku wakijua ni mke wa mtu! Wakifikiria kibano watakachopata endapo watatoka nje ya ndoa; hawana hamu usione Mtatiro anaweweseka. Kweli maCCM wabaya hakuna mfano, jamaa wametaitiwa hadi pa kupumulia hawana ni kusikilizia tu maumivu ya the MONSTER.

Na nyie Chadema sometimes sijui mkoje; mke wa mtu kabisa mnamwalika kwenye shughuli yenu bila ridhaa ya mumewe? Wallahi hata ningekuwa mimi lazima nikutokee na sime. Ha ha ha ha!
 
Katika hali ya kushangaza Naibu Katibu Mkuu wa CUF Julius Mtatiro amesema CHADEMA kufanya maandamano na Mkutano Temeke Mwisho ni kuingilia ngome yao.

Akizungumzia mwaliko wa CHADEMA kuitaka CUF kushiriki mapokezi ya wabunge wa upinzani kesho na hatimaye kushiriki mkutano wa pamoja Mtatiro amesema kamwe CUF haiwezi kushirikiana na CHADEMA.

e

Mtatiro amesema mwaliko wa CHADEMA ni wa kisanii na wamegundua Temeke ni ngome kuu ya CUF kwa hiyo CHADEMA haiwezi kupata watu mkutanoni bila kuishirikisha CUF.Mtatiro ameuliza tangu lini Chadema imegundua CUF siyo CCM B? Mtatiro amelalamika CHADEMA inatafuta umaarufu Temeke kupitia mgongo wa CUF.

Kwa upande wake Chama cha NCCR Mageuzi kupitia Katibu Mkuu Sam Ruhuza kimesema kitashiriki kikamilifu mapokezi hayo kwani CHADEMA siyo adui yao bali adui yao ni CCM tu.

Wabunge wa CHADEMA na NCCR waliungana pamoja bungeni kupinga uonevu,ukandamizaji na udhalilishaji wa Spika wa bunge Anne Makinda na Naibu wake Job Ndugai dhidi ya Upinzani bungeni.Hata hivyo mara zote CUF wamekuwa wakiungana na wabunge wa CCM kuwapinga wapinzani wenzao.

Kesho Jumapili CHADEMA imepanga mapokezi makubwa na maandamano kisha mkutano mkubwa wa hadhara Temeke Mwisho kwa lengo la kulaani ukandamizaji wa Spika na Naibu wake.

Source:Tanzania daima/Nipashe.

Huyo ndugu mbona anajidhalilisha sasa! Tangu lini TMK ikawa ngome ya yao, mbona anatuchekesha sana. Mara hii amesahau kuwa walisha kwenda kufanya harakati zao ARUSHA?
Kukataa mwaliko huo ni kama wanaudhihirishia umma wa waTanzania kuwa haikukosewa kuitwa CCM-B.
Halafu atambua kuwa CDM ni maarufu na ina wafuasi wengi DAR, kuliko wao na ndio maana waliweza kushinda viti vya ubunge.
Kesho ndo atatambua kuwa CDM ni habari ingine wala hawahitaji msaada wao.
 
Hiv kwa uku bara kwenye majimbo meng cuf wanawabunge wa ngap ukiacha zenj...cuf imebak historia,naona lipumba anajikomba sana kwa kikwete lakin mzee wa magogon hampii hata ukurugenz wa soko la samak feri hahahaaaaaaa kwel ndoa ndoano
 
Uchaguzi upi unaozungumzia na hiyo CUF yako sijui yenu,maana kama huna kumbukumbu tembelea tovuti ya tume ya uchaguzi uangalie mgombea wa chama gani alikuwa wa pili,lakini kabla hujaenda huko nakukumbusha kwamba siasa za kujiongopea mwenyewe hazitakusaidia mkuu,be realistic ina maana hujui kama chama cha CUF kilikuwa cha tatu nyuma ya CDM?Leo unaposema tusubiri uchaguzi unadhani itakuwaje sasa.

Tunazungumzia Temeke wewe unazungumzia Arusha?
 
Hiv kwa uku bara kwenye majimbo meng cuf wanawabunge wa ngap ukiacha zenj...cuf imebak historia,naona lipumba anajikomba sana kwa kikwete lakin mzee wa magogon hampii hata ukurugenz wa soko la samak feri hahahaaaaaaa kwel ndoa ndoano

Kwani unafikiri Lipumba ana njaa kama ya DR Slaa anayetegemea posho za ukatibu mkuu na mikopo kutoka kwenye chama?
 
Hivi kumbe Mbunge wa Temeke ni kutoka CUF?
 
Majimbo ya CHADEMA 2015 yatapungua, ngoja uone, halafu CUF tunarudi kushikilia kambi ya upinzani 2015.

CHADEMA inategemea nguvu ya wagombea zaidi kuliko chama wakati ni kinyume chake kwa CUF. 2015 lazima wachemshe!

Kweli wewe hamnazo. Huko kwenu ndipo mnawategemea watu binafsi ili chama kiendelee kuwepo kwani bila wao cuf haitakuwepo.
Prof. Lipumba amegombea uraisi mwaka 1995, 2000, 2005, 2010 na anagombea tena 2015!
Alsultani Maalim Seif amegombea uraisi Zanzibar mwaka 1995, 2000, 2005, 2010 na anagombea tena 2015!
Kama kweli cuf ina hazina ya wasomi imekuwaje Lipumba na Maalim Seif wamekuwa wagombea wa kudumu wa cuf?
Lipumba na Maalim Seif wamekuwa viongozi wa kudumu wa cuf, hiyo hazina ya wasomi waliobobea iko wapi?
 
Tatizo la Mtatiro hajui CUF ilipotoka,ilipo na inapoelekea!


Kwani Dr Slaa aliwatajia wapi wale vinara wa ufisadi?
Si ilikuwa ni Mwembe Yanga pale Temeke?
Sasa huyu Mtatiro anajishaua kwa lipi as if Chadema hawajawahi kufanya mikutano hapo Temeke?
 
Hakuna sehemu yoyote inayosema usifanye mkutano kwenye ngome ya chama fulani,temeke ngome yenu wakati hamna mbunge pale umesahau Tanzania bara mna mbunge 1 acha kufikiria kwa kutumia makalio
Mtatiro ni taaira akili zake ni sawa sawa kabisa na Nchemba=Ndungai
 
Kweli wewe hamnazo. Huko kwenu ndipo mnawategemea watu binafsi ili chama kiendelee kuwepo kwani bila wao cuf haitakuwepo.
Prof. Lipumba amegombea uraisi mwaka 1995, 2000, 2005, 2010 na anagombea tena 2015!
Alsultani Maalim Seif amegombea uraisi Zanzibar mwaka 1995, 2000, 2005, 2010 na anagombea tena 2015!
Kama kweli cuf ina hazina ya wasomi imekuwaje Lipumba na Maalim Seif wamekuwa wagombea wa kudumu wa cuf?
Lipumba na Maalim Seif wamekuwa viongozi wa kudumu wa cuf, hiyo hazina ya wasomi waliobobea iko wapi?

Dr Slaa amekuwa mbunge wa Karatu 1995 to 2005: ni sawa na miaka 15 na 2010 akagombea urais, vile vile 2015 ndiye mgomea wenu! Inakua miaka mingapi kwenye uongozi? 25 years, is it too much for him? Au CHADEMA haina hazina ya wsomi kushika hizo nafasi kwa vipindi vyote hivyo? Au DR ni mgombea wa kudumu na yeye?
 
Mtatiro ana titizo sana! Wasipo alikwa wana sema chadema wana watenga, wamepewe mualiko wanaanza kufanya kazi ya ccm!
Hivi tangia lini cuf wakawa na hati miliki ya maeneo? Huu ni ujinga wa mtatiro binafsi wala si wa wana cuf!
 
Dr Slaa amekuwa mbunge wa Karatu 1995 to 2005: ni sawa na miaka 15 na 2010 akagombea urais, vile vile 2015 ndiye mgomea wenu! Inakua miaka mingapi kwenye uongozi? 25 years, is it too much for him? Au CHADEMA haina hazina ya wsomi kushika hizo nafasi kwa vipindi vyote hivyo? Au DR ni mgombea wa kudumu na yeye?

Mbona unachanganya mambo? Unazungu mzia Uongozi au Uwakilishi?
 
Mtatiro ana titizo sana! Wasipo alikwa wana sema chadema wana watenga, wamepewe mualiko wanaanza kufanya kazi ya ccm!
Hivi tangia lini cuf wakawa na hati miliki ya maeneo? Huu ni ujinga wa mtatiro binafsi wala si wa wana cuf!

Wamethibitisha rasimi kuwa wao ni CCM-B.
 
Dr Slaa amekuwa mbunge wa Karatu 1995 to 2005: ni sawa na miaka 15 na 2010 akagombea urais, vile vile 2015 ndiye mgomea wenu! Inakua miaka mingapi kwenye uongozi? 25 years, is it too much for him? Au CHADEMA haina hazina ya wsomi kushika hizo nafasi kwa vipindi vyote hivyo? Au DR ni mgombea wa kudumu na yeye?

Wewe jamaa sijui akili zako huwa unazihifadhi wapi! Kinachoongelewa hapa ni URAIS wewe unaongelea UBUNGE. Mwambieni huyo Lipumba akagombee ubunge muone kama kuna mtu atakuwa na issue naye. Hata hivyo, tatizo hapa ni mtu kukaa kwenye position hiyo hiyo miaka nenda rudi kana kwamba ni Sultan wa hiyo nafasi au ameundiwa yeye.

Kwa hoja yako imedhihirisha Dr. Slaa sio wa aina ya hao masultan kwani kahudumu kama mbunge kwa vipindi vitatu, kaona aachie wengine na anatupa karata yake kwenye nafasi nyingine. Hapo tatizo liko wapi?
 
Mbona unachanganya mambo? Unazungu mzia Uongozi au Uwakilishi?

Naona imekuchanganya! Tunazungumzia uongozi, kwani uwakilishi sio uongozi? Kwa kifupi Mwita Maranya anataka kutwambia kutwambia kwamba CHADEMA kuna ukomo wa kugombea uongozi. Kama unajua tuambie ni vipindi vingapi maana Dr Slaa isingekuwa kukubaliwa matakwa yake ya kulipwa milioni saba kwa mwezi bado angeendelea kuwa mbunge wa Karatu. Huyu kwa ulafi wa madaraka anaonekana kiboko, hana uzalendo anawakilisha wananchi kwa pesa.
 
Back
Top Bottom