CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

Mtatiro yuko sahihi, chadema ni wanafiki na wanafanya siasa za majitaka, ni hivi karibuni tu walikataa katakata kushirikiana na CUF kwenye mambo ya upinzani wakisema CUF ni CCM B, Leo wanawataka CUF kwenye maandamano. Upuuzi, mimi naona Mtatiro ana visheni pana, siasa za kinafiki ni mbaya sana na chadema mara zote wanafanya siasa za kinafiki, wakiona mahali kuna fursa ya kuwika wataitumia hata kama ni kwa kuua wafuasi na wananchi.
 
Kama kuna utaratibu wa upinzani kushirikiana utangazwe hadharani, haiwezekani chadema iibuke ghafla na kujaribu kutudanganya ATI Leo wanaitaka CUF, si jambo jepesi, linahitaji mchakato, miezi kadhaa iliyopita nilimsikiliza Mbowe na SLAA wakihutubia mikutano kadhaa Mtwara, kila mmoja kwa wakati wake aliwataka wananchi waachane na CUF kwa sababu siyo chama cha upinzani na ni wasaliti. Katika Hali kama hiyo Leo wanatakaje kuandamana na wasaliti. I think CUF wana "aseti" ya muda mrefu. Mtatiro atawasaidia sana, ana msimamo na hayumbishwi, ndiyo maana chadema kila siku mnapambana eti atoke CUF aje kwenu. Akiendelea na msimamo wake atakuja kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya halo, and infact in CUF, he is the only vibrant and consistent youth. Mtatiro usiyumbe, usifanye kazi kwa matakwa ya chadema, songs mbele.
 
Kama kuna utaratibu wa upinzani kushirikiana utangazwe hadharani, haiwezekani chadema iibuke ghafla na kujaribu kutudanganya ATI Leo wanaitaka CUF, si jambo jepesi, linahitaji mchakato, miezi kadhaa iliyopita nilimsikiliza Mbowe na SLAA wakihutubia mikutano kadhaa Mtwara, kila mmoja kwa wakati wake aliwataka wananchi waachane na CUF kwa sababu siyo chama cha upinzani na ni wasaliti. Katika Hali kama hiyo Leo wanatakaje kuandamana na wasaliti. I think CUF wana "aseti" ya muda mrefu. Mtatiro atawasaidia sana, ana msimamo na hayumbishwi, ndiyo maana chadema kila siku mnapambana eti atoke CUF aje kwenu. Akiendelea na msimamo wake atakuja kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya halo, and infact in CUF, he is the only vibrant and consistent youth. Mtatiro usiyumbe, usifanye kazi kwa matakwa ya chadema, songs mbele.

Mkuu naona wewe umeingia rasmi kumsafisha Mtatiro.
 
Mkuu naona wewe umeingia rasmi kumsafisha Mtatiro.

Wala simsafishi Mtatiro, na mara nyingi nimewahi kumkosoa kama navyowakosoa viongozi wengine wa vyama vya siasa. Katika hili chadema wamechemka, wamezoea vya kunyonga, hebu chadema ijipange zaidi, jana ninasikia kwenye maspika yao ya matangazo wakinadi eti Lipumba atakuwepo....mbatia atakuwepo....SLAA atakuwepo....mbowe atakuwepo....zitto atakuwepo...Mtatiro atakuwepo....mnyika atakuwepo.....kumbe hawajawashirikisha wenzao. Huu ni unafiki mkubwa sana. Narudia tena, chadema watengeneze upinzani imara kwa njia sahihi, siyo kama vibaka.
 
Kwani Dr Slaa aliwatajia wapi wale vinara wa ufisadi?
Si ilikuwa ni Mwembe Yanga pale Temeke?
Sasa huyu Mtatiro anajishaua kwa lipi as if Chadema hawajawahi kufanya mikutano hapo Temeke?
Tatizo la kufanya siasa ofisini na kusahau kwenda field!hii inamfanya asijue kabisa kinachoendelea mitaani!
 
Wala simsafishi Mtatiro, na mara nyingi nimewahi kumkosoa kama navyowakosoa viongozi wengine wa vyama vya siasa. Katika hili chadema wamechemka, wamezoea vya kunyonga, hebu chadema ijipange zaidi, jana ninasikia kwenye maspika yao ya matangazo wakinadi eti Lipumba atakuwepo....mbatia atakuwepo....SLAA atakuwepo....mbowe atakuwepo....zitto atakuwepo...Mtatiro atakuwepo....mnyika atakuwepo.....kumbe hawajawashirikisha wenzao. Huu ni unafiki mkubwa sana. Narudia tena, chadema watengeneze upinzani imara kwa njia sahihi, siyo kama vibaka.

Mkuu endelea kutapatapa lakini umati utakaojitokeza kesho utakuacha hoi kwa Pressure.
 
Mhhhnnn...hapo siasa za Tanzania ndo zinapokuwa ngumu. CDM kufanya uugwana limekuwa kosa kwao... haya na tuone kesho kama Temeke ngome ya cuf.
 
Huyu dogo akili ndogo sana. Naamini kabisa kwamba hajafikiria kiundani kuhusu swala hili! Kuna muda mwingine neno NGOME halifai hata kidogo! !! tukiachilia hilo mbali, mimi nadhani kuna hali ya udini sana pale Temeke inayotumiwa na CUF kama daraja! Mahubiri ya MASHEHE yamekua sio maaazuri kwa miezi mingi ilopita! wanadhani kuzungumzia mfumo kristo serikalini ndio njia ya kwenda MBINGUNI kumbe usanii tu!
 
Mtatilo tunakuomba kesho uende temeke ukathbtshe kama tmk ni ngome ya cuf,fanya kaz wewe hauwamilik watu sera ndio zinawamilk watu,na m4c ikianza ndio tutaivunja hata hyo bugurun yako,msomi mzma huna maono
 
Sasa wew si ndi-ye mshenga halafu unauliza ilifungwa wapi? Au ndio unaonesha unafiki wako?

Mkuu wangu kwa hiyo mimi nilikuwa mshenga wenu? Wewe si ndiyo Bi harusi?
 
Hivi msomi anaweza kuongea pumba kama hizi, sasa kama ni ngome yao mcheche wa nini? Anayepaswa kusema tmk ni ngome ya cuf ni sisi washangiliaji, sio Mtatiro wala CUF
 
Huyu dogo akili ndogo sana. Naamini kabisa kwamba hajafikiria kiundani kuhusu swala hili! Kuna muda mwingine neno NGOME halifai hata kidogo! !! tukiachilia hilo mbali, mimi nadhani kuna hali ya udini sana pale Temeke inayotumiwa na CUF kama daraja! Mahubiri ya MASHEHE yamekua sio maaazuri kwa miezi mingi ilopita! wanadhani kuzungumzia mfumo kristo serikalini ndio njia ya kwenda MBINGUNI kumbe usanii tu!

Mkuu unaongea vitu sensitive. Sijui tufanyeje ili watanzania waweze kuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kuchanganua mambo. Hujawahi kushangaa kuwa kuna watanzania hushangilia huku wakitukanwa matusi ya nguoni majukwaani na wanasiasa?
 
CDM ni sawa na moto unaongozwa na petrol! utafika kila kona ya TZ na kuteketeza ndoa ya mme (ccm) mke(cuf)!
 
DR amekuwa mbunge miaka 15 kwa ticketi ya CHADEMA, miaka 5 kwa ticket ya urais na 2015 atatimiza miaka 25 ya kugombea uongozi. Na huu si ulafi? Kwani maisha yake yote lazima awe kiongozi? Au hakuna wanaoweza kuchukua nafasi yake katika kugombea. Kwanza ameshazeeka na huenda hata akili inapungua kasi ya kufikiri, inaweza ikawa taabu kukabiliana na changamoto za matatizo ya watanzania.

Labda nikusaidie kujuwa kitu ambacho hukupata kikijuwa! Hivi umri unaokubalika kwamba huyu mtu ni Mzee ni miaka mingapi??
Baba yako wa Magogoni umri wake na Dk SLAA, unaweza kutuambia labda wamepishana Miaka mingapi??
Kijana Kumbuka kuwa Utu Uzima ni Dawa! Rais wa Zambia ana miaka mingapi?? Rais wa Kenya Mh,Kibaki ana miaka mingapi!!?
Unaweza kuulinganisha Uchumi wa Nchi ya Kenya chini ya Mh,Kibaki na huu wa Kwenu chini ya Mh,Mzee wa ToTotozzz??
Usipende Kushadadia Mambo ya Wakubwa.kila mtu akitaka Kujisaidia hawezi kuacha kumtaja Dk SLAA! Utadhani yeye ndie anae Ongoza Serikali!
Subirini 2015,wakati ameapishwa ndio mumkosowe! Lakini kwa sasa hamumtendei haki!
Mwishoni nikuombe uende kwa Mama yako Mzazi umuulize kwamba eti umri wa Mwanaume kuitwa ni Mzee ni miaka mingapi?? Nina uhakika atakupa majibu! Kama tu wewe ni KISHTOBE na MBASHKUNA namna hii na Mama yako atakuaje!??

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 

Attachments

  • baby minewspaper.jpg
    baby minewspaper.jpg
    13.2 KB · Views: 46
Huyu mtatiro tunamgonja kesho aone labda atume watu wakafanye vurugu na hotoweza!

Hakika watu wamemjua vizuri mtatiro na cuf!
 
Kama kuna utaratibu wa upinzani kushirikiana utangazwe hadharani, haiwezekani chadema iibuke ghafla na kujaribu kutudanganya ATI Leo wanaitaka CUF, si jambo jepesi, linahitaji mchakato, miezi kadhaa iliyopita nilimsikiliza Mbowe na SLAA wakihutubia mikutano kadhaa Mtwara, kila mmoja kwa wakati wake aliwataka wananchi waachane na CUF kwa sababu siyo chama cha upinzani na ni wasaliti. Katika Hali kama hiyo Leo wanatakaje kuandamana na wasaliti. I think CUF wana "aseti" ya muda mrefu. Mtatiro atawasaidia sana, ana msimamo na hayumbishwi, ndiyo maana chadema kila siku mnapambana eti atoke CUF aje kwenu. Akiendelea na msimamo wake atakuja kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya halo, and infact in CUF, he is the only vibrant and consistent youth. Mtatiro usiyumbe, usifanye kazi kwa matakwa ya chadema, songs mbele.
Mapovu ya nini kwani Mtatiro asipokuja kwenye mkutano Chadema itapungukiwa kitu gani, halafu tofautisha mipango ya kushirikiana na kualikwa kwenye mkutano hata CCM wanakaribishwa, huwezi kusema kitendo cha Chadema kuwaalika CCM kwenye vikao vyake ndio kushirikiana.
 
Kama kuna utaratibu wa upinzani kushirikiana utangazwe hadharani, haiwezekani chadema iibuke ghafla na kujaribu kutudanganya ATI Leo wanaitaka CUF, si jambo jepesi, linahitaji mchakato, miezi kadhaa iliyopita nilimsikiliza Mbowe na SLAA wakihutubia mikutano kadhaa Mtwara, kila mmoja kwa wakati wake aliwataka wananchi waachane na CUF kwa sababu siyo chama cha upinzani na ni wasaliti. Katika Hali kama hiyo Leo wanatakaje kuandamana na wasaliti. I think CUF wana "aseti" ya muda mrefu. Mtatiro atawasaidia sana, ana msimamo na hayumbishwi, ndiyo maana chadema kila siku mnapambana eti atoke CUF aje kwenu. Akiendelea na msimamo wake atakuja kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya halo, and infact in CUF, he is the only vibrant and consistent youth. Mtatiro usiyumbe, usifanye kazi kwa matakwa ya chadema, songs mbele.

Hatukuwaalika nyie ccmB, tulivialika vyama vya upinzani, nyie mmedandia hoja wakati ninyi si wapinzani. Kwahiyo nyie tulizeni mpira, nendeni Dom kwenye uchaguzi wa CC ya Ndume zenu, TMK tuachieni wenyewe na M4C yetu
 
Back
Top Bottom