Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Dr Slaa amekuwa mbunge wa Karatu 1995 to 2005: ni sawa na miaka 15 na 2010 akagombea urais, vile vile 2015 ndiye mgomea wenu! Inakua miaka mingapi kwenye uongozi? 25 years, is it too much for him? Au CHADEMA haina hazina ya wsomi kushika hizo nafasi kwa vipindi vyote hivyo? Au DR ni mgombea wa kudumu na yeye?
Hahaha wewe umevurugwa!
Lipumba na maalim seif wamegombea uraisi mara nne wakati Dr. Slaa amegombea mara moja! Katika kipindi cha miaka 20 cuf imekuwa na mgombea mmoja wa uraisi Tanzania na zanzibar respectively.
Dr. Slaa kama atagombea tena 2015 itakuwa mara pili wakati Lipumba na maalim seif itakuwa mara yao ya tano! Hata aibu huoni unapotaka kuwalinganisha na Dr. Slaa?