CHADEMA, Wanaharakati waalikeni waungwana mpatanishwe

Haitupendezi. Kila mtu apambane kivyake

"Ninayaheshimu mawazo yako na hasa kama wewe ni mmoja wa wawili hawa, kwa maana yake kamili:

1. Waheshimiwa kabisa, CHADEMA
2. Waheshimiwa kabisa, Wanaharakati.

Ndani ya mada, neno "ikiwapendeza," likizingatiwa."

Kumbuka imeelezwa kwenye mada kuwa wao ndiyo walengwa.

Hata hivyo, kama wewe si mmoja wa wawili hao, nadhani lile la "pilipili usizozila kukuwasha namna gani" Litakuwa linakuhusu.

"Zingatia mada hii wala si kwa wanachama au wafuasi tu wa makundi mawili hayo."

Tofautisha wanachama na "walengwa" kwenye mada Kwa maana yake halisi.

Angalizo:

"Wanachama wa vyama" kwa maana yake ni kama ilivyoelezwa wazi kwenye uzi huu (Jun 29, 2021):

Watambue Wanachama wa Vyama Mitandaoni

Ikikupendeza kujiridhisha, tafadhali.

"Ni muhimu kuwa na tafsiri zote bayana, isije kuwa tunaongelea vitu tofauti."
 
Nadhani niyaweke wazi haya Ili kuweza kuelewana kama nia ni majadiliano yenye tija:

1. Labda nitawaomba pia hata Moderators kutusaidia angalau kwa miongozo kidogo. Hapa na pale, kama ikiwapendeza, na hasa inapokuwa lazima. Majadiliano ni yenye kuzingatia masharti:

a) JF inaruhusu na ku promote majadiliano yoyote yenye tija.
b) JF hai limit majadiliano yanayoendelea kwa namna yoyote.
b) Mjumbe yeyote hana haki ya kuzuia au kutaka kuzuia majadiliano yoyote ili yasiendelee.
c) Mjumbe yeyote anayo haki ya kuchangia, kupita kimya kimya au ku ignore, kama hataki kuona mwendelezo wa majadiliano, kwa uchaguzi wake.
d) Majadiliano na uchangiaji ni hoja kwa hoja si kwa kusimangana (yaani si Kwa kejeli, dhihaka, matusi, kuitana majina, kashfa na vya namma hiyo).
e) Mtu ana haki ya kutetea maoni yake ndani ya ustaarabu huu unaosisitizwa.

Mimi kutetea hoja yangu isipotoshwe kwa makusudi au kutokujua, hakuwezi kuitwa "kukomaa tu." Kama unadhani nimepotoka, nishawishi, pita kimya kimya au ignore.

Matumizi ya neno "kukomaa tu" ni kuonyesha dharau na kejeli. Kuitana majina na kunivesha tuhuma usizokuwa na uthibitisho nazo ni kutaka "kunisimanga" ambako kwa maoni yangu, si sahihi.

2. Kulingana tuhuma yako nikadhani nikukumbushe kwa mara nyingine tena kuwa mada ni kuwahusu:

1. Waheshimiwa kabisa CHADEMA
2. Waheshimiwa kabisa wanaharakati

Kwamba unamwongelea Mwabukusi tena kwa namna hii, ni jambo la kushangaza sana.

Kwamba huyo ndugu anahusika vipi kwenye ushauri huo wa bure kwa waheshimiwa hao na hasa kama labda hata hauna uthibitisho?

Kujaribu kunitambulisha mimi kama huyo ndugu ni jambo jingine ambako si sahihi kwako. Hii ukitilia manani kuwachata utambulisho wangu sikuuficha. Zingatia iko wazi kwenye mada:

Kutoka kwa: Mwananchi Mdau.

Moisemusajiografii kwenye siasa za namna hii, tulidhani tulishatoka tukihimizana kuhimiza siasa za kistaarabu.

Tushirikiane kuwakumbusha wajumbe wengine Hawa kuwa tofauti za mawazo hazi halalishi kuuvua ubinadamu au kuuvaa uhayawani.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa CHADEMA na Wanaharakati (wote ndani na nje), ikiwapendeza, waungwana kabisa.

Kutoka kwa mwananchi, mdau.

Kwenu waheshimiwa, niwasalimu kwa jina la solidarity: "Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu."

Tulikuwa tuko vizuri. Tulikuwa wamoja. Tulikuwa tukitembea vifua mbele kuelekea kwenye nchi ya ahadi. Nchi yenye asali na maziwa. Shetani gani katupitia, ghafla tushindwe kuelewana?

Wanasema waswahili, ndugu wawili wakigombana, chukua jembe ukalime. Siku wakipatana, chukua kapu ukavune. Misahafu inasema, heri wapatanishi kwa maana hao wataitwa wana wa Mungu.

Tusikubali kufarakanishwa kirahisi. Tusikubali kufarakana kirahisi. Tunajenga nyumba moja. Pamoja, tuko vizuri zaidi.

Kulikoni kutowafikiria viongozi wa dini au hata na waungwana wengine, wa ndani na nje ya vyama au hata ndani na nje ya nchi, ili kuwezesha kusaka mapatano?

Kulikoni kutowafikiria waungwana kama TEC, KKKT, Waislam, madhehebu zingine nk au hata na wasomi, wakiwamo nguli? Hawawezi kutuangusha watu hawa. Wengi wao wamekuwa nasi katika dhiki hizi za mapambano.

Fikiria akina Sheikh Ponda, Askofu Bagonza, Askofu Niwemugizi, Prof. Shivji, Askofu Mwamakula (pole zake kwa msiba) nk, nk, kwenye jopo kama hilo?

Kwamba wengine tumelazimika kupiga kelele hivi, tukisisitiza kutafuta mapatano bila kujali changamoto zote zilizotukabili, ni kwa sababu tukiamini Tanzania ya namna hii:

View attachment 2779321

Ilikuwa karibu zaidi katika umoja wetu kuliko wakati mwIngine wowote. Fikiria Tanzania hiyo. Kizuizi gani Ya-Rabi kiwepo njiani hapo, kitushinde kukiondoa kwa ajili ya ushindi huu ulio karibuni na dhahiri hivyo?

Kulikoni tusiweke yoyote binafsi pembeni, tukajaribu kutafuta mapatano? Ikishindikana, basi ikawe imekuwa bahati mbaya. Kwamba haikuwa riziki, ila kwa dhati yetu kabisa, tulijaribu?

Wakulima wanasema majembe yaliyopo pamoja kukwaana, hutokea. Tutafute mapatano nafasi hii ya dhahabu tulipo, isituponyoke kirahisi.

Kutengana kwa makundi mawili haya ni hasara kubwa kwa yote. Hali ni faida kubwa mno kwa mahasimu wetu wasiopenda katu, tuelewane.

Wanasema waswahili, "Wagombanao, ndiyo wapatanao." Tumtangulize Mola mbele. Palipo yeye hakuna lisilowezekana. Penye nia, pana njia.
Hivi wewe huelewi kuwa mwenyekiti wako ni pandikizi la "system'?

Muulize Slaa.
 
Hivi wewe huelewi kuwa mwenyekiti wako ni pandikizi la "system'?

Muulize Slaa.

Hizo zinaitwa ramli chonganishi. Hazina nafasi kwenye jamii iliyostaarabika.

Ramli kama hizo tukiziendekeza tukakushuku wewe ni undercover operative wa HAMAS, utasema je?

Taifa Bora haliendekezi ramli kama hizo. Ndiyo maana tutamhukumu mtu kwa hoja zake si kwa ramli uchwara za bi FaizaFoxy au awaye yote.

Kwamba anasimama na agenda zetu? Ni hilo tu tunalotaka. "Hatuna rafiki au adui wa kudumu. Bali agenda."
 
Hizo zinaitwa ramli chonganishi. Hazina nafasi kwenye jamii iliyostaarabika.

Ramli kama hizo tukiziendekeza tukakushia wewe ni undercover operative wa HAMAS utasema je?

Taifa Bora haliendekezi ramli kama hizo. Ndiyo maana tutamhukumu mtu kwa hoja zake si kwa ramli uchwara za bi FaizaFoxy au awaye yote.
Una haki ya kufikiri upendavyo.
 
Nje ya mada kidogo:

Niwapongeze sana Moderators JF kwa kuwa huru na fair. Kwa hakika mnazisimamia sheria zenu vilivyo. Hilo nimeliona kwa dhati yangu.

Ndivyo ambavyo tungependa kote na hatimaye hata nchi yetu kuwa:

images (4).jpeg


Hoja haipingwi kwa rungu.

"Uhuru wa mawazo si leseni ya kejeli, dhihaka, matusi, kuitana majina, kashfa, tuhuma zisizokuwa na uthibitisho, nk."

Uhuru wa mawazo hakumpi mtu fursa ya "kumsimanga" mwingine. Tunaweza kujadiliana mambo kistaarabu hata kunapokuwa na tofauti ya mawazo na huo ndiyo ulio uungwana.

Ama kwa hakika mods JF hukumu zenu (si haba) ni za haki.

Mungu ibariki JF.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa CHADEMA na Wanaharakati (wote ndani na nje), ikiwapendeza, waungwana kabisa.

Kutoka kwa mwananchi, mdau.

Kwenu waheshimiwa, niwasalimu kwa jina la solidarity: "Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu."

Tulikuwa tuko vizuri. Tulikuwa wamoja. Tulikuwa tukitembea vifua mbele kuelekea kwenye nchi ya ahadi. Nchi yenye asali na maziwa. Shetani gani katupitia, ghafla tushindwe kuelewana?

Wanasema waswahili, ndugu wawili wakigombana, chukua jembe ukalime. Siku wakipatana, chukua kapu ukavune. Misahafu inasema, heri wapatanishi kwa maana hao wataitwa wana wa Mungu.

Tusikubali kufarakanishwa kirahisi. Tusikubali kufarakana kirahisi. Tunajenga nyumba moja. Pamoja, tuko vizuri zaidi.

Kulikoni kutowafikiria viongozi wa dini au hata na waungwana wengine, wa ndani na nje ya vyama au hata ndani na nje ya nchi, ili kuwezesha kusaka mapatano?

Kulikoni kutowafikiria waungwana kama TEC, KKKT, Waislam, madhehebu zingine nk au hata na wasomi, wakiwamo nguli? Hawawezi kutuangusha watu hawa. Wengi wao wamekuwa nasi katika dhiki hizi za mapambano.

Fikiria akina Sheikh Ponda, Askofu Bagonza, Askofu Niwemugizi, Prof. Shivji, Askofu Mwamakula (pole zake kwa msiba) nk, nk, kwenye jopo kama hilo?

Kwamba wengine tumelazimika kupiga kelele hivi, tukisisitiza kutafuta mapatano bila kujali changamoto zote zilizotukabili, ni kwa sababu tukiamini Tanzania ya namna hii:

View attachment 2779321

Ilikuwa karibu zaidi katika umoja wetu kuliko wakati mwIngine wowote. Fikiria Tanzania hiyo. Kizuizi gani Ya-Rabi kiwepo njiani hapo, kitushinde kukiondoa kwa ajili ya ushindi huu ulio karibuni na dhahiri hivyo?

Kulikoni tusiweke yoyote binafsi pembeni, tukajaribu kutafuta mapatano? Ikishindikana, basi ikawe imekuwa bahati mbaya. Kwamba haikuwa riziki, ila kwa dhati yetu kabisa, tulijaribu?

Wakulima wanasema majembe yaliyopo pamoja kukwaana, hutokea. Tutafute mapatano nafasi hii ya dhahabu tulipo, isituponyoke kirahisi.

Kutengana kwa makundi mawili haya ni hasara kubwa kwa yote. Hali ni faida kubwa mno kwa mahasimu wetu wasiopenda katu, tuelewane.

Wanasema waswahili, "Wagombanao, ndiyo wapatanao." Tumtangulize Mola mbele. Palipo yeye hakuna lisilowezekana. Penye nia, pana njia.
NAUNGA MKONO 100%, Umeongea jambo muhimu sana ndugu! :)
 
NAUNGA MKONO 100%, Umeongea jambo muhimu sana ndugu! :)

Tatizo ni wale wanaodhani kuwa ni Chadema mno kuliko wengine.

Fikiria kudhani mtu kuwa muumini zaidi kuliko wengine kwenye dhehebu hilo hilo.

Wanashindwa kukumbuka kuwa:

"The guilty is always afraid."

Kwanini mtu hataki upatanishi? Kwamba hata mbele ya waungwana kama hawa:

"Sheikh Ponda, Askofu Bagonza, Askofu Niwemugizi, Prof. Shivji, Askofu Mwamakula (pole zake kwa msiba) nk, nk, kwenye jopo kama Hilo?

Kwamba bado hataki upatanishi?

Kwani ana nini hasa cha kuficha?
 
Uko nje ya mada mkuu. Yumkini hujaisoma au hukuielewa:

Hakuna popote panapo mtaja awaye yote. Wanaharakati ni zaidi ya hawa uliowataja wewe. Hata wanasiasa (wakiwamo CHADEMA) ni wanaharakati."

Harakati ni jitihada za kuleta mabadiliko. Anayeshiriki au kujihusisha humo ni mwanaharakati.

Humo wamo wote, isipokuwa CCM (asiyetaka mabadiliko). Kinacho tofautiana ni mbinu tu ila ni uanaharakati ule ule.

Zingatia kuhusiana na mada, iko wazi:

"Huu ni ushauri wa bure kwa CHADEMA na Wanaharakati (wote ndani na nje) ikiwapendeza waungwana kabisa hawa.

Kutoka kwa mwananchi, mdau."


Imewekwa wazi:

"Yote kheri, na ni kama itawapendeza."

Rejea uliyoandika, kujiridhisha.
.
Shukran.
Lakini CHADEMA ni chama sikujua ni wanaharakati. Nilidhani wana harakati ni hawa wasiokuwa na vyama rasmi wanaopambana na CCM bila vyama.
Anyway umeeleweka.
 
Shukran.
Lakini CHADEMA ni chama sikujua ni wanaharakati. Nilidhani wana harakati ni hawa wasiokuwa na vyama rasmi wanaopambana na CCM bila vyama.
Anyway umeeleweka.


Vyama vya upinzani na wanaharakati ni makundi mawili tofauti yenye mwonekano wa kufanana lakini kiuhalisia ni yenye kutofautiana.

Uzi huu unahusika:

Tuzitambue tofauti za vyama vya upinzani (ACT, CHADEMA, CUF, nk) na Wanaharakati

Makundi yote mawili hujinasibu kumtumikia mwananchi kwenye agenda za ukombozi ila yana malengo tofauti.
 
Mwabukusi Alihama CHADEMA baada ya kushindwa uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa,Alihama kwa kuahidiwa ubunge wa Busokelo na Mbatia kwa msaada wa Magufuli.
Leo anataka kuitumia CDM kujibebea umaarufu,abaki huko huko NCCR asitake CHADEMA ionekane mbaya kwa tamaa zake
Wafuasi wa mbowe mnapenda sana porojo sijui mmepewa supu ya pweza mahala
 
Tatizo ni wale wanaodhani kuwa ni Chadema mno kuliko wengine.

Fikiria kudhani mtu kuwa muumini zaidi kuliko wengine kwenye dhehebu hilo hilo.

Wanashindwa kukumbuka kuwa:

"The guilty is always afraid."

Kwanini mtu hataki upatanishi? Kwamba hata mbele ya waungwana kama hawa:

"Sheikh Ponda, Askofu Bagonza, Askofu Niwemugizi, Prof. Shivji, Askofu Mwamakula (pole zake kwa msiba) nk, nk, kwenye jopo kama Hilo?

Kwamba bado hataki upatanishi?

Kwani ana nini hasa cha kuficha?
Kwakweli hao wanajifanya wazawa kindakindaki wa Chadema, ndio wanaoharibu mambo.
 
Nadhani niyaweke wazi haya Ili kuweza kuelewana kama nia ni majadiliano yenye tija:

1. Labda nitawaomba pia hata Moderators kutusaidia angalau kwa miongozo kidogo. Hapa na pale, kama ikiwapendeza, na hasa inapokuwa lazima. Majadiliano ni yenye kuzingatia masharti:

a) JF inaruhusu na ku promote majadiliano yoyote yenye tija.
b) JF hai limit majadiliano yanayoendelea kwa namna yoyote.
b) Mjumbe yeyote hana haki ya kuzuia au kutaka kuzuia majadiliano yoyote ili yasiendelee.
c) Mjumbe yeyote anayo haki ya kuchangia, kupita kimya kimya au ku ignore, kama hataki kuona mwendelezo wa majadiliano, kwa uchaguzi wake.
d) Majadiliano na uchangiaji ni hoja kwa hoja si kwa kusimangana (yaani si Kwa kejeli, dhihaka, matusi, kuitana majina, kashfa na vya namma hiyo).
e) Mtu ana haki ya kutetea maoni yake ndani ya ustaarabu huu unaosisitizwa.

Mimi kutetea hoja yangu isipotoshwe kwa makusudi au kutokujua, hakuwezi kuitwa "kukomaa tu." Kama unadhani nimepotoka, nishawishi, pita kimya kimya au ignore.

Matumizi ya neno "kukomaa tu" ni kuonyesha dharau na kejeli. Kuitana majina na kunivesha tuhuma usizokuwa na uthibitisho nazo ni kutaka "kunisimanga" ambako kwa maoni yangu, si sahihi.

2. Kulingana tuhuma yako nikadhani nikukumbushe kwa mara nyingine tena kuwa mada ni kuwahusu:

1. Waheshimiwa kabisa CHADEMA
2. Waheshimiwa kabisa wanaharakati

Kwamba unamwongelea Mwabukusi tena kwa namna hii, ni jambo la kushangaza sana.

Kwamba huyo ndugu anahusika vipi kwenye ushauri huo wa bure kwa waheshimiwa hao na hasa kama labda hata hauna uthibitisho?

Kujaribu kunitambulisha mimi kama huyo ndugu ni jambo jingine ambako si sahihi kwako. Hii ukitilia manani kuwachata utambulisho wangu sikuuficha. Zingatia iko wazi kwenye mada:

Kutoka kwa: Mwananchi Mdau.

Moisemusajiografii kwenye siasa za namna hii, tulidhani tulishatoka tukihimizana kuhimiza siasa za kistaarabu.

Tushirikiane kuwakumbusha wajumbe wengine Hawa kuwa tofauti za mawazo hazi halalishi kuuvua ubinadamu au kuuvaa uhayawani.
Mwabukusi siyo mwanaharakani,ni mwanasiasa,mwanachama wa NCCR Mageuzi na moonbeam ubunge Busokelo 2020
Msimfiche kwenye uaharakati na kuisumbua CDM kisa yeye,Ana Chama chake akitumikie na akitumie kufanya mambo yako.
 
Back
Top Bottom