Mzee Slaa na Mwabukusi Tajiri Yao mmoja, wanalazimika kuwa pamoja hata kama hawapendani au wanatamani kuwa tofautMwabukusi, na mdude wakaribishwe chadema maana kule NCCR serikali imesha pora chama na Mwabukusi pale hachomoi. Mahala pekee anaweza kufikisha ujumbe wake ni akiwa chadema, lakini akikubali Dr.Slaa ammiliki hatofika popote.
Aachane na Dr.Slaa ajiunge Chadema.
Ni kama Haji Manara na Ally Kamwe hata kama hawapatani lazima washirikiane na mmoja aki post lazima mwingine a like ili kwenda sambamba na masharti na maelekezo ya GSM