ndo maana sehemu nyingi nikarudia kusema kama hizi habari ni za kweli, kupandwa kwangu kwa jazba kuko wapi ? au unataka uwe kwenye spotlight kwa kumshambulia kada ?? maana mtu akitaka kitu fulani tu hapa basi wao ni kumshambulia kada, huwezi kutoa point bila ya kunishambulia, ??
kichwa cha thread kilinichanganya ndo maana nikatoa maoni niliyotoa, ha nakuhakikishia kama ulisoma vizuri BASI HAKUNA HATA CHEMBE YA JAZBA NILIYOTOA, nikiwa na jazba nitatoa hadi itaeleweka kwamba hiyo ni jazba and i know it will cost me speaking in jazba, kwa hiyo kama ningeongea kwa jazba mzee TRUST ME the whole forum ingenisikia, so hayo ni maneno yako binafsi and i take that !
Kada,
Spotlight kwa kumshambulia kada? ha ha ha ha haaaaa? I will have to get it on discount on Black Friday.
Ni kweli "Chadema wamruhuru" ni tungo tata, lakini ukisoma hii mada na ukiangalia premises zake, utata wote unaondoka. Kwahiyo, hii mada haina utata wowote ispokuwa mchecheto tu wa msomaji.