AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,880
- 5,607
Tunaomba na ile misaada Zitto anayopewa na wananchi kila siku kwenye mikutano yake atupe mrejesho na kama zimeshakaguliwa na CAG.
Usisahau na ile ya m4c lakini nayo pia tunataka marejesho.
Tunaomba na ile misaada Zitto anayopewa na wananchi kila siku kwenye mikutano yake atupe mrejesho na kama zimeshakaguliwa na CAG.
hivi Zitto ambae ni naibu katibu mkuu wa CDM anamuomba nani hesabu za chadema? Zitto anakaa kwenye vikao vya sekretataliati ya chama na yeye ndie aliepaswa kupeleka hesabu hizo huko kunakotakiwa kama kweli hazijapelekwa ili ziweze kufanyiwa ukaguzi sasa kama alikua anajua sheria na hakuwashauri wenzake kufanya au hakuchukua jukumu yeye kama naibu katibu mkuu wa chama anatuambia sisi wengine ambao ni wananchama wa kawaida wa chadema kwamba chama hakijafanyiwa ukaguzi ili iweje? na kama kuna mtu alimzuia kutekeleza wajibu wake huo kwenye chama mbona hajawahi kuuuambia umma wa wanachadema ili tumsaidie?? suala la fedha ni nyeti na linaweza kuchafua image ya chama kwasababu ya upuuzi wa zitto na kutafuta sifa binafsi au kufanya kazi ya ccm kwa kuichafua chadema ionekane yenyewe ni kama ccm ili Watanzania wakate tamaa na waendelee kuichagua ccm inashangaza kuona hata magazeti ya mafisadi kama Rai na gazeti la uhuru la ccm yanaishambualia chadema wakati na ccm imetajwa haya yote yanafanyika kwasababu ya uhuni wa Zitto kukiweka chama chetu kwenye kapu mmoja na ccm wakati anajua kabisa kwamba chadema hesabu zake ziko kwa msajili na ametoa barua kuthibitisha hilo.Zitto anaekushauri anakupotosha sana na mwisho wake utakua kama Mrema Lyatonga.
Usisahau na ile ya m4c lakini nayo pia tunataka marejesho.
Huyu zito ni lazima achunguzwe kwa umakini mkubwa. Kila anapoibuka na hoja unakuta kuna swala zito wananchi wanasubiria ili kupata muafaka. Wakati huu wakati taifa zima tumeweka mawazo yetu kwenye swala la katiba mpya tunaona Zito anakuja na hoja zake mbalimbali.
Hapa cha kujiuliza ni kwanini hii hoja yake ailete kipindi hiki na wakati kwa jinsi anavyodai hesabu hizo haijakaguliwa leo mwaka wa 4. Hapa kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia na kwabahati nzuri Watanzania walio wengi wameligundua.
- Mshahara wa waziri mkuu, Ikafell
- Mshahara wa rais, nayo ikefall
- Sasa ameamua kuja na hoja ya kutaka vyama vya siasa viwakilishe hesabu za matumizi yao kwenye ofisi ya CAG. Na jambo la kuuzunisha vyombo vya hapari vimekuwa washabiki bila kuchunguza kwa undani nini kinaendelea.
Mkuu Mzee Mwanakijiji, naomba nikuulize maswali machache .This is just silly; vyama havitakiwi kusema lolote sasa hivi. Wanaotakiwa kutoa maelezo ni CAG na Msajili. Wao ndio wanapaswa kusema kama vyama vimekidhi matakwa ya sheria au la. Ukimya wa vyombo hivi viwili ndio vitu vinavyonitibuaga mimi. Kamati ya Bunge imesema na kutoa maagizo CAG na Msajiri wanatakiwa waseme kama watakagua, wameshakagua au hawana mpango wa kukagua hivi karibuni.
Nitakujibu swali No.1
Mara zote Dr.anaposafiri au kuwa nje ya Ofisi John Mnyika ndiye hua anakaimishwa, ingawa kiprotokali Zitto ndiye anayepaswa kukaimu nafasi ile Hapo usiniulize kwanini maana mi pia sijui ila kuna uzi flani hivi wa @Election Observer una kichwa habari "Ugaidi ndani ya Vyama vya siasa " unaweza kuunganisha dots
Kuna wakati huwa nina mashaka hata na MBA ya Zitto!!
Kwangu binafsi bado haiingi akilini...otherwise Bw. komu atakuwa ameleta habari za kizushi na kizandiki!!!
ZZK anaingia kwenye mtego na mazoea ya Serikali yetu, maana Serikali ya TZ na vyombo vyote vinavyohusiana nayo, havijawahi kufanya kazi kuonyesha vi ndani ya serikali moja yenye rais mmoja!!
Any ways....ni maudhi tu kila kona.
Nape ndo alikuwa wa kwanza kutokwa mapovu... Chadema tumejibu kwa evidence sasa ni jukumu la Zitto kwenda kwa msajili kuthibitisha..
This is just silly; vyama havitakiwi kusema lolote sasa hivi. Wanaotakiwa kutoa maelezo ni CAG na Msajili. Wao ndio wanapaswa kusema kama vyama vimekidhi matakwa ya sheria au la. Ukimya wa vyombo hivi viwili ndio vitu vinavyonitibuaga mimi. Kamati ya Bunge imesema na kutoa maagizo CAG na Msajiri wanatakiwa waseme kama watakagua, wameshakagua au hawana mpango wa kukagua hivi karibuni.
Hiyo mishahara imefeli wapi? Kaahidi kuitaja na akatoa maelezo kuwa ishu sio mshahara ila ishu ni mishahara ikatwe kodi kama watumishi wengine. Halafu eti kisa kuna katiba ndio asizungumzie matatizo mengine yanayoathiri taifa? Acha chuki na nyuso mbili.
Pengine anayo tabia ya kudandia wakati mwengine visivyo muhusu, lakini hapa kuna kujikanganya na sheria/utaratibu, unatakiwa uheshimike wakati wowote. Vyama vya siasa vina taratibu zake na sheria zao za matumizi hilo linasimamiwa sijui na msajili na wakaguzi kama CAG or independent auditors to do with party finances law.Huyu zito ni lazima achunguzwe kwa umakini mkubwa. Kila anapoibuka na hoja unakuta kuna swala zito wananchi wanasubiria ili kupata muafaka. Wakati huu wakati taifa zima tumeweka mawazo yetu kwenye swala la katiba mpya tunaona Zito anakuja na hoja zake mbalimbali.
Hapa cha kujiuliza ni kwanini hii hoja yake ailete kipindi hiki na wakati kwa jinsi anavyodai hesabu hizo haijakaguliwa leo mwaka wa 4. Hapa kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia na kwabahati nzuri Watanzania walio wengi wameligundua.
- Mshahara wa waziri mkuu, Ikafell
- Mshahara wa rais, nayo ikefall
- Sasa ameamua kuja na hoja ya kutaka vyama vya siasa viwakilishe hesabu za matumizi yao kwenye ofisi ya CAG. Na jambo la kuuzunisha vyombo vya hapari vimekuwa washabiki bila kuchunguza kwa undani nini kinaendelea.