ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Z.Z.K V.S W.P.S ngoja nichukue pop corn zangu nisubirie hii movie.
Slaa amechukizwa sana na mahesabu kukaguliwa. Kwanini???
Z.Z.K V.S W.P.S ngoja nichukue pop corn zangu nisubirie hii movie.
Wakati wowote ule, sijapata kuelewa Wanasiasa humaanisha nini kwa maneno "Masilahi ya Umma"? Kuna kila haja ya kupata tafsiri ya Kikatiba ya maneno haya ili kuepusha mkanganyiko katika matumizi yake.
Maswali:
- Iwapo siku ya PAC kuwahoji Makatibu Wakuu Dr.W.Slaa atakuwa na udhuru wa kushindwa kuhudhuria, ni nani ndani ya CHADEMA anapaswa kumwakilisha?
- Na, Je kwenye Jopo la kumuhoji mwakilishi wa CHADEMA Zitto atasimama kwa kofia ipi? Hakuna mgongano au mgogoro katika vyeo vyake dhidi ya azma iliyo mbele yake?
Mnataka kutota kwenye mambo ya KATIBA MPYA na kutuhamishia huku. Zitto anajua anachofanya na CHADEMA wanajua nini Zitto anafanya au anataka kufanya.
Tuwaachie wenyewe watajua cha kufanya mimi na wewe ni porojo tu bora kuongelea Katiba mpya yenye maslahi yetu. Kama ni Kodi kutafunwa mbona tunaona hata huku uswahilini viongozii wanavyozitafuna bila uwoga?
Anawatisha nyie mtakosa buku7 kutoka lumumba. Ngoja mkose luzuku.Kakuambia tayari yeye ni maarufu hiyo attention itamsaidia nini? Sema kijana anatishia ulaji wa wanasaccoss wenu wa chadema.
Una uhakika Mh Zitto ana MBA?? Au unataka na wewe kujidai wamjua sanaaa ??
Kwani Masters in Economics nayo ni MBA??
Nifahamishee
Tangu Zitto atake hesabu za Chadema zikaguliwe, chama chake kimemjengea uadui wa ghafla. Kwani hesabu kukaguliwa kuna ubaya gani? mnaficha nini kwenye hivyo vitabu?
ha ha ungemuona NAPE alivyodondokwa mate sasa hivi ka maneno ya David Ramadhani katika kipindi cha baragumu si Msajili wa vyama wala CAG anayepatikana ofisini kila mtu kwenye mkutano jiulize CCM wanaficha nini ha ha chekesha weweTangu Zitto atake hesabu za Chadema zikaguliwe, chama chake kimemjengea uadui wa ghafla. Kwani hesabu kukaguliwa kuna ubaya gani? mnaficha nini kwenye hivyo vitabu?
kaishajibu kuwa yeye alishakuwa maarufu mkuuAnatafuta umaarufu hanajipya.
Zitto tangu afanyiwe ile oparesheni pale India amekuwa kama kabadilishiwa ugonjwa,
Nafanya utafiti kujua ni ugonjwa gani anaoumwa kwa sasa,
kweri hii ni MOVIESlaa amechukizwa sana na mahesabu kukaguliwa. Kwanini???
Alitakiwa kuyaweka wazi hayo mkuu kwani yeye kasema kwa maslahi ya umma yuko tayari kunyongwakama zito angekuwa anahusika na upindishwaji wa mambo ndani ya chadema asingepiga kelele ukiona hivyo hela wanakula wachache yeye hazipati ndiyo maana inamuuma kweli sasa kaamua wapambane tu.
Zitto tangu afanyiwe ile oparesheni pale India amekuwa kama kabadilishiwa ugonjwa,
Nafanya utafiti kujua ni ugonjwa gani anaoumwa kwa sasa,