Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
Maneno mengi ya nini. Kama ripoti ipo si kupeleka tu ukiambatanisha na barua iliyokubali kupokea na kufanyiwa kazi kwa riooti husika!!!!!!???????
Halafu kwa nini anachukuliwa personally wakati ni mwenyekiti wa kamati????!!!!!
Labda kuna kitu hukielewewi ni kwa nini watu wenye akili timamu tumeshajuwa nini kinaendela,
Tufanye Mwenyekiti wa PAC ni Mwigulu Nchemba na Mwigulu huyu ni naibu katibu mkuu wa CCM, sasa Mwigulu akiwa ni sehemu ya secretariat anatakiwa kuanza kubwabwaja barabarani au anapaswa kuwa na internal communications na chama chake kabla ya kupayuka kwenye public?
Zitto atakamata akili za wajinga tu mnafki huyu.