omusita
Senior Member
- Oct 13, 2013
- 108
- 9
Zitto anasoma alama za nyakati,vijana wenye hoja zaidi yake ndani ya CDM wapo wengi tu, na wanaoitaka nafasi yake ndani ya chama wapo tu,alikuwa wapi kufata sheria toka amekua mwenyekiti wa hiyo kamati,kama anayoyasema ni kweli na anahulumia fedha ya watanzania basi kwa huluma yake awajibike ndani ya chama na kwenye kamati yake,miaka minne hajafatilia hivyo vyama ni zaidi ya uzembe wanaoufanyaga ccm.