Inashangazasana, kama wameshakamilisha kila kitu maneno ya nini sasa si wapeleke iliwaukamate uongo wa mwenyekiti wa PAC nakamati yake?
Hapo kuna jambo zito mno mtakuja kulisikia tu,wanasema CCM ukoo wa mapanya wakati wao ndio mapanya buku kabisa wanakula nakumaliza mboga yote.
Kama mtarejea nyuma kumbukeni aliyekuwamuhasibu wao bwana Mwigamba kwa ninialiamua kuacha kazi hapo makao makuu ya Chadema? Aliacha kazi kwa kuandikabarua baada ya kutokea chuki kubwa kati yake na mke wa katibu mkuu Bi JosephinMushumbuzi, chuki ambayo ilibebwa kwa nguvu zote na Dr Slaa baada ya mwigambakukataa kuuza program Fulani ambazo mamahuyo alitaka kukiuzia chama kwa zaidi ya shilingi milioni 26.baada ya mwigambakukataa dill hilo la mama, zikaanza chuki kubwa baina na katibu mkuu na muhasibu wake kutokana na shinikizo la mke wa Dr Slaa na hapo ndipo muhasibu huyo akaamua kuandikabarua ya kuacha kazi kuepusha balaa .
Kama hiyo haitoshi nyumba waliyopangachadema ambayo kwa sasa inafanywa kamaofisi ya mabaraza ya chama iliyopo jirani tu na makao makuu ya Chadema hapo Kinondoni, inamilikiwa na mbunge wa vitimaalumu Bi Sabreena Sungura, nyumba hiyoilianza kulipiwa kodi kabla hata hawajaamia na ilianza kukatwakodi mapema na fedha hizo zikasaidia kumaliza nyumba hiyo.
Jamani chadema wana madudu CCM wanafunzi, katika kipindi chamwaka 2012 mwishoni hadi 2013 mwanzoni chama hicho kiliagiza mzigo wa kadi nabendera kwa pesa nyingi sana na pesazikadaiwa kupelekwa China ili mzigo uje,hadi sasa hakuna mzigo wala mjomba wake mzigo pesa zote zimeliwa na wajanja ,na badala yake chama kikaingia ubia na mchaga mmoja ili atengeneze vifaa vyachama na kuuza , mchaga huyo duka lake kaliweka katika ofisi za mabaraza yachama hicho hapo hapo kinondoni, kwahiyo suala la Bendera na mamilioniyaliyochukuliwa kuagiza bendera hizo limezikwa kidizaini na wajanja, hakuna wakuhoji tena.
Yapo mambo mengi ya Chadema yanatia kinyaa kwa kweli, chama ambachowatanzania wanakiamini kuwa ni cha uwazi hakuna uwazi wala ukweli hapo bali ni NGO ya wajanja wachachewanaotumia fedha za chama kujinufaisha matumbo yao, na wajanja hao hawazidihata wanne.
Inashangaza sana, kama wameshakamilisha kilakitu maneno ya nini sasa si wapeleke ili waukamate uongo wa mwenyekiti wa PAC na kamati yake?
Hapokuna jambo zito mno mtakuja kulisikia tu, wanasema CCM ukoo wa mapanya wakatiwao ndio mapanya buku kabisa wanakula na kumaliza mboga yote.
Kamamtarejea nyuma kumbukeni aliyekuwa muhasibu wao bwana Mwigamba kwa nini aliamua kuacha kazi hapo makao makuuya Chadema? Aliacha kazi kwa kuandika barua baada ya kutokea chuki kubwa katiyake na mke wa katibu mkuu Bi Josephin Mushumbuzi, chuki ambayo ilibebwa kwanguvu zote na Dr Slaa baada ya mwigamba kukataa kuuza program Fulani ambazo mama huyo alitakakukiuzia chama kwa zaidi ya shilingi milioni 14.baada ya mwigamba kukataa dillhilo la mama, zikaanza chuki kubwa bainana katibu mkuu na muhasibu wake kutokana na shinikizo la mke wa Dr Slaa na hapo ndipo muhasibu huyo akaamua kuandikabarua ya kuacha kazi kuepusha balaa .
Kamahiyo haitoshi nyumba waliyopanga chadema ambayo kwa sasa inafanywa kama ofisi ya mabaraza ya chama iliyopo jiranitu na makao makuu ya Chadema hapoKinondoni, inamilikiwa na mbunge wa viti maalumu Bi Sabreena Sungura, nyumba hiyo ilianzakulipiwa kodi kabla hata hawajaamia na ilianza kukatwa kodi mapema na fedha hizozikasaidia kumaliza nyumba hiyo.
chadema wana madudu CCMwanafunzi, katika kipindi cha mwaka 2012 mwishoni hadi 2013 mwanzoni chamahicho kiliagiza mzigo wa kadi na bendera kwa pesa nyingi sana na pesa zikadaiwa kupelekwa China ili mzigo uje, hadi sasa hakuna mzigowala mjomba wake mzigo pesa zote zimeliwa na wajanja , na badala yake chamakikaingia ubia na mchaga mmoja ili atengeneze vifaa vya chama na kuuza , mchagahuyo duka lake kaliweka katika ofisi za mabaraza ya chama hicho hapo hapo kinondoni, kwa hiyo suala la Bendera na mamilioni yaliyochukuliwakuagiza bendera hizo limezikwa kidizaini na wajanja, hakuna wa kuhoji tena.
Yapomambo mengi ya Chadema yanatia kinyaakwa kweli, chama ambacho watanzania wanakiamini kuwa ni cha uwazi hakuna uwazi wala ukweli hapo bali ni NGO yawajanja wachache wanaotumia fedha za chama kujinufaisha matumbo yao, na wajanjahao hawazidi hata wanne.