CHADEMA walikuwa CCM-B kabla ya CUF.

Hujasema lolote kuniaminisha kuwa CHADEMA imewahi kuwa CCM-B. Mfano wako wa Kigoma hauna mshiko kabisa. Kwa Slaa kusema kuwa angeunda serikali ya mseto ni kwamba alitambua kwamba kuna wabunge wa CCM ambao wangeweza kufanya kazi pamoja na CHADEMA bila conflict, including Mwakyembe. Lakini wote hawa wangefanya kazi kutekeleza ilani ya CHADEMA kutofautiana na CUF Zanzibar ambayo ni kama imekubali kumezwa na CCM ili mradi Maalim anapewa benzi mpya na kaofisi.
 
ZeMarcopolo,

..basi tuseme CUF inakubalika na ina wabunge wengi zaidi Pemba.

..sasa kama mna wabunge wawili tu wa kuchaguliwa ktk bunge la muungano, kwanini mnataka ku-dictate mwenendo wa Chadema ambao wana wabunge 20?

..zaidi, CUF imeungana na CCM na kuunda serikali Zanzibar. sasa huoni kwamba mkiwa ktk kambi ya upinzani huku Tanganyika mtakuwa mnaathiri ushirikiano wenu na CCM ktk baraza la wawakilishi na SMZ?
 
Hujasema lolote kuniaminisha kuwa CHADEMA imewahi kuwa CCM-B. Mfano wako wa Kigoma hauna mshiko kabisa. Kwa Slaa kusema kuwa angeunda serikali ya mseto ni kwamba alitambua kwamba kuna wabunge wa CCM ambao wangeweza kufanya kazi pamoja na CHADEMA bila conflict, including Mwakyembe. Lakini wote hawa wangefanya kazi kutekeleza ilani ya CHADEMA kutofautiana na CUF Zanzibar ambayo ni kama imekubali kumezwa na CCM ili mradi Maalim anapewa benzi mpya na kaofisi.

Jasusi,
lengo langu siyo kukuaminisha wewe, bali ni kuweka ukweli mbele ya nyuso za watu, ili wenye macho waone.
 
ZeMarcopolo,

..basi tuseme CUF inakubalika na ina wabunge wengi zaidi Pemba.

..sasa kama mna wabunge wawili tu wa kuchaguliwa ktk bunge la muungano, kwanini mnataka ku-dictate mwenendo wa Chadema ambao wana wabunge 20?

..zaidi, CUF imeungana na CCM na kuunda serikali Zanzibar. sasa huoni kwamba mkiwa ktk kambi ya upinzani huku Tanganyika mtakuwa mnaathiri ushirikiano wenu na CCM ktk baraza la wawakilishi na SMZ?

Joka Kuu,
Technicalities za aina ya ushirikiano kati ya CUF na CCM au CCM na CHADEMA zinaweza kuleta changamoto mbalimbali za utekelezaji. Hata hivyo, ni vyema sote tukajua wazi kuwa hili la kusema kushirikiana na CCM ni kuwa CCM-B ni propaganda. Na ukweli ni kwamba kama CHADEMA wangekuwa kwenye situation kama waliyokuwa nayo CUF Zanzibar, wangekubali kushirikiana na CCM. Hii imedhihirika kwenye mfano nilioutoa.
 
Kazi ya Wapinzani ni Kupinga nadhani unakubaliana na mimi hapo? Huoni kama itakuwa vigumu kwa CUF kupinga CCM wakati Zanzibar wote ni wamoja.
 
Kazi ya Wapinzani ni Kupinga nadhani unakubaliana na mimi hapo? Huoni kama itakuwa vigumu kwa CUF kupinga CCM wakati Zanzibar wote ni wamoja.
Na kuna tetesi tayari kwamba CUF Zanzibar imeshatoa maagizo kwa wabunge wake kushirikiana na CCM.
 
wapi ulipoeleza CHADEMA ni ccm-B?mfano haufanani na kichwa cha habari umejaribu kutoa story ya kigoma ujiji ilivyokua 2006.sema baada ya ccm kinachofuata ni CHADEMA2015(CHADEMA NI CHAMA MBADALA)
 
VOR,
1.Kama unadhani mtanzania mlalahoi ana chama basi tembelea vijiji vya kigoma utaona jinsi walalahoi walivyo na passion na vyama vyao.

They might be passion kwa wakati huo wakiamini kwamba Chama fulani kitawasaidia. Me personally am against mafisadi na kuona jinsi nchi yetu inavyoendeshwa kiwendawazimu... Since Chadema promised a Change takuwa nao Chadema. Reading btn the lines wewe ni CUF, Je unaniambia kwamba hata CUF wakiharibu vipi wewe utakuwa CUF tu?. To me Chama is just a Vehicle to get me where i want to go, and right now CHADEMA is that Vehicle
 
They might be passion kwa wakati huo wakiamini kwamba Chama fulani kitawasaidia. Me personally am against mafisadi na kuona jinsi nchi yetu inavyoendeshwa kiwendawazimu... Since Chadema promised a Change takuwa nao Chadema. Reading btn the lines wewe ni CUF, Je unaniambia kwamba hata CUF wakiharibu vipi wewe utakuwa CUF tu?. To me Chama is just a Vehicle to get me where i want to go, and right now CHADEMA is that Vehicle

Chama gani cha upinzani ambacho hakija ahidi change? Mpaka CCM wanatoa ahadi, sidhani ni sahihi kufanya maamuzi kwa kutegemea ahadi tu, angalia na matendo ya wanaotoa ahadi. Hao wanaoahidi change ndio wanaolaani vitendo ambavyo wao wenyewe hivifanya: angalia zengwe la viti maalum etc.

Hiyo ya reading between the lines umekosea. Mimi sichangii hapa kama mwanachama wa chama fulani. Hapa nakuja kama free minded Tanzanian. Na kwa hoja ya leo, nimekuja kwa sababu nimechukizwa na kitendo cha chama cha upinzani kuanzisha propaganda against chama cha upinzani.
 
Chama gani cha upinzani ambacho hakija ahidi change? Mpaka CCM wanatoa ahadi,

CCM wameahidi; Meli, Dar kuwa Dubai, Barabara za rami N.K. Chadema wameniahidi elimu, afya, punguzo la bei, punguzo la matumizi serikalini etc. CCM track record ya kufatilia mambo ni ZERO its same old story. Chadema from their Track record Bungeni last Bunge they look Promising am sure hata wewe hapa utakubaliana na mimi.
 
Nimeguswa na aina mpya ya propaganda inayofanywa na Chadema ya kukiita chama cha wananchi CUF kuwa ni CCM-B. Hii ni kufumbia macho uhalisia wa hali ya kisiasa ya Zanzibar iliyopelekea kuwepo kwa muafaka. Hebu basi tupitie historia ili ituonyesha, ikiwa Chadema wangekuwa wamevaa viatu vya CUF wangefanya maamuzi gani?

Katika uchaguzi wa Madiwani uliofanyika tarehe 14 Desemba, 2006, Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ilipata Madiwani sita toka Chama cha Mapinduzi (CCM) na Madiwani saba toka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Kwa vile CCM ilishinda pia kiti cha Ubunge cha Jimbo la Kigoma/Ujiji, Mbunge huyo aliongeza namba ya Wajumbe toka CCM kuwa saba na kufanya jumla ya wajumbe wa Halmashauri wa kuchaguliwa kuwa kumi na nne.

Baadaye Tume ya Uchaguzi kwa mujibu wa kifungu cha 19 (1)(c) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Na.8 ya 1984 iliwateua Wajumbe watatu (3) toka CCM na watatu toka CHADEMA kuwa Madiwani wa Viti Maalum vya Wanawake. Uteuzi huo wa Tume ya Uchaguzi ulifanya jumla ya Wajumbe wa Halmashauri ya Kigoma/Ujiji toka CCM kuwa kumi na wale wa kutoka CHADEMA kuwa kumi pia. Hivyo, idadi ya Wajumbe toka Vyama hivi ililingana na kufanya jumla ya Wajumbe wote wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma kuwa ishirini.

Hali ya Wajumbe toka Vyama vya CCM na CHADEMA kulingana ilifanya iwe vigumu kumpata Mwenyekiti wa Muda wa Kikao ambacho kingemchagua Meya na Naibu wa Meya. Kilichojitokeza ni kuwa pale Mjumbe toka CCM alipopendekeza jina la Mwenyekiti wa Muda, Wajumbe wote kumi toka CCM waliunga mkono na Wajumbe wote kumi wa CHADEMA walipinga. Vivyo hivyo hali hii ilijitokeza pale CHADEMA walipopendekeza jina na ndipo Viongozi wa Kitaifa wa Vyama walipoona umuhimu wa kuingilia kati suala hili.

Tarehe 26 Januari, 2006 Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya CCM na CHADEMA walifikia Makubaliano kuwa Uongozi katika Manispaa ya Kigoma/Ujiji uwe wa kushirikiana.

Iliafikiwa kwamba, Awamu ya Kwanza kuanzia tarehe 9 Machi, 2006 hadi tarehe 30 Juni, 2008 Mheshimiwa Diwani Kitita Juma Magonjwa wa CHADEMA awe Meya na Mheshimiwa Diwani Yahya Liheye wa CCM awe Naibu wa Meya wa Manispaa. Aidha, Awamu ya Pili itakapoanza tarehe 1 Julai, 2008 hadi tarehe 28 Oktoba, 2008 Mheshimiwa Diwani Nashon Bidyanguze kutoka CCM aliteuliwa kuwa Meya na Mheshimiwa Diwani Shabaan Mambo kutoka CHADEMA awe Naibu wa Meya.

Labda niwakumbushe pia kuwa mgombea wa urais wa Chadema, Dr. Slaa, aliahidi kuunda serikali ya umoja wa kitaifa iwapo atashinda Urais. Alitoa ahadi hizo wakati muafaka na katiba mpya Zanzibar vilikuwa vimeshapitishwa. Swali ni je, alipanga kuunda serikali hiyo kwa ushirikiano na chama gani?
Je, Dr.Slaa alikuwa anaongelea kutengeneza CHADEMA-B, C etc.?
Je, Chadema ni chama kinachotekeleza yale kinachoyaongea?


Crap
 
Unajua ukiangalia situation ya Zanzibar na ya Musoma ni tofauti kwa sababu kulikuwa na idadi sawa ya wajumbe baada ya uchaguzi, Lakin Zanzibar situation ni tofauti kwani wamekaa kabla ya uchaguzi na kupanga ushirikiano kabla matokeo ya uchaguzi hayajatoka.. Pamoja ya kwamba limesaidia kupunguza vurugu lakin hatujajua haya makubaliano yamefanyika kwa maslahi ya nani!! anyways.. Chadema iliongoza kwa nusu kipindi nadhani hapo walipata kutekeleza ilani yao sasa tuone kama hao CUF ZNZ watapata hata sekunde ya kuendesha nchi zaidi ya kuwa makamu na kutekeleza Ilani ya wenzao'
 
Unajua ukiangalia situation ya Zanzibar na ya Musoma ni tofauti kwa sababu kulikuwa na idadi sawa ya wajumbe baada ya uchaguzi, Lakin Zanzibar situation ni tofauti kwani wamekaa kabla ya uchaguzi na kupanga ushirikiano kabla matokeo ya uchaguzi hayajatoka.. Pamoja ya kwamba limesaidia kupunguza vurugu lakin hatujajua haya makubaliano yamefanyika kwa maslahi ya nani!! anyways.. Chadema iliongoza kwa nusu kipindi nadhani hapo walipata kutekeleza ilani yao sasa tuone kama hao CUF ZNZ watapata hata sekunde ya kuendesha nchi zaidi ya kuwa makamu na kutekeleza Ilani ya wenzao'

Point!
 
Kawaulize wakubwa wako CHADEMA ni nini? Tanzania kuna vyama vitatu tu vya upinzani, chadema ikiwemo. Rudi kamwulize makamba akuonyeshe mipango yote ya uanzishaji wa vyama vya upinzani, na majukumu aliyopewa kila mtu kwa nafasi yake. Au muulize Marando anafahamu zaidi ni kwanini alianzisha NCCR Mageuzi. Muulize Chief Fundikra (RIP) ni kwa nini hasa alianzisha chama. Pia kamuulize Edwini Mtei ni kwa vipi alianzisha CHADEMA.

Kwa taarifa yako vyama vingi vya upinzani vilianzishwa na serikali ya CCM kuitikia mwito wa umoja wa mataifa wa kuboresha demoncrasia. Chama kilichoanzishwa kwa misingi ya upinzani wa dhati ni CHADEMA, ambayo Edwini aliianzisha kumpinga Nyerere. Na alikuwa anamatumaini makubwa sana ya kuchukua nchi na kumtimulia vumbi Nyerere. Na kama utafuatilia kwa makini utajua ni kwanini Nyerere alikisifia CHADEMA siku za uhai wake. Alijua katika vyama vya upinzani vya kweli vyenye nguvu na vyenye uwezo wa kuongoza nchi ni CHADEMA pekee yenye sifa za kutosha. Kumbuka Nyerere hakuwa mnafiki.

Usijidanganye ndugu yangu chadema ni chama cha upinzani cha kweli kabisa, tofauti na NCCR, CUF au TLP.

Halafu Mwambie kuwa CUF ilianzishwa na James Mapalala, then afuatilie ni kitu gani kilitokea mpk Mapalala akapokwa chama na kupewa Waziri kiongozi wa zamani na huyo mshauri wa uchumi wa Rais Mwinyi ambao tangu hapo mpaka sasa wao wapo madarakani, kila msimu wanagombea wao uongozi na chama kimekuwa na chembe chembe za udini.


Wenye akili walirudi nyuma na kuangalia chama chenye kufuata misingi ya sheria ya chama na utawala bora.


Utagundua kuwa CHADEMA walikuwa nafasi ya 3 ktk uchaguzi wa rais wa mwaka 2005.
Lakini ktk uchaguzi huu pmj na wajomba kuchakachua CHADEMA wameshika nafasi ya pili na wingi wa viti vya ubunge.
Hii inatokana na watu kuamka na kufahamu kuwa CUF si wapinzani wa kweli.


ukifuatilia malumbano ya CCM na CUF tangu walipoanza kulumbana utagundua kuwa hawa jamaa hawana tofauti kabisa na muundo wa ule mchezo wa Mieleka wa WWE, kwamba leo fulani ataingia kisha atasema hili, then kesho yule nae ataibuka na kisha kusema lile.


Tangu mwaka 1995 wamekuwa wanapigizana kelele za mwafaka, then ukikaribia uchaguzi Seif Shariff anaibuka na kuwaambia wafuasi wa CUF wenye akili zilizolala kama Mtindi kuwa ''safari hii ni ngangali jino kwa jino''...kisha baada ya uchaguzi anapanda Ndege na kutokomea ughaibuni kisha anawaacha wakojani wakipambana na Polisi na wengine kupoteza maisha.


Then baada ya Muda anarudi na kuja na sera za mwafaka.
Sasa kwa wenye uelewa wakapasukia chezo, so jamaa ndo wamekuja sasa na style hii ya kumpa wadhifa wa waziri kiongozi ambaye hana mamlaka yoyote zaidi ya kusubiri ftari mwezi wa ramadhani.


Chadema ni chama ambacho mwalimu Nyerere hayati alishatamka kwa mdomo wake na kusema kuwa hiki ni chama cha uhakika, na msipokuwa makini CCM hawa jamaa watakuja kuwasumbua sana.


Huyo ni Nyerere anayeijua CCM in n out.
Na ndio huyuhuyu alimwambia mkwere asubiri coz yeye bado saaaana, na ndie huyuhuyu mwaka 95 aliwaita wagombea urais na kisha akamuona mmasai mmoja akiingia na mvi zake kichwani...kisha akastuka na kuuliza ''heeh nawe umo?''...kisha mmasai huyo akainama na kufungua mlango na kutimua vumbi.


Yoote aliyoyasema mzanaki huyu leo wenye akili tunayaona....
Viva Chadema...
Hakuna kukatishwa tamaa na mamluki.
 
Halafu Mwambie kuwa CUF ilianzishwa na James Mapalala, then afuatilie ni kitu gani kilitokea mpk Mapalala akapokwa chama na kupewa Waziri kiongozi wa zamani na huyo mshauri wa uchumi wa Rais Mwinyi ambao tangu hapo mpaka sasa wao wapo madarakani, kila msimu wanagombea wao uongozi na chama kimekuwa na chembe chembe za udini.


Wenye akili walirudi nyuma na kuangalia chama chenye kufuata misingi ya sheria ya chama na utawala bora.


Utagundua kuwa CHADEMA walikuwa nafasi ya 3 ktk uchaguzi wa rais wa mwaka 2005.
Lakini ktk uchaguzi huu pmj na wajomba kuchakachua CHADEMA wameshika nafasi ya pili na wingi wa viti vya ubunge.
Hii inatokana na watu kuamka na kufahamu kuwa CUF si wapinzani wa kweli.


ukifuatilia malumbano ya CCM na CUF tangu walipoanza kulumbana utagundua kuwa hawa jamaa hawana tofauti kabisa na muundo wa ule mchezo wa Mieleka wa WWE, kwamba leo fulani ataingia kisha atasema hili, then kesho yule nae ataibuka na kisha kusema lile.


Tangu mwaka 1995 wamekuwa wanapigizana kelele za mwafaka, then ukikaribia uchaguzi Seif Shariff anaibuka na kuwaambia wafuasi wa CUF wenye akili zilizolala kama Mtindi kuwa ''safari hii ni ngangali jino kwa jino''...kisha baada ya uchaguzi anapanda Ndege na kutokomea ughaibuni kisha anawaacha wakojani wakipambana na Polisi na wengine kupoteza maisha.


Then baada ya Muda anarudi na kuja na sera za mwafaka.
Sasa kwa wenye uelewa wakapasukia chezo, so jamaa ndo wamekuja sasa na style hii ya kumpa wadhifa wa waziri kiongozi ambaye hana mamlaka yoyote zaidi ya kusubiri ftari mwezi wa ramadhani.


Chadema ni chama ambacho mwalimu Nyerere hayati alishatamka kwa mdomo wake na kusema kuwa hiki ni chama cha uhakika, na msipokuwa makini CCM hawa jamaa watakuja kuwasumbua sana.


Huyo ni Nyerere anayeijua CCM in n out.
Na ndio huyuhuyu alimwambia mkwere asubiri coz yeye bado saaaana, na ndie huyuhuyu mwaka 95 aliwaita wagombea urais na kisha akamuona mmasai mmoja akiingia na mvi zake kichwani...kisha akastuka na kuuliza ''heeh nawe umo?''...kisha mmasai huyo akainama na kufungua mlango na kutimua vumbi.


Yoote aliyoyasema mzanaki huyu leo wenye akili tunayaona....
Viva Chadema...
Hakuna kukatishwa tamaa na mamluki.

Hizi ndizo propaganda ambazo nazipiga vita. Huwezi kuwa na chama kinachohubiri siasa safi wakati chama chenyewe kinaendeshwa kwa misingi ya propaganda za maji taka. Wananchi watapata tabu kujua wakati gani mnaongea ukweli na wakati gani ni propaganda.

Misingi ya sheria na utawala bora ndio kukataza watu kugombea uongozi ndani ya chama?

Watu wangeona CUF si wapinzani basi CUF isingefanikiwa zaidi kwa kupata majimbo 5 zaidi ya uchaguzi uliopita.

Hilo la kula futari ni zilezile siasa za maji taka, endeleeni nazo ila hazitawafikisha mbali.

Nyerere umeelezea vizuri sana kauli yake, kuwa "hawa jamaa watakuja kuwasumbua sana." sasa sijui kama Chadema lengo lao ni kusumbua au kupata fursa ya kuongoza nchi. Nyerere huyo huyo ndiye aliyesema kuwa ili wapinzani washinde uchaguzi inabidi CCM ivunjike, kwa hiyo kama dira ya Chadema ni kauli za Mwalimu basi waendelee kuomba Mungu CCM ivunjike.
 
subiri uone baada yamiaka 2 ndio utajua chadema ni chama cha upinzani au chakugombania ruzuku,we nahic huijui ccm ila ngoja utajionea na utakumbuka maneno yangu.

Chadema ni chama cha uhakika na ndio chama kinachosaka na kuwapatia maendeleo wananchi walionyonywa na hao jamaa mnaowatetea.


Ukitaka kuamini kuwa Chadema ni chama basi utagundua kuwa ktk maeneo ambayo wabunge wa CCM wamewatendea haki wazalendo basi ni wazi kuwa hawakusimamisha mgombea, mifano unayo mingi sina haja ya kuorodhesha.



Lakini tazama akili za CCM sasa, kwa mfano jimbo la Ndesapesa pale Moshi mjini ni jimbo ambalo lina maendeleo na Ndesa kasaidia ujenzi wa miundombinu, miradi ya maendeleo, kasaidia kuboresha elimu na mambo kadha wa kadha.
Lakini hao wenzio pasipokuwa na haya usoni huwa wanakaa vikao na kupanga mikakati ya kumng'oa Ndesa pale Moshi mjini.......je hii ni akili?
Naomba unipe jibu.


Then unatakiwa upime hali ya maisha ya watanzania, je inalingana na madini, wanyama, misitu, mbuga, bahari, milima na vitu vyooote Mwenyezi Mungu alivyotupatia?
Hivi vitu vinawafaidisha watanzania au vinawafaidisha wazungu na baadhi ya watanzania?

Jibu utakalopata ndo utagundua kwa nini Chadema wanataka uongozi wa hii nchi.
 
Hizi ndizo propaganda ambazo nazipiga vita. Huwezi kuwa na chama kinachohubiri siasa safi wakati chama chenyewe kinaendeshwa kwa misingi ya propaganda za maji taka. Wananchi watapata tabu kujua wakati gani mnaongea ukweli na wakati gani ni propaganda.

Misingi ya sheria na utawala bora ndio kukataza watu kugombea uongozi ndani ya chama?

Watu wangeona CUF si wapinzani basi CUF isingefanikiwa zaidi kwa kupata majimbo 5 zaidi ya uchaguzi uliopita.

Hilo la kula futari ni zilezile siasa za maji taka, endeleeni nazo ila hazitawafikisha mbali.

Nyerere umeelezea vizuri sana kauli yake, kuwa "hawa jamaa watakuja kuwasumbua sana." sasa sijui kama Chadema lengo lao ni kusumbua au kupata fursa ya kuongoza nchi. Nyerere huyo huyo ndiye aliyesema kuwa ili wapinzani washinde uchaguzi inabidi CCM ivunjike, kwa hiyo kama dira ya Chadema ni kauli za Mwalimu basi waendelee kuomba Mungu CCM ivunjike.

Well umenena vyema juu ya ''ili wapinzani washinde uchaguzi inabidi CCM ivunjike''...
Kufuatia CCM kupoteza majimbo meengi hapa bara kuna kauli za wapuuzi wanaopita mitaani huku wakisema kuwa mpasuko ule ktk kura za maoni za ndani ya chama ndio umepelekea CCM kupoteza majimbo namna hii...

Sasa nakutuma upite ukiwaambia kuwa kupoteza majimbo hayo ni mwanzo tu wa utabiri wa hayati Mchonga alipozungumzia swala la kuvunjika kwa CCM na kuingia madarakani kwa Wapinzani ambao ni CHADEMA....USIKURUPUKE
 
Well umenena vyema juu ya ''ili wapinzani washinde uchaguzi inabidi CCM ivunjike''...
Kufuatia CCM kupoteza majimbo meengi hapa bara kuna kauli za wapuuzi wanaopita mitaani huku wakisema kuwa mpasuko ule ktk kura za maoni za ndani ya chama ndio umepelekea CCM kupoteza majimbo namna hii...

Sasa nakutuma upite ukiwaambia kuwa kupoteza majimbo hayo ni mwanzo tu wa utabiri wa hayati Mchonga alipozungumzia swala la kuvunjika kwa CCM na kuingia madarakani kwa Wapinzani ambao ni CHADEMA....USIKURUPUKE

Yaani wewe uko nje kabisa ya mada inayojadiliwa!
Sikushangai kwa sababu kuna watu ambao ni hodari wa kutoka nje ya mada, ili mradi tu nao waandike kitu!
 
Yaani wewe uko nje kabisa ya mada inayojadiliwa!
Sikushangai kwa sababu kuna watu ambao ni hodari wa kutoka nje ya mada, ili mradi tu nao waandike kitu!

Ni kama wewe uliyeandika tu habari kisha kuna mtu kakujibu na amekuelekeza kwamba tukio la CDM kupeana zamu ya mamlaka na CCM lilitokea baada ya madiwani kuwa sawa hivyo wakakaa chini na kukubaliana kuwa chadema wataanza kuwa na meya kisha CCM watamalizia ng'we.


Then amekuelekeza kuwa tofauti na CUF ambao walikalishwa chini kabla na kukubaliana kuwa baada ya matokeo ya uchaguzi kutakuwa na serikali ya mseto.


So ulitakiwa ukubali kuwa kwa matukio haya mawili CUF ndio walengwa haswa wa kuitwa CCM b.
Lakini wewe pointi ya jamaa umeiruka na kuikwepa matokeo yake umeendeleza zogo ili mradi tu watu wajue kuwa na leo umeandika thread...


Penye ukweli panakuja, mtaumbuka woote pmj na kiongozi wenu Maralia Sugu...
Ni hayo tu kwa sasa, ila kama unataka mengine utayapata, hata kupitia inbox yako.
 
Back
Top Bottom