ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
- Thread starter
- #41
Ni kama wewe uliyeandika tu habari kisha kuna mtu kakujibu na amekuelekeza kwamba tukio la CDM kupeana zamu ya mamlaka na CCM lilitokea baada ya madiwani kuwa sawa hivyo wakakaa chini na kukubaliana kuwa chadema wataanza kuwa na meya kisha CCM watamalizia ng'we.
Then amekuelekeza kuwa tofauti na CUF ambao walikalishwa chini kabla na kukubaliana kuwa baada ya matokeo ya uchaguzi kutakuwa na serikali ya mseto.
So ulitakiwa ukubali kuwa kwa matukio haya mawili CUF ndio walengwa haswa wa kuitwa CCM b.
Lakini wewe pointi ya jamaa umeiruka na kuikwepa matokeo yake umeendeleza zogo ili mradi tu watu wajue kuwa na leo umeandika thread...
Penye ukweli panakuja, mtaumbuka woote pmj na kiongozi wenu Maralia Sugu...
Ni hayo tu kwa sasa, ila kama unataka mengine utayapata, hata kupitia inbox yako.
Kumbe una matatizo binafsi. Sina haja ya kubishana, niko ki mjadala zaidi.