Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Propaganda za kizamani.Kama kweli IGP Mangu amekubali kutumiwa na maccm ajue kuwa mbinu hii ambayo ilipata kutumiwa na Mahita huko nyuma haikufua Dafu na haitofua dafu.Atashindwa kama walivyoshindwa wenzake