MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
CHADEMA hila zenu dhidi ya Amani na utulivu wa taifa hili zinaendelea kubainika!
Watanzania wapenda Amani hatutakubali upuuzi huu!
Watanzania wapenda Amani hatutakubali upuuzi huu!
Mleta habari ni muongo na shangaa mpaka sasa mods mnaacha uongo huu sijui ni kwafaida ya nani.
CCM mtatafutana na hekaya zenu zote ila milele msahau kuishusha chadema na tumaini pekee la Watanzania.
Mungu alivyokuwa mkubwa anazidi kuwaumbua wanaopanga nia mbaya dhidi ya Chadema hii sinema itapita tuu kama ile ya Lwakare ccm walivyosema gaidi lakini mahakama iliwambua mwaka huu tutashuhudia mengi sana ccm wana hali mbaya sana
Uongo vip ww kila taarifa mbaya inayoihusu chadema ni uongo huku umekaa nyuma ya keyboard. Itv wameonyesha live kwanza na viungo vya albino
Policcm wakiwa kazini!! Mwaka huu kitaeleweka!!
Eti kisu ni kifaa cha kijeshi,mbinu za mwaka 95 mnaleta leo ccm?ngoma imewakalia vibaya mwaka huu lazima mtapike.
Ccm ni mwakilishi wa Shetani na ndio maana matatizo ya Watanzania yanendelea kukua siku hadi siku. Ccm badilikeni na mfanye mambo ya msingi.
Waku taarifa ya itv imeonyesha vijana wa chadema maarufu Kama redbrigade wakiwa na visu viatu vya jeshi Pamoja na kiganja Cha albino hakika hii imenisikitisha sana