mkuu umeandika jambo zuri sana ! huyu jamaa simba kibogoyo uwezo wake ni mdogo sana , hivi ccm inategemeaje mtu dhaifu kama huyu kutengeneza propaganda ?Kama kweli KISU ni siraha hatari ya kivita/jeshi, basi hii nchi haiko salama hats kidogo.Karibia asilimia 95% ya Watanzania wote wanamiliki Visu au Mapanga pia na shoka, na miongoni mwao Kuna Wana CCM, CHADEMA pamoja na vyama vingine.Ningependa polisi wa TZ waueleze umma wa Watanzania kuwa ni lini jeshi hill lilipiga marufuku matumizi/ au umiliki wa Visu hapa nchini kwetu???.
haha.....akili yenu kwenda ktk office mwenyewe hayupo kunaweza kusaidia thibitisha kwamba vitu ni vyake na si nyie ndio mmekwenda navyo.Ngoja BAK aje ba video mnavyotembea km panya ktk office za watu na docs mlizoibani wazi Chadema sasa kufutiwa usajili baada ya kukaidi kuwa na vikosi vyenye kufanana na vile vya kijesh vya nchi. usxhahidi uliopatikana makao makuu pale ufipa unatarajiwa kupelekwa kwa jaji Mutungi kwa hatua zaidi. stay tuned for more updates
hii nchi itakuwa ya kichovu sana kama inaweza kupinduliwa kwa manati .CHADEMA enezeni sera zenu kwa wananchi, kama watawaelewa watawapa kura,
Hamuwezi kuchukua nchi kwa mabavu hata siku moja!
WanaJF
Tunapenda kutoa taarifa rasmi na kulaani upotoshaji mkubwa unaofanywa na CCM na mawakala wake dhidi ya CHADEMA.
Kuna mwanaJF mwenye jina SimbaKibogoyo kwa makusudi kaleta taarifa za uongo kwenye uzi huu:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ifaa-vya-kijeshi-ofisini-19.html#post12563465
Tunapenda kusema machache kwamba picha zilizowekwa kwenye thread hiyo ni za majambazi waliokamatwa mwaka jana na katika vitu walivyokutwa navyo ni vifaa vya CHADEMA.
Tungependa huyu mleta mada atueleze ni ofisi gani ya CHADEMA hapa nchini iliyokutwa na vifaa vya kijeshi na ni viongozi gani waliokamatwa.
Tunasikitika wakati tukilaani kupitishwa sheria ya makosa ya mitandao wapo watu wachache kwa makusudi wanasambaza uongo mkubwa na wenye madhara makubwa kwa taasisi nyingine na hawachukuliwi hatua.
Wew ni nan kwenye cdm
WanaJF
Tunapenda kutoa taarifa rasmi na kulaani upotoshaji mkubwa unaofanywa na CCM na mawakala wake dhidi ya CHADEMA.
Kuna mwanaJF mwenye jina SimbaKibogoyo kwa makusudi kaleta taarifa za uongo kwenye uzi huu:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/841877-chadema-kwisha-wakamatwa-na-vifaa-vya-kijeshi-ofisini-19.html#post12563465
Tunapenda kusema machache kwamba picha zilizowekwa kwenye thread hiyo ni za majambazi waliokamatwa mwaka jana na katika vitu walivyokutwa navyo ni vifaa vya CHADEMA.
Tungependa huyu mleta mada atueleze ni ofisi gani ya CHADEMA hapa nchini iliyokutwa na vifaa vya kijeshi na ni viongozi gani waliokamatwa.
Tunasikitika wakati tukilaani kupitishwa sheria ya makosa ya mitandao wapo watu wachache kwa makusudi wanasambaza uongo mkubwa na wenye madhara makubwa kwa taasisi nyingine na hawachukuliwi hatua.