CHADEMA waiteka Ambureni

CHADEMA waiteka Ambureni

nsami

Senior Member
Joined
Jun 11, 2010
Posts
175
Reaction score
8
Hellow jamiiforums......!! !! wakuu ni mara yangu ya kwanza kutuma post ktk mtandao huu wa ukweli! Na kilichonivutia zaidi mpaka nikajiunga ni hoja nzito ambazo zinajadiliwa humu jamvini for real nimeaprciate wakuu. Kwa sasa nipo meru mashariki maeneo Hellow ya ambureni.

Joshua Nassari amewashika vilivyo wananchi wa eneo hili.samahanini nimeshndwa kuambatanisha picha wakuu!

 
Bravo!!! ila picha zingesema zaidi ya maneno. Tunashukuru kwa taarifa ingawa CCM hawapendi kusikia haya.
 
Aribu, jitahidi kusoma rules za jamvi, aksante kwa taarifa
 
Hellow jamiiforums......!! !! wakuu ni mara yangu ya kwanza kutuma post ktk mtandao huu wa ukweli! Na kilichonivutia zaidi mpaka nikajiunga ni hoja nzito ambazo zinajadiliwa humu jamvini for real nimeaprciate wakuu.Kwa sasa nipo meru mashariki maeneo Hellow ya ambureni. Joshua Nassari amewashika vilivyo wananchi wa eneo hili.samahanini nimeshndwa kuambatanisha picha wakuu!

Tunashukuru kwa kasi yako uliyoingia nayo ila omba radhi wakubwa maana
1. Hujabisha hodi!!
2. Hujasalimia
3. Hutuambia kuwa ni member mwenzetu
5. Kazana utatisha!
 
Wewe ni Anthon Nsami uliyewakimbia magamba na kuhamia CDM?
 
Hadi raha kaza buti mbaba kutupa hzo info.Jamani hii nayo ni mashine!Ma..Ga..M.Ba wanashughuli ngumu.
 
karibu sana nsami, humu kuna kila aina ya watu! wasikuchoshe, fuata sheria za jamvi utapenda mwenyewe!!
 
Sema kweli msafara wa Nasari na CDM yenu umezomewa ulipokuwa ukiingia kitaa cha amburueni hadi kudikia baadhi ya viongozi kulalamika katika ofic ya kata. Habara zilizopo sasa wakazi wa eneo hilo hawataki kabisa CDM wafanye mkutano wao wa kampeni kwani wanaposha umma
 
Hellow jamiiforums......!! !! wakuu ni mara yangu ya kwanza kutuma post ktk mtandao huu wa ukweli! Na kilichonivutia zaidi mpaka nikajiunga ni hoja nzito ambazo zinajadiliwa humu jamvini for real nimeaprciate wakuu.

Kwa sasa nipo meru mashariki maeneo Hellow ya ambureni. Joshua Nassari amewashika vilivyo wananchi wa eneo hili.samahanini nimeshndwa kuambatanisha picha wakuu!
Ujumbe tumeupata lakini badilisha rangi ya mandishi mkuu........................
 
Sema kweli msafara wa Nasari na CDM yenu umezomewa ulipokuwa ukiingia kitaa cha amburueni hadi kudikia baadhi ya viongozi kulalamika katika ofic ya kata. Habara zilizopo sasa wakazi wa eneo hilo hawataki kabisa CDM wafanye mkutano wao wa kampeni kwani wanaposha umma
Hebu kajifunze kuandika vizuri zuzu wewe....
 
Sema kweli msafara wa Nasari na CDM yenu umezomewa ulipokuwa ukiingia kitaa cha amburueni hadi kudikia baadhi ya viongozi kulalamika katika ofic ya kata. Habara zilizopo sasa wakazi wa eneo hilo hawataki kabisa CDM wafanye mkutano wao wa kampeni kwani wanaposha umma

Ondoa unya..fu hapa
 
No wonder ENL kakatiza matibabu na kurudi.. kumbe kijana wake kazidiwa huko eeeeh?
 
Bravo!!! ila picha zingesema zaidi ya maneno. Tunashukuru kwa taarifa ingawa CCM hawapendi kusikia haya.

Yupo Kamanda nimewasiliana naye Muda mfupi ujao atarusha picha humu
 
Back
Top Bottom