Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Hawakufika kabisa bungeni, hii inaonyesha ni jinsi gani mbowe na mtei wanavyotaka kuwaburuza vijana waliochaguliwa na wananchi kuwawakilisha na sasa wanataka kuwatumia kutimiza haja zao na si maslahi ya wananchi waliowachagua.
You are a junior member. Lakini bado una nafasi ya kuwa makini hata kama umelazimishwa kujiunga mjamvini