Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,063
Ninavyofahamu mie, Dr. Slaa aligombea Urais wa Tz mara moja tu na matokeo yake nafikiri wengi tuliyasikia.
Pia kwa sasa, kwa CHADEMA ukiacha Dr. Slaa, kumbuka kuwa pia kuna Tundu Lissu. Kuna haja ya kuongeza kuhusu Lissu?
Pia kwa sasa, kwa CHADEMA ukiacha Dr. Slaa, kumbuka kuwa pia kuna Tundu Lissu. Kuna haja ya kuongeza kuhusu Lissu?
Last edited by a moderator: