CHADEMA twazidi kujiimarisha

CHADEMA twazidi kujiimarisha

Saivi mkileta fujo ni kusukumwa ndani tu mkalime huko
Hatuhita Sera za violence. Tufuate nyayo za Bw. Gandhi wa India. Aliamini,hata jeshi liwe na nguvu namna gani haliwezi kuushinda umma. Ndiyo maana ya kauli mbiu"peeeepleeees....." Aluta continua"
 
Kwa wenzetu wa kijani kwao kila kitu ni mabavu na mitutu
Hatuhita Sera za violence. Tufuate nyayo za Bw. Gandhi wa India. Aliamini,hata jeshi liwe na nguvu namna gani haliwezi kuushinda umma. Ndiyo maana ya kauli mbiu"peeeepleeees....." Aluta continua"
 
Unataka serikali ikupe pesa za kujenga nyumba? Uchumi wetu hapa Kahama tumeushika vijana kupitia kilimo, uchimbaji madini, biadhara n.k tunakuja na organization ya kusimamia na ku motivate shughuli za vijana nyinyi nunueni piki piki
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
 
Mkija mje na sera za maana kama ndio hizi tutawatimua saa hiyo hiyo na huto tu piki piki
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
 
Nasema hivi Chadema hamruhusiwi kufika kahama tutawapiga fire majizi nyinyi.
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
 
Yaani watu wanakula minofu wao wanaambulia vichwa na mifupa tu
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
 
Ukifika kahama walio wekeza na wenye biashara za maana ni wageni tu na wenyeji wa kahama wao kazi zao ni kuingiza nyimbo kwenye simu tu basi
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
 
Back
Top Bottom