Kahama_Tanzania
Member
- May 11, 2019
- 72
- 13
Jamaa alivyo mjanja hizo pikipiki watapewa wakina mangi wa kutosha wewe mpiga vinanda humu utaishia kukuna korodani tu
Kama mnavyofyatuliwa hapo lumumba?
Kama mnavyofyatuliwa hapo lumumba?
Akifa askari mmoja,vita lazima iendelee.Chadema ilikuwa ya Dr Slaa tu wengine ni poyoyo tu
Hatuhita Sera za violence. Tufuate nyayo za Bw. Gandhi wa India. Aliamini,hata jeshi liwe na nguvu namna gani haliwezi kuushinda umma. Ndiyo maana ya kauli mbiu"peeeepleeees....." Aluta continua"
Hatuhita Sera za violence. Tufuate nyayo za Bw. Gandhi wa India. Aliamini,hata jeshi liwe na nguvu namna gani haliwezi kuushinda umma. Ndiyo maana ya kauli mbiu"peeeepleeees....." Aluta continua"
ndo kawaagizia hizo toyo?Unamtukana chakubanga bosi wako
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.Unataka serikali ikupe pesa za kujenga nyumba? Uchumi wetu hapa Kahama tumeushika vijana kupitia kilimo, uchimbaji madini, biadhara n.k tunakuja na organization ya kusimamia na ku motivate shughuli za vijana nyinyi nunueni piki piki
Afisa wa Vifutu hapa Lumumba...chini ya ndugu ChakubangaHahahah nawewe upo chini ya uongozi wa vijana wa afisa mdude?
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
Pole sana ila kwa hizo boda boda hapo huwezi pata mzee labda uwe wa kanda ya home kwao mwenyekiti suguAfisa wa Vifutu hapa Lumumba...chini ya ndugu Chakubanga
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
Watu wenye utapiamlo kama nyie wa kahama mna nguvu gani za kufukuza? Mkisukumwa na upepo tu chali.Mkija mje na sera za maana kama ndio hizi tutawatimua saa hiyo hiyo na huto tu piki piki
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.
Watu wenye utapiamlo kama nyie wa kahama mna nguvu gani za kufukuza? Mkisukumwa na upepo tu chali.
Kwako umasikini ni kutokujenga nyumba tu? Mbwa koko bhana, mnachosha.
Watu wa kahama ni kati ya watu masikini zaidi Tz. Wanaofaidi utajiri ni wageni tu. Nyie mtabakia kuwa manamba tu katika wilaya yenu.