The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,280
Duh! Sasa umejipa mamlaka ya kupiga marufuku chama cha siasa kisifike kahama? Mbona cdm kipo huko muda mrefu; na kina madiwani.Nasema hivi Chadema hamruhusiwi kufika kahama tutawapiga fire majizi nyinyi.
Mbwa koko ni mbwa koko tu. Nakuona ulivyofyata mkia kati ya makalio.