Walale kwa vidonge kwa hivyo vijipikpiki 200? Mnajifariji kweliHii ndio mikakati, huko Lumumba leo usiku watalala kwa vidonge.
Sote tulikuwa Ccm tunajua jinsi CHADEMA inavyonyima watu usingizi.Walale kwa vidonge kwa hivyo vijipikpiki 200? Mnajifariji kweli
Tunajivunia sana maana vimepatikana kwa halali siyo kiujamabazi
USA ya vyooni?!...bora angukuja kulima huku USAriverAlafu anajidai yupo usa
One less poyoyo yes nchi ingesonga kwa kasi.Ikatupwe dampo la vingunguti
Haahaa hoja yako iko weak sana. Since lini chadema wamejitoa muhuanga kwa mabomuPikipiki au mabomu ya kujitoa muhanga!
Isitoshe wameshazeheka vibayaHaswaaa na hao huwa hawarudi nyumbani maana hawana cha kurudi nacho
Wanajiundia wenyewe tuIngekuwa poyoyo ndiyo mgekuwa mnakesha kuwaundia mizengwe?